Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BBA Hotshots: Washiriki wa Kenya, Uganda, na Nigeria watolewa mchezoni, Laveda aponea chupuchupu

Mtanzania Laveda Jumapili October 19 aliponea chupuchupu kwa kubaki kwenye jumba la Big Brother Africa, huku akiwashuhudia washiriki wenzake watatu wa kike wakitoka mchezoni. Sabina, Lilian, Esther Esther (Uganda) , Lilian (Nigeria) pamoja na Sabina (Kenya) ndio washiriki walioondolewa katika shindano hilo usiku wa jana ikiwa ni ‘eviction’ ya pili toka shindano lianze. Hadi sasa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BBA: MEET HOTSHOTS LAVEDA, KACEY MOORE AND JJ

Laveda - Tanzania Age: 23 Bachelor of Arts & Social Sciences graduate Laveda was born in Dar Es Salaam. She’s single and describes herself as ‘eccentric, loving, caring, simple and fun’. Laveda is the eldest of three children and she has a younger brother and sister. She says her mom is her role model, because she has moulded her over the years and inspired her in different ways ‘through the struggles...

 

10 years ago

Michuzi

BBA - Todays reveal: Meet Hotshots Laveda, Kacey Moore and JJ

 Kacey Moore - GhanaAge: 29
Born in Accra, Kacey Moore is a married poet and songwriter, with a daughter. He enjoys banku and okro stew and says his favourite books are the Bible, the dictionary, and the thesaurus! Kacey Moore also likes the music of Usher and Lauryn Hill.
Kacey Moore describes himself as a’ go-getter’, as well as ‘punctual, a leader, a creator and a voice’. His favourite quality, punctuality.  It is important to him in both himself and others.
He entered Big Brother Hotshots...

 

10 years ago

GPL

ARTHUR, MOORE NA LUIS WATOLEWA BBA HOTSHOTS

 Mwakilishi wa Rwanda aliyetolewa BBA Hotshots, Arthur . Washiriki wa BBA Hotshots waliotolewa, Kacey Moore (aliyevaa miwani)wa Ghana na Luis wa Namibia…

 

10 years ago

Bongo5

BBA Hotshots: Endelea kumpigia kura Laveda wa Tanzania kumuokoa asitoke Jumapili hii

Mshiriki mmoja wa Tanzania yupo kwenye hatari ya kutoka kwenye msimu wa tisa wa shindano la Big Brother Africa ‘Hotshots’ weekend hii, ambaye ni Laveda (Irene La Veda). Hivyo njia pekee ya kumuokoa abaki kwenye jumba la ‘kaka mkubwa’ ni kura yako. Washiriki wawili kati ya tisa watafunga mizigo yao siku ya Jumapili. Washiriki waliopigiwa […]

 

10 years ago

Bongo5

Diamond Platnumz kuingia kwenye jumba la BBA Hotshots leo (Nov 27) kupiga story na washiriki

Diamond Platnumz tayari ametua jijini Johannesburg, Afrika Kusini toka jana, tayari kuhudhuria tuzo za Channel O (CHOAMVA) zinazotarajiwa kutolewa siku ya Jumamosi Nov.29 akiwa anawania vipengele vinne. Staa huyo ambaye ameachia ngoma mpya siku chache zilizopita ‘Ntampata wapi’, ameandika kupitia akaunti zake za mitandao ya kijamaii kuwa pia leo Alhamisi Nov.27 atapata nafasi ya kuingia […]

 

10 years ago

Bongo5

BBA Hotshots: Uganda na wengine watatu wafungasha virago, Idris aendelea kupeta

Washiriki wengine wanne wamefungasha virago kwenye Big Brother Hotshots wiki iliyopita. Afrika mashariki imepoteza mshiriki mwingine baada ya Ellah (Uganda) kutolewa. Wengine waliotoka ni Goitse (Botswana), Sheillah (Botswana) pamoja na Trezagah (Msumbiji) ndio washiriki waliotolewa Jumapili (Nov.30) baada ya kupata kura chache. Idris ameendelea kubaki mjengoni baada ya kupata kura za nchi tatu ambazo ni […]

 

10 years ago

Bongo5

Bilionea wa Nigeria amzawadia Tayo $350,000 baada ya kushindwa kuzinyakua $300,000 za BBA HotShots

Imeripotiwa kuwa baada ya mshiriki wa Nigeria kwenye shindano la Big Brother Afrika, Tayo kuzikosa dola laki tatu za Biggie zilizomwendea Idris wa Tanzania Jumapili iliyopita, mshiriki huyo wa Naija amezawadiwa $350,000 sawa na zaidi ya milioni 600 kutoka kwa shabiki wake bilionea. Idris (kushoto) akiwa na Tayo (kulia) Bilionea huyo aitwaye Ayiri Emami ameamua […]

 

10 years ago

GPL

LAVEDA ARUDI BBA

Irene Neema Vedastous 'La Veda'. Stori: Gabriel Ng’osha MWANADADA aliyewakilisha Tanzania katika shindano la BIG BROTHER 2014 ‘HOTSHOTS’ nchini Afrika Kusini. Irene Neema Vedastous 'La Veda' ameitwa tena ili kushuhudia fainali za kinyang’anyiro hicho. Mrembo huyo amepanda pipa juzi saa 8 mchana kuelekea Sauz ambapo atakaa kwa muda wa wiki moja.… ...

 

10 years ago

TheCitizen

A good start for Laveda in BBA

The whole room was filled with energy after Big Brother Africa’s launching MC, Nigeria’s IK, announced that the lady who just played the saxophone was Laveda from Tanzania.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani