Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diamond Platnumz kuingia kwenye jumba la BBA Hotshots leo (Nov 27) kupiga story na washiriki

Diamond Platnumz tayari ametua jijini Johannesburg, Afrika Kusini toka jana, tayari kuhudhuria tuzo za Channel O (CHOAMVA) zinazotarajiwa kutolewa siku ya Jumamosi Nov.29 akiwa anawania vipengele vinne. Staa huyo ambaye ameachia ngoma mpya siku chache zilizopita ‘Ntampata wapi’, ameandika kupitia akaunti zake za mitandao ya kijamaii kuwa pia leo Alhamisi Nov.27 atapata nafasi ya kuingia […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

BBA Hotshots: Washiriki wa Kenya, Uganda, na Nigeria watolewa mchezoni, Laveda aponea chupuchupu

Mtanzania Laveda Jumapili October 19 aliponea chupuchupu kwa kubaki kwenye jumba la Big Brother Africa, huku akiwashuhudia washiriki wenzake watatu wa kike wakitoka mchezoni. Sabina, Lilian, Esther Esther (Uganda) , Lilian (Nigeria) pamoja na Sabina (Kenya) ndio washiriki walioondolewa katika shindano hilo usiku wa jana ikiwa ni ‘eviction’ ya pili toka shindano lianze. Hadi sasa […]

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND PLATNUMZ KWENYE KAMPENI NYINGINE ZA KIMATAIFA, PICHA, VIDEO NA STORY ZIPO HAPA

DiamondNi siku moja imebaki ili tuzishuhudie sherehe kubwa za utoaji wa tuzo za CHOAMVA Afrika Kusini, mshiriki pekee wa Tanzania Diamond Platnumz kupitia muziki wake kuna vingi ambavyo vinaendelea kutokea na amekuwa mjumbe wa kuiwakilisha Tanzania katika ishu mbalimbali kupitia muziki huohuo anaoufanya.

Jana Novemba 27 alikuwa ndani ya Jumba la BBA Afrika Kusini na mwanamuziki Fally Ipupa wakiwa na ujumbe wa ONE Campaign kuhimiza kilimo, leo taarifa ninayokupa ni kuwa amekuwa mmoja ya wasanii ambao...

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND PLATNUMZ LIVE NDANI YA WASHINGTON DMV / SHEREHE ZA UHURU DEC6 / NUNUA TICKET KABLA YA NOV 10 KWA $ 75 TU BAADA YA NOV 10 BEI ITAKUWA $ 100.

   
                                                  3 COURSE DINNER  &  LIVE SHOW
                                                                 FREE PARKING
                            TICKET  ZINAUZWA ONLINE TU.....BOFYA  HAPO CHINI
                                   WWW.DIAMONDUSATOUR.COM


                                 ...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Mfahamu zaidi Idris Sultan, mwakilishi wa Tanzania kwenye BBA Hotshots

Mpiga picha na graphic designer anayefanya kazi kwenye kampuni ya I-View Studios, ni mwakilishi wa kwanza kutoka Tanzania aliyetajwa tayari kutuwakilisha mwaka huu kwenye shindano la Big Brother Africa. Majina bado yanaendelea kutajwa hivyo tunangoja kufahamu mshiriki wa pili. Tumepata bahati ya kukutana na Idris. Ni kijana mwenye vituko sana na ukikaa naye kwa muda […]

 

11 years ago

GPL

DIAMOND ADONDOSHA SWIMMING POOL KWENYE JUMBA LAKE TEGETA

Bwawa la kuogelea 'swimming pool' likiendelea kujengwa kwenye mjengo wa Diamond, Tegeta, Dar. Staa wa Bongo Fleva Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' anajenga bwawa la kuogelea 'swimming pool' katika nyumba yake anayoendelea kujenga huko Tegeta jijini Dar es Salaam. Kupitia akaunti yake ya Instagram, staa huyo ametupia picha ya swimming pool hiyo inayoendelea kujengwa na kuandika yafuatayo: "Wachina wa nini wakati Watanzania...

 

10 years ago

GPL

JUMBA LA BBA LILIVYOTEKETEA KWA MOTO

JUMBA lililokuwa limeandaliwa kwa ajili ya washiriki wa shindano la Big Brother Africa (BBA) 2014 limeteketea kwa moto jana eneo la Sesani Studios jijini Johannesburg nchini Afrika Kusini. Kuteketea kwa jumba hilo kumesababisha uzinduzi wa shindano hilo kwa mwaka huu kusogezwa mbele tofauti na awali ambapo ulitarajiwa kufanyika Jumapili ijayo ya Septemba 7, mwaka huu. Katika taarifa iliyotolewa na waandaaji wa shindano hilo,...

 

10 years ago

Bongo Movies

Alichosema Diamond Platnumz baada ya Jokate kuingia mkataba wa kibiashara na kampuni toka CHINA

Baada ya mwanadada Jokate kupitia kampuni yake ya KIDOTi kuingia mkataba mnono wa bidhaa zake na kampuni ya wachina, msanii Dimaond Platnumz amefunguka haya yafuatayo…

 

“..Kama muekezaji wa nje ameweza kuona Potential na kumuamini kidoti na kuamua kuwekeza kwenye bidhaa zake...kwanini sisi tusimuamini???.. nafikiri huu ni wakati muafaka wa kuanza kuthamini na kusupport brand zetu za nyumbani.. Hongera sana Kate... sema sasa ututolee bidhaa nzuri kweli, sio tena ukale hela za mchina wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani