Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BBA Hotshots: Endelea kumpigia kura Laveda wa Tanzania kumuokoa asitoke Jumapili hii

Mshiriki mmoja wa Tanzania yupo kwenye hatari ya kutoka kwenye msimu wa tisa wa shindano la Big Brother Africa ‘Hotshots’ weekend hii, ambaye ni Laveda (Irene La Veda). Hivyo njia pekee ya kumuokoa abaki kwenye jumba la ‘kaka mkubwa’ ni kura yako. Washiriki wawili kati ya tisa watafunga mizigo yao siku ya Jumapili. Washiriki waliopigiwa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BBA: MEET HOTSHOTS LAVEDA, KACEY MOORE AND JJ

Laveda - Tanzania Age: 23 Bachelor of Arts & Social Sciences graduate Laveda was born in Dar Es Salaam. She’s single and describes herself as ‘eccentric, loving, caring, simple and fun’. Laveda is the eldest of three children and she has a younger brother and sister. She says her mom is her role model, because she has moulded her over the years and inspired her in different ways ‘through the struggles...

 

10 years ago

Michuzi

BBA - Todays reveal: Meet Hotshots Laveda, Kacey Moore and JJ

 Kacey Moore - GhanaAge: 29
Born in Accra, Kacey Moore is a married poet and songwriter, with a daughter. He enjoys banku and okro stew and says his favourite books are the Bible, the dictionary, and the thesaurus! Kacey Moore also likes the music of Usher and Lauryn Hill.
Kacey Moore describes himself as a’ go-getter’, as well as ‘punctual, a leader, a creator and a voice’. His favourite quality, punctuality.  It is important to him in both himself and others.
He entered Big Brother Hotshots...

 

10 years ago

Bongo5

BBA Hotshots: Washiriki wa Kenya, Uganda, na Nigeria watolewa mchezoni, Laveda aponea chupuchupu

Mtanzania Laveda Jumapili October 19 aliponea chupuchupu kwa kubaki kwenye jumba la Big Brother Africa, huku akiwashuhudia washiriki wenzake watatu wa kike wakitoka mchezoni. Sabina, Lilian, Esther Esther (Uganda) , Lilian (Nigeria) pamoja na Sabina (Kenya) ndio washiriki walioondolewa katika shindano hilo usiku wa jana ikiwa ni ‘eviction’ ya pili toka shindano lianze. Hadi sasa […]

 

10 years ago

Bongo5

Idris kushinda $300,000 za Big Brother Jumapili hii? Afrika Mashariki yajiunga kumpigia kura kwa fujo!

Wanasema ni vyema kutumainia mema na kujiandaa kwa mabaya na wengine wanaonya kuwa ukiwa na matarajio makubwa usishangae kufedheheshwa kwa kiasi kikubwa pia. Pamoja na misemo hiyo, ni wazi tuna kila sababu ya kuwa na matumaini kuwa kijana wetu Idris Sultan anaweza kushinda taji la Big Brother Africa, Hotshots. Tunaona jinsi ambavyo mastaa na watu […]

 

10 years ago

Bongo5

Tanzania yaanza vyema BBA, Laveda awa ‘Head of House’ wa kwanza

Shindano la Big Brother Africa Hotshots limezinduliwa Jumapili hii, jijini Johannesburg nchini Afrika Kusini. Msimu wa mwaka huu umezinduliwa kwa washiriki wote 26 kuonesha vipaji vyao na watazamaji kuwapa marks. Mwakilishi wa Tanzania, Laveda ndiye aliyeongoza kwa kupata asilimilia 85 kwa uhodari wake wa kupiga saxophone. Ushindi huo umemfanya Big Brother amtangaze kuwa ‘mkuu wa […]

 

10 years ago

Bongo5

Jose Chameleone aungana na Watanzania kuhamasisha Afrika Mashariki impigie kura Idris ashinde BBA Hotshots

Shindano la Big Brother Africa Hotshots linaelekea katika hatua muhimu zaidi ikiwa sasa wamesalia washiriki nane akiwemo Idris anayeiwakilisha Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Msanii mkubwa Afrika Mashariki, Jose Chameleone wa Uganda ameonesha mfano wa kile kinachotakiwa kufanywa na wana Afrika Mashariki ili kumuwezesha Idris abaki mjengoni hadi siku ya fainali na hatimaye kurudi […]

 

10 years ago

Michuzi

BBA: Hotshots Interview with Idris (Tanzania)


For source and more CLICK HERE

 

10 years ago

GPL

IDRIS SULTAN, MWAKILISHI WA TANZANIA BBA HOTSHOTS 2014

Mpiga picha na Msanifu kurasa, Idris Sultan mwakilishi wa Tanzania kwenye Big Brother HotShots ya mwaka huu. Idris Sultan akiwa katika…

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Mfahamu zaidi Idris Sultan, mwakilishi wa Tanzania kwenye BBA Hotshots

Mpiga picha na graphic designer anayefanya kazi kwenye kampuni ya I-View Studios, ni mwakilishi wa kwanza kutoka Tanzania aliyetajwa tayari kutuwakilisha mwaka huu kwenye shindano la Big Brother Africa. Majina bado yanaendelea kutajwa hivyo tunangoja kufahamu mshiriki wa pili. Tumepata bahati ya kukutana na Idris. Ni kijana mwenye vituko sana na ukikaa naye kwa muda […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani