BBA Hotshots: Endelea kumpigia kura Laveda wa Tanzania kumuokoa asitoke Jumapili hii
Mshiriki mmoja wa Tanzania yupo kwenye hatari ya kutoka kwenye msimu wa tisa wa shindano la Big Brother Africa ‘Hotshots’ weekend hii, ambaye ni Laveda (Irene La Veda). Hivyo njia pekee ya kumuokoa abaki kwenye jumba la ‘kaka mkubwa’ ni kura yako. Washiriki wawili kati ya tisa watafunga mizigo yao siku ya Jumapili. Washiriki waliopigiwa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2Tkrz8bmcYh0T-piEML0IUSuPWw60tli1MQ*eXLaHj06aHkzTR2YrCITXPdHRhgo8c0EwZyx-f1hW2ETQEd-3mlW5oi8ZAsW/1LavedaTanzania.jpg)
BBA: MEET HOTSHOTS LAVEDA, KACEY MOORE AND JJ
Laveda - Tanzania Age: 23 Bachelor of Arts & Social Sciences graduate Laveda was born in Dar Es Salaam. She’s single and describes herself as ‘eccentric, loving, caring, simple and fun’. Laveda is the eldest of three children and she has a younger brother and sister. She says her mom is her role model, because she has moulded her over the years and inspired her in different ways ‘through the struggles...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-PkFZ8UKZ6u0/VB_u42kQyFI/AAAAAAAGk7g/H_aimwiTSYc/s72-c/Kacey%2BMoore%2B-%2BGhana.jpg)
BBA - Todays reveal: Meet Hotshots Laveda, Kacey Moore and JJ
![](http://1.bp.blogspot.com/-PkFZ8UKZ6u0/VB_u42kQyFI/AAAAAAAGk7g/H_aimwiTSYc/s1600/Kacey%2BMoore%2B-%2BGhana.jpg)
Born in Accra, Kacey Moore is a married poet and songwriter, with a daughter. He enjoys banku and okro stew and says his favourite books are the Bible, the dictionary, and the thesaurus! Kacey Moore also likes the music of Usher and Lauryn Hill.
Kacey Moore describes himself as a’ go-getter’, as well as ‘punctual, a leader, a creator and a voice’. His favourite quality, punctuality. It is important to him in both himself and others.
He entered Big Brother Hotshots...
10 years ago
Bongo520 Oct
BBA Hotshots: Washiriki wa Kenya, Uganda, na Nigeria watolewa mchezoni, Laveda aponea chupuchupu
Mtanzania Laveda Jumapili October 19 aliponea chupuchupu kwa kubaki kwenye jumba la Big Brother Africa, huku akiwashuhudia washiriki wenzake watatu wa kike wakitoka mchezoni. Sabina, Lilian, Esther Esther (Uganda) , Lilian (Nigeria) pamoja na Sabina (Kenya) ndio washiriki walioondolewa katika shindano hilo usiku wa jana ikiwa ni ‘eviction’ ya pili toka shindano lianze. Hadi sasa […]
10 years ago
Bongo505 Dec
Idris kushinda $300,000 za Big Brother Jumapili hii? Afrika Mashariki yajiunga kumpigia kura kwa fujo!
Wanasema ni vyema kutumainia mema na kujiandaa kwa mabaya na wengine wanaonya kuwa ukiwa na matarajio makubwa usishangae kufedheheshwa kwa kiasi kikubwa pia. Pamoja na misemo hiyo, ni wazi tuna kila sababu ya kuwa na matumaini kuwa kijana wetu Idris Sultan anaweza kushinda taji la Big Brother Africa, Hotshots. Tunaona jinsi ambavyo mastaa na watu […]
10 years ago
Bongo505 Oct
Tanzania yaanza vyema BBA, Laveda awa ‘Head of House’ wa kwanza
Shindano la Big Brother Africa Hotshots limezinduliwa Jumapili hii, jijini Johannesburg nchini Afrika Kusini. Msimu wa mwaka huu umezinduliwa kwa washiriki wote 26 kuonesha vipaji vyao na watazamaji kuwapa marks. Mwakilishi wa Tanzania, Laveda ndiye aliyeongoza kwa kupata asilimilia 85 kwa uhodari wake wa kupiga saxophone. Ushindi huo umemfanya Big Brother amtangaze kuwa ‘mkuu wa […]
10 years ago
Bongo502 Dec
Jose Chameleone aungana na Watanzania kuhamasisha Afrika Mashariki impigie kura Idris ashinde BBA Hotshots
Shindano la Big Brother Africa Hotshots linaelekea katika hatua muhimu zaidi ikiwa sasa wamesalia washiriki nane akiwemo Idris anayeiwakilisha Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Msanii mkubwa Afrika Mashariki, Jose Chameleone wa Uganda ameonesha mfano wa kile kinachotakiwa kufanywa na wana Afrika Mashariki ili kumuwezesha Idris abaki mjengoni hadi siku ya fainali na hatimaye kurudi […]
10 years ago
Michuzi05 Oct
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yLBGfqJNowiFYLIwgFDCMi51RuO8mvC1dWY0oLZzFu9uQUWg2RGUvxwfbS*VNDggkQdqTEpp73ByTQIUZqTY*U8sgKmBH9Xi/03e47ea0a69a11e3a586123cee9e9f3b_8.jpg)
IDRIS SULTAN, MWAKILISHI WA TANZANIA BBA HOTSHOTS 2014
Mpiga picha na Msanifu kurasa, Idris Sultan mwakilishi wa Tanzania kwenye Big Brother HotShots ya mwaka huu. Idris Sultan akiwa katika…
10 years ago
Bongo519 Sep
Picha: Mfahamu zaidi Idris Sultan, mwakilishi wa Tanzania kwenye BBA Hotshots
Mpiga picha na graphic designer anayefanya kazi kwenye kampuni ya I-View Studios, ni mwakilishi wa kwanza kutoka Tanzania aliyetajwa tayari kutuwakilisha mwaka huu kwenye shindano la Big Brother Africa. Majina bado yanaendelea kutajwa hivyo tunangoja kufahamu mshiriki wa pili. Tumepata bahati ya kukutana na Idris. Ni kijana mwenye vituko sana na ukikaa naye kwa muda […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania