Tanzania yaanza vyema BBA, Laveda awa ‘Head of House’ wa kwanza
Shindano la Big Brother Africa Hotshots limezinduliwa Jumapili hii, jijini Johannesburg nchini Afrika Kusini. Msimu wa mwaka huu umezinduliwa kwa washiriki wote 26 kuonesha vipaji vyao na watazamaji kuwapa marks. Mwakilishi wa Tanzania, Laveda ndiye aliyeongoza kwa kupata asilimilia 85 kwa uhodari wake wa kupiga saxophone. Ushindi huo umemfanya Big Brother amtangaze kuwa ‘mkuu wa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yhCsS*vRHKgUiFvWJxq-yKrChPOnfLvHAuSKWtmQoDs1JpsQEXLCf-31URq5Rae1pwu3HSQu5-*uk1eSz4Z4PVW4IAG0VGZd/idrissbigbrotherafrica.jpg?width=650)
IDIRIS HEAD OF HOUSE BBA HOTSHOTS
Idris akiwa ndani ya jumba la Big Brother Hotshorts. Mshiriki aliyebaki ndani ya nyumba ya Big Brother Hotshorts, Idris mpiga picha kutoka Arusha, Tanzania ameshinda kuwa kiongozi wa jumba 'Head of House' la BBA Hotshorts wiki hii. Mr. 265, Frankie, Nhlanhla na …
10 years ago
Bongo517 Oct
BBA Hotshots: Endelea kumpigia kura Laveda wa Tanzania kumuokoa asitoke Jumapili hii
Mshiriki mmoja wa Tanzania yupo kwenye hatari ya kutoka kwenye msimu wa tisa wa shindano la Big Brother Africa ‘Hotshots’ weekend hii, ambaye ni Laveda (Irene La Veda). Hivyo njia pekee ya kumuokoa abaki kwenye jumba la ‘kaka mkubwa’ ni kura yako. Washiriki wawili kati ya tisa watafunga mizigo yao siku ya Jumapili. Washiriki waliopigiwa […]
10 years ago
GPLLAVEDA ARUDI BBA
Irene Neema Vedastous 'La Veda'. Stori: Gabriel Ng’osha MWANADADA aliyewakilisha Tanzania katika shindano la BIG BROTHER 2014 ‘HOTSHOTS’ nchini Afrika Kusini. Irene Neema Vedastous 'La Veda' ameitwa tena ili kushuhudia fainali za kinyang’anyiro hicho. Mrembo huyo amepanda pipa juzi saa 8 mchana kuelekea Sauz ambapo atakaa kwa muda wa wiki moja.… ...
10 years ago
TheCitizen11 Oct
A good start for Laveda in BBA
The whole room was filled with energy after Big Brother Africa’s launching MC, Nigeria’s IK, announced that the lady who just played the saxophone was Laveda from Tanzania.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2Tkrz8bmcYh0T-piEML0IUSuPWw60tli1MQ*eXLaHj06aHkzTR2YrCITXPdHRhgo8c0EwZyx-f1hW2ETQEd-3mlW5oi8ZAsW/1LavedaTanzania.jpg)
BBA: MEET HOTSHOTS LAVEDA, KACEY MOORE AND JJ
Laveda - Tanzania Age: 23 Bachelor of Arts & Social Sciences graduate Laveda was born in Dar Es Salaam. She’s single and describes herself as ‘eccentric, loving, caring, simple and fun’. Laveda is the eldest of three children and she has a younger brother and sister. She says her mom is her role model, because she has moulded her over the years and inspired her in different ways ‘through the struggles...
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Tanzania yaanza vyema tenisi
Tanzania jana ilianza vizuri mashindano ya vijana ya Afrika Mashariki na Kati baada ya wachezaji wake Mernad Frank na , Emmanuel Mallay kushinda katika michezo yao ya jana kwenye Viwanja vya Gymkhana, Dar es Salaam.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-PkFZ8UKZ6u0/VB_u42kQyFI/AAAAAAAGk7g/H_aimwiTSYc/s72-c/Kacey%2BMoore%2B-%2BGhana.jpg)
BBA - Todays reveal: Meet Hotshots Laveda, Kacey Moore and JJ
![](http://1.bp.blogspot.com/-PkFZ8UKZ6u0/VB_u42kQyFI/AAAAAAAGk7g/H_aimwiTSYc/s1600/Kacey%2BMoore%2B-%2BGhana.jpg)
Born in Accra, Kacey Moore is a married poet and songwriter, with a daughter. He enjoys banku and okro stew and says his favourite books are the Bible, the dictionary, and the thesaurus! Kacey Moore also likes the music of Usher and Lauryn Hill.
Kacey Moore describes himself as a’ go-getter’, as well as ‘punctual, a leader, a creator and a voice’. His favourite quality, punctuality. It is important to him in both himself and others.
He entered Big Brother Hotshots...
10 years ago
GPL22 Nov
10 years ago
Bongo520 Oct
BBA Hotshots: Washiriki wa Kenya, Uganda, na Nigeria watolewa mchezoni, Laveda aponea chupuchupu
Mtanzania Laveda Jumapili October 19 aliponea chupuchupu kwa kubaki kwenye jumba la Big Brother Africa, huku akiwashuhudia washiriki wenzake watatu wa kike wakitoka mchezoni. Sabina, Lilian, Esther Esther (Uganda) , Lilian (Nigeria) pamoja na Sabina (Kenya) ndio washiriki walioondolewa katika shindano hilo usiku wa jana ikiwa ni ‘eviction’ ya pili toka shindano lianze. Hadi sasa […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania