Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DIAMOND ADONDOSHA SWIMMING POOL KWENYE JUMBA LAKE TEGETA

Bwawa la kuogelea 'swimming pool' likiendelea kujengwa kwenye mjengo wa Diamond, Tegeta, Dar. Staa wa Bongo Fleva Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' anajenga bwawa la kuogelea 'swimming pool' katika nyumba yake anayoendelea kujenga huko Tegeta jijini Dar es Salaam. Kupitia akaunti yake ya Instagram, staa huyo ametupia picha ya swimming pool hiyo inayoendelea kujengwa na kuandika yafuatayo: "Wachina wa nini wakati Watanzania...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Video: Avril asimulia kwa mara ya kwanza jinsi alivyoanguka kwenye swimming pool wakati akitumbuiza Dar

Kwa mara ya kwanza muimbaji wa Kenya, Avril amelizungumzia tukio lililotokea miaka miwili iliyopita jijini Dar es Salaam wakati alipokuwa akitumbuiza kwenye Pool Party iliyofanyika kwenye hoteli ya Regency Park, Mikocheni. Kwenye show hiyo ambayo rapper Prezzo pia alitumbuiza, Avril alijikuta akitumbukia kwenye bwawa la kuogelea lililokuwa mbele ya jukwaa. Bahati nzuri mrembo huyo anajua […]

 

10 years ago

Bongo5

Diamond Platnumz kuingia kwenye jumba la BBA Hotshots leo (Nov 27) kupiga story na washiriki

Diamond Platnumz tayari ametua jijini Johannesburg, Afrika Kusini toka jana, tayari kuhudhuria tuzo za Channel O (CHOAMVA) zinazotarajiwa kutolewa siku ya Jumamosi Nov.29 akiwa anawania vipengele vinne. Staa huyo ambaye ameachia ngoma mpya siku chache zilizopita ‘Ntampata wapi’, ameandika kupitia akaunti zake za mitandao ya kijamaii kuwa pia leo Alhamisi Nov.27 atapata nafasi ya kuingia […]

 

10 years ago

Bongo5

Sheddy Clever alalamika jina lake kutoandikwa kwenye kichupa cha Diamond ‘Ntampata Wapi’

Producer wa hits mbili za Diamond Platnumz ‘Number One’ na ‘Ntampata Wapi’ alionekana kufurahia mafanikio ya Diamond kwenye tuzo za Channel O, lakini kitu kimoja hakijakaa sawa moyoni mwake. Sheddy amesema ameshangazwa baada ya kutoona jina lake likiandikwa kwenye video ya ‘Ntampata Wapi’. “Biashara kweli ni matangazo na nilitakiwa niandikwe kweli kwenye ile video, lakini […]

 

10 years ago

Michuzi

Nyalandu launched hot springs boardwalk way and hippo pool viewpoint in Lake Manyara

Minister for Natural Resources and Tourism Hon. Lazaro Nyalandu has commended a remarkable initiative by Tanzania National Parks in introducing new tourism products at Lake Manyara National Park. Nyalandu said this during the official launching of the hot springs boardwalk way and hippo pool viewpoint projects at the park yesterday. Nyalandu said that the two projects will add value to the tourism sector by increasing the number of tourist arrivals in the country and urged other stakeholders...

 

10 years ago

Vijimambo

Nyalandu launches hot springs boardwalk-way and hippo pool viewpoint in Lake Manyara national park

The newly launched Hippo view point in Lake Manyara National ParkThe newly launched Hot springs boardwalk way in Lake Manyara National ParkSome of the TANAPA staff in a group picture with the Minister for Natural Resources and Tourism Hon. Lazaro Nyalandu (seated third left).Minister for Natural Resources and Tourism Hon. Lazaro Nyalandu has commended a remarkable initiative by Tanzania National Parks in introducing new tourism products at Lake Manyara National Park. Nyalandu said this...

 

10 years ago

Michuzi

Nyalandu launches hot springs boardwalk-way and hippo pool viewpoint at the Lake Manyara national park

Chief Park Warden for Lake Manyara National Park Mr. Domician Njau (right) explain a point to Hon. Lazaro Nyalandu, Minister for Natural Resources and Tourism as they walk through the Lake Manyara Hot springs boardwalk way yesterday.Director General of TANAPA Allan Kijazi giving out welcoming remarks during the official launching of the hot springs boardwalk way and hippo view point at Lake Manyara National Park yesterday.Minister for Natural Resources and Tourism Hon. Lazaro Nyalandu...

 

11 years ago

GPL

DIAMOND KUMNUNULIA WEMA JUMBA LA MIL 125

Na Waandishi Wetu
STAA wa Bongo Fleva mwenye mbwembwe kibao, pia anasifika kwa kuwa msafi na anasemekana ndiye mwenye mkwanja wa nguvu Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond’ anadaiwa yuko kwenye mchakato wa kumnunulia jumba la kifahari mpenzi wake wa ‘nenda rudi’, Wema Sepetu, Amani limeinyaka hii. KUNA SABABU?
Kwa mujibu wa chanzo, Diamond ameamua kuingia kwenye kujikamua huko kufuatia taarifa kwamba,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani