Bilionea wa Nigeria amzawadia Tayo $350,000 baada ya kushindwa kuzinyakua $300,000 za BBA HotShots
Imeripotiwa kuwa baada ya mshiriki wa Nigeria kwenye shindano la Big Brother Afrika, Tayo kuzikosa dola laki tatu za Biggie zilizomwendea Idris wa Tanzania Jumapili iliyopita, mshiriki huyo wa Naija amezawadiwa $350,000 sawa na zaidi ya milioni 600 kutoka kwa shabiki wake bilionea. Idris (kushoto) akiwa na Tayo (kulia) Bilionea huyo aitwaye Ayiri Emami ameamua […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-*rcMYSmUcUkgYOlygddzSOvHLo5YKjbzAxq97cF0nVPaJQhVVPmpuw2b8NswC9dOLYLRBCVqmxy0uBlxIkWr3y4OuHyzZdn/TayoNigeria1200x9301413279941.jpg?width=650)
BILIONEA NIGERIA AMZAWADIA TAYO $ 350,000 BAADA YA KUKOSA ZA BIG BROTHER HOTSHOTS
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/x9KBpl7z4r*795yGdaw94T1CZJBo7UxZf5Kro2aoD5uVwN*qxC*EIxTUv3JfxkJEMYRdx8aPYKJyrdZ33H7i6J-IRfaskTMh/Tayo.jpg?width=650)
TAYO WA BBA AKANUSHA KUPEWA $350,000 NA BILIONEA
5 years ago
AnandTech26 Mar
Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19
10 years ago
Bongo520 Oct
BBA Hotshots: Washiriki wa Kenya, Uganda, na Nigeria watolewa mchezoni, Laveda aponea chupuchupu
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/82913000/jpg/_82913132_82871407.jpg)
'No aid for 300,000' in South Sudan
9 years ago
TheCitizen25 Sep
Over 300,000 voters struck off the register
11 years ago
Habarileo20 Feb
Wabunge wakataa posho Sh 300,000
WAKATI mjadala wa kihistoria wa kuunda Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ukiwa katika hatua ya kupata kanuni za Bunge Maalumu la Katiba, baadhi ya wajumbe wameamua kuelekeza nguvu kudai posho nono.
11 years ago
Tanzania Daima17 Feb
Bunge la Katiba 300,000/- kwa siku
HATIMAYE serikali imeweka hadharani kwamba kila mjumbe katika Bunge la Katiba ataweka kibindoni posho ya sh 300,000 kwa siku. Kwa maana hiyo, kila mjumbe katika Bunge hilo atakuwa amelipwa sh...
11 years ago
Habarileo01 Mar
‘Wasioridhika na posho ya 300,000/- waondoke - Mwigulu
NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaotaka nyongeza ya posho, kujiondoa katika bunge hilo kama hawaridhiki nayo.