Sheddy Clever: Mashabiki wamemtosa Diamond
PRODYUZA wa mkali wa muziki wa kizazi kipya nchini, Naseb Abdul ‘Diamond Platinum’, Sheddy Clever, amesema Watanzania ndio wamemuangusha msanii huyo katika harakati zake za kuwania tuzo za MTV MAMA....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
Diamond, Jide, Sheddy Clever wamefungua njia
USIKU wa kuamkia Julai 27, macho na masikio ya wapenzi na wadau wa muziki nchini yalihamia nchini Marekani ambapo kulikuwa na utoaji wa tuzo za African Muzik Magazine Awards (AFRIMMA)...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhk--oiCpaS6KH4BvbwTAKr78mMYi-LI4QKeXMxkTKUGhpz*PMCFSwz*XlIiZLVYE-iVqLo7CrPn7HzC4PM3ZZv1/IMG20140311WA0002.jpg?width=600)
SHEDDY CLEVER; PRODYUZA ALIYEBEBWA NA NYOTA YA DIAMOND
10 years ago
Bongo502 Dec
Sheddy Clever alalamika jina lake kutoandikwa kwenye kichupa cha Diamond ‘Ntampata Wapi’
11 years ago
TheCitizen13 Jun
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
NAFURAHI KUKOSA TUZO ZA KILI - SHEDDY CLEVER
10 years ago
Bongo503 Oct
Sheddy Clever atayarisha wimbo wa Tiwa Savage na KCEE (Video)
9 years ago
Bongo511 Nov
Sheddy Clever aja na lebo yake, ‘Burn Records Tanzania’
![sheddy na Ne-yo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/08/sheddy-na-Ne-yo-300x194.jpg)
Mtayarishaji wa wimbo ulioshinda tuzo kibao, Number One wa Diamond Platnumz, Sheddy Clever, ameanzisha lebo yake ya muziki.
Kupitia ukurasa wa Instagram, Sheddy Clever ameandika:
Kuna bora kipaji na Kipaji bora. Sasa hawa ni zaidi ya kipaji bora nina imani watafika pale wanapopataka na mimi nitawa support kwa nguvu zangu zote.Naomba itambulike hawa ndio wasanii wangu walio chini ya studio yangu Burnrecordz . Lakini hawawezi fanikiwa bila ya wewe shabiki na mpenzi wa bongofleva kuwapokea na...
9 years ago
Bongo505 Dec
Sheddy Clever aelezea furaha yake kukutana na Bizman studio
![Shebby Clever na Bizman](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Shebby-Clever-na-Bizman-300x194.jpg)
Mtayarishaji wa muziki wa Burn Records, Sheddy Clever ameelezea furaha yake baada ya kutembelewa na mtayarishaji mkongwe wa muziki, Bizman na kumfunza baadhi ya mambo.
Sheddy ameiambia Bongo5 kuwa ilikuwa ni ndoto yake ya siku nyingi kukutana na mkongwe huyo aliyekuwa akisikiliza ngoma zake tangu akiwa shuleni.
“Bizman ni mtu ambaye namwelewa sana na namkubali sana toka nipo shule kazi zake nazitambua,” amesema Sheddy. “Kwahiyo nilikuwa nikimtafuta siku nyingi sana lakini nilikuwa simpati...
11 years ago
GPLPRODYUZA WA ‘NUMBER ONE’, SHEDDY CLEVER ATEMBELEA GLOBAL TV ONLINE