Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bilionea wa Nigeria amzawadia Tayo $350,000 baada ya kushindwa kuzinyakua $300,000 za BBA HotShots

Imeripotiwa kuwa baada ya mshiriki wa Nigeria kwenye shindano la Big Brother Afrika, Tayo kuzikosa dola laki tatu za Biggie zilizomwendea Idris wa Tanzania Jumapili iliyopita, mshiriki huyo wa Naija amezawadiwa $350,000 sawa na zaidi ya milioni 600 kutoka kwa shabiki wake bilionea. Idris (kushoto) akiwa na Tayo (kulia) Bilionea huyo aitwaye Ayiri Emami ameamua […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BILIONEA NIGERIA AMZAWADIA TAYO $ 350,000 BAADA YA KUKOSA ZA BIG BROTHER HOTSHOTS

Tayo. INADAIWA kuwa baada ya mshiriki wa Nigeria kwenye shindano la Big Brother Hotshots, Tayo kuzikosa $ 300,000 za shindano hilo ambazo zilichukuliwa na mshiriki kutoka Tanzania Idris Sultan, mfanyabiashara bilionea na Nigeria ameamua kumzawadia Tayo $ 350,000 zaidi ya shilingi milioni 600. Bilionea Ayiri Emami. Bilionea huyo aitwaye Ayiri Emami ameamua kuongeza dola 50,000 juu zaidi ya ile… ...

 

10 years ago

GPL

TAYO WA BBA AKANUSHA KUPEWA $350,000 NA BILIONEA

Tayo (kulia) akiwa na mshindi wa BBA 2014 Hotshots, Idris (kushoto). Mshindi wa pili wa BBA Hotshots, Tayo kutoka Nigeria amekanusha habari zilisambaa wiki hii kuwa amezawadiwa $350,000 na bilionea wa Nigeria, Ayiri Emani baada ya kuzikosa $300,000 za BBA zilizonyakuliwa na Idris wa Tanzania. Tayo amekanusha habari hizo alipohojiwa na kituo cha Radio 1 South Africa. Amesema kuwa habari hizo za kupewa kiasi hicho kikubwa cha pesa...

 

5 years ago

AnandTech

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19  AnandTechView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Bongo5

BBA Hotshots: Washiriki wa Kenya, Uganda, na Nigeria watolewa mchezoni, Laveda aponea chupuchupu

Mtanzania Laveda Jumapili October 19 aliponea chupuchupu kwa kubaki kwenye jumba la Big Brother Africa, huku akiwashuhudia washiriki wenzake watatu wa kike wakitoka mchezoni. Sabina, Lilian, Esther Esther (Uganda) , Lilian (Nigeria) pamoja na Sabina (Kenya) ndio washiriki walioondolewa katika shindano hilo usiku wa jana ikiwa ni ‘eviction’ ya pili toka shindano lianze. Hadi sasa […]

 

10 years ago

BBC

'No aid for 300,000' in South Sudan

More than 300,000 people are without "life-saving" aid in South Sudan's oil-rich Unity state after heavy fighting forces aid agencies to withdraw, the UN says.

 

9 years ago

TheCitizen

Over 300,000 voters struck off the register

The National Electoral Commission (NEC) announced yesterday that 23.7 million Tanzanians will be eligible to vote in next month’s General Election.They are among 24,001,134 people who were listed during the biometric voter registration  countrywide earlier this year.

 

11 years ago

Habarileo

Wabunge wakataa posho Sh 300,000

Mbunge wa Sumve, Richard NdassaWAKATI mjadala wa kihistoria wa kuunda Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ukiwa katika hatua ya kupata kanuni za Bunge Maalumu la Katiba, baadhi ya wajumbe wameamua kuelekeza nguvu kudai posho nono.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge la Katiba 300,000/- kwa siku

HATIMAYE serikali imeweka hadharani kwamba kila mjumbe katika Bunge la Katiba ataweka kibindoni posho ya sh 300,000 kwa siku. Kwa maana hiyo, kila mjumbe katika Bunge hilo atakuwa amelipwa sh...

 

11 years ago

Habarileo

‘Wasioridhika na posho ya 300,000/- waondoke - Mwigulu

Mwigulu NchembaNAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaotaka nyongeza ya posho, kujiondoa katika bunge hilo kama hawaridhiki nayo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani