Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ujenzi wa reli kutoa ajira 300,000

Waziri wa Uchukuzi, Samuel SittaWAZIRI wa Uchukuzi, Samuel Sitta amesema Sh trilioni 14 zinatarajiwa kujenga reli mpya yenye urefu wa kilometa 2,561 ambayo itakuwa na kiwango cha ‘standardgauge’, mradi ambao utakuwa ni mkubwa kutekelezwa na Serikali tangu ilipopata Uhuru.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KINUKAMORI WAOMBA DOLA 30,000 KUTENGENEZA AJIRA KWA WATU 300

Taasisi isiyo ya kiserikali inayo shughulika na uhifadhi wa mazingira eneo la Kinukamori, Marangu mkoani Kilimanjaro Executive Wilderness Program (EWP) inatafuta dola za marekani 30,000 kwa ajili ya kuendesha program tatu zenye kutengeneza ajira, ujasirimali, utunzaji wa mazingira na mvuto kwa watalii wanaokwenda kupanda mlima Kilimanjaro.
Kauli hiyo wameitoa kwa Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la maendeleo UNDP, Alvaro Rodriguez wakati alipofanya ziara ...

 

10 years ago

Dewji Blog

KINUKAMORI waomba dola 30,000 kutengeneza ajira kwa watu 300

DSC_0218

Mkurugenzi Mtendaji wa EWP na Mkurugenzi wa Kinukamori Enterprises, Bw. Alpha Phares Moshi (wa pili kushoto) akimkaribisha Mratibu Mkazi  wa Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la maendeleo UNDP, Alvaro Rodriguez alipowasili kwenye Taasisi isiyo ya kiserikali inayo shughulika na uhifadhi wa mazingira eneo la Kinukamori, Marangu mkoani Kilimanjaro wakati wa ziara yake ya kukagua miradi mbalimbali inayofadhiliwa na UNDP huku akiwa amembatana na Mratibu wa Kitaifa miradi ya COMPACT...

 

10 years ago

Mwananchi

Ndesamburo ilivyotumia Sh1b kutoa ajira kwa vijana 1,000

Mbunge wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo, anaweza kuingia katika vitabu vya kumbukumbu kutokana na staili yake ya kuuaga uwanja wa kisiasa kwa kutazama tatizo la ajira kwa vijana, ambalo ni tatizo sugu na limekuwa likizungumziwa kisiasa kama bomu linalosubiri kulipuka.

 

10 years ago

Bongo5

Bilionea wa Nigeria amzawadia Tayo $350,000 baada ya kushindwa kuzinyakua $300,000 za BBA HotShots

Imeripotiwa kuwa baada ya mshiriki wa Nigeria kwenye shindano la Big Brother Afrika, Tayo kuzikosa dola laki tatu za Biggie zilizomwendea Idris wa Tanzania Jumapili iliyopita, mshiriki huyo wa Naija amezawadiwa $350,000 sawa na zaidi ya milioni 600 kutoka kwa shabiki wake bilionea. Idris (kushoto) akiwa na Tayo (kulia) Bilionea huyo aitwaye Ayiri Emami ameamua […]

 

11 years ago

Habarileo

Kaya 300 zatakiwa kuondoka eneo la reli Tazara

MAMLAKA ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA), imetoa notisi ya kuondoka kwa zaidi ya kaya 300 zilizovamia eneo la reli kuanzia Dar es Salaam hadi Tunduma, mkoani Mbeya.

 

10 years ago

BBC

'No aid for 300,000' in South Sudan

More than 300,000 people are without "life-saving" aid in South Sudan's oil-rich Unity state after heavy fighting forces aid agencies to withdraw, the UN says.

 

9 years ago

TheCitizen

Over 300,000 voters struck off the register

The National Electoral Commission (NEC) announced yesterday that 23.7 million Tanzanians will be eligible to vote in next month’s General Election.They are among 24,001,134 people who were listed during the biometric voter registration  countrywide earlier this year.

 

11 years ago

Habarileo

Wabunge wakataa posho Sh 300,000

Mbunge wa Sumve, Richard NdassaWAKATI mjadala wa kihistoria wa kuunda Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ukiwa katika hatua ya kupata kanuni za Bunge Maalumu la Katiba, baadhi ya wajumbe wameamua kuelekeza nguvu kudai posho nono.

 

10 years ago

Mwananchi

Ujenzi Reli ya Kati utatukomboa kiuchumi

Kama kuna mradi hapa nchini ambao umezungumzwa kwa muda mrefu pasipo kutekelezwa, basi mradi huo ni ujenzi wa Reli ya Kati. Kwa zaidi ya miongo miwili sasa, viongozi wamekuwa wakitoa ahadi za ujenzi wa reli hiyo na kutoa matumaini kwa wananchi kwamba kero ya usafiri wa abiria na mizigo katika reli hiyo itamalizika muda siyo mrefu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani