Sheddy Clever alalamika jina lake kutoandikwa kwenye kichupa cha Diamond ‘Ntampata Wapi’
Producer wa hits mbili za Diamond Platnumz ‘Number One’ na ‘Ntampata Wapi’ alionekana kufurahia mafanikio ya Diamond kwenye tuzo za Channel O, lakini kitu kimoja hakijakaa sawa moyoni mwake. Sheddy amesema ameshangazwa baada ya kutoona jina lake likiandikwa kwenye video ya ‘Ntampata Wapi’. “Biashara kweli ni matangazo na nilitakiwa niandikwe kweli kwenye ile video, lakini […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Sheddy Clever: Mashabiki wamemtosa Diamond
PRODYUZA wa mkali wa muziki wa kizazi kipya nchini, Naseb Abdul ‘Diamond Platinum’, Sheddy Clever, amesema Watanzania ndio wamemuangusha msanii huyo katika harakati zake za kuwania tuzo za MTV MAMA....
11 years ago
GPL
SHEDDY CLEVER; PRODYUZA ALIYEBEBWA NA NYOTA YA DIAMOND
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
Diamond, Jide, Sheddy Clever wamefungua njia
USIKU wa kuamkia Julai 27, macho na masikio ya wapenzi na wadau wa muziki nchini yalihamia nchini Marekani ambapo kulikuwa na utoaji wa tuzo za African Muzik Magazine Awards (AFRIMMA)...
10 years ago
Jamtz.Com
10 years ago
Bongo520 Nov
New Music: Diamond Platnumz — Ntampata Wapi
10 years ago
GPL
10 years ago
GPL
10 years ago
Bongo Movies09 Mar
Wimbo wa “Ntampata Wapi”, Diamond Hakuniimbia Mimi- Wema Sepetu
Mrembo na staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu ametoboa kuwa wimbo wa “Ntampata Wapi” ulioimbwa na aliekuwa mpezi wake, Diamond Platnumz hakuimbiwa yeye, hii ni kutokana na watu wengi kudhani kuwa wimbo huu alitungiwa yeye ukizingatia kuwa wakati wimbo huo unatoka ndio kilikuwa kipindi wametoka kuachana.
“Leo nasema rasmi kuwa hii nyimbo hakuniandikia mimi….because nilikuwa naisikia hii nyimbo hata wakati tulipokuwa kwenye uhusiano amekuwa akiimba, akiindika kwahiyo ilikuwa tu ni moja ya...
10 years ago
Bongo504 Dec
Picha: Mfahamu Melissa Magiera, model kwenye video ya ‘Ntampata Wapi’