LAVEDA WA BBA AZITAJA SIFA ZA MCHUMBA WAKE AMTAKAYE, AKANUSHA KUJICHUA MJENGONI
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo516 Feb
Lady Jaydee azitaja sifa za mwanaume amtakaye kwa sasa
Baada ya kutangaza kuwa kwa sasa yuko single, miongoni mwa maswali ambayo Lady Jaydee amekutana nayo ni kuhusu sifa za mwanaume ambaye anamtaka awe mpenzi wake kwa sasa. Kupitia Instagram Jide aliorodhesha sifa za mwanaume amtakaye kwa sasa, soma huenda ukawa nazo (kama wewe ni mwanaume mwenye ndoto za kuwa na staa huyo). Yapo maswali […]
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PhpRQMoFW8aINxhcM0glZO1xfoNDq67wQjGYRj*uGLkMYYHE3IXqrPf9A5Cuh-jJDASfRD40bn9o9cvZkXqnnUfrKsKyHAp4/levada.jpg)
LAVEDA: SIJAWAHI KUJICHUA BIG BROTHER
Srori: Shani Ramadhani ALIYEKUWA mwakilishi wa Tanzania katika Big Brother Africa Hotshots, Irene Laveda wiki hii alikuja na kufanya mazungumzo katika chumba chetu cha habari.Katika mahojiano maalum, Irene alizungumza mambo mbalimbali kama alivyonukuliwa na Global tv online. La Veda wakati wa Exclusive Interview na Global TV Online. Kwa sasa msichana huyo amedhamiria kufanya… ...
10 years ago
GPLLAVEDA ARUDI BBA
Irene Neema Vedastous 'La Veda'. Stori: Gabriel Ng’osha MWANADADA aliyewakilisha Tanzania katika shindano la BIG BROTHER 2014 ‘HOTSHOTS’ nchini Afrika Kusini. Irene Neema Vedastous 'La Veda' ameitwa tena ili kushuhudia fainali za kinyang’anyiro hicho. Mrembo huyo amepanda pipa juzi saa 8 mchana kuelekea Sauz ambapo atakaa kwa muda wa wiki moja.… ...
10 years ago
TheCitizen11 Oct
A good start for Laveda in BBA
The whole room was filled with energy after Big Brother Africa’s launching MC, Nigeria’s IK, announced that the lady who just played the saxophone was Laveda from Tanzania.
11 years ago
Michuzi18 Feb
KIJANA MTANASHATI ATAFUTA MCHUMBA WA KUOA: Ona picha yake na sifa za mchumba huyo anayemtaka apo chini
![](https://4.bp.blogspot.com/-yF_B61RPSXE/UwNobcg0nQI/AAAAAAAABqg/22IqbDfuLN4/s1600/OSCAR.jpg)
Master Oscar John
Mimi ni kijana wa kitanzania ambaye nimekulia katika maadili ya kidini na malezi mazuri ya kifamia, napenda nichukue fursa hii nitangaze nafasi ya mchumba ambaye kama ata kidhi vigezo vyangu atakuwa ndio mke wangu wa ndoa. Kifupi mi ni mtaalam wa IT naishi Dar es salaam. Mchumba ninaye mtaka ni vema awe amekulia malezi ya kidini kwa sababu mimi ni mcha Mungu na napenda kusali kwa hiyo napenda na yeye awe hivyo, malezi yangu ni ya dini ya kikristo ni vema na yeye akawa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2Tkrz8bmcYh0T-piEML0IUSuPWw60tli1MQ*eXLaHj06aHkzTR2YrCITXPdHRhgo8c0EwZyx-f1hW2ETQEd-3mlW5oi8ZAsW/1LavedaTanzania.jpg)
BBA: MEET HOTSHOTS LAVEDA, KACEY MOORE AND JJ
Laveda - Tanzania Age: 23 Bachelor of Arts & Social Sciences graduate Laveda was born in Dar Es Salaam. She’s single and describes herself as ‘eccentric, loving, caring, simple and fun’. Laveda is the eldest of three children and she has a younger brother and sister. She says her mom is her role model, because she has moulded her over the years and inspired her in different ways ‘through the struggles...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-PkFZ8UKZ6u0/VB_u42kQyFI/AAAAAAAGk7g/H_aimwiTSYc/s72-c/Kacey%2BMoore%2B-%2BGhana.jpg)
BBA - Todays reveal: Meet Hotshots Laveda, Kacey Moore and JJ
![](http://1.bp.blogspot.com/-PkFZ8UKZ6u0/VB_u42kQyFI/AAAAAAAGk7g/H_aimwiTSYc/s1600/Kacey%2BMoore%2B-%2BGhana.jpg)
Born in Accra, Kacey Moore is a married poet and songwriter, with a daughter. He enjoys banku and okro stew and says his favourite books are the Bible, the dictionary, and the thesaurus! Kacey Moore also likes the music of Usher and Lauryn Hill.
Kacey Moore describes himself as a’ go-getter’, as well as ‘punctual, a leader, a creator and a voice’. His favourite quality, punctuality. It is important to him in both himself and others.
He entered Big Brother Hotshots...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-BSNE4-w-sRA/VZVMtc0P8II/AAAAAAAAw8M/hBwHT0xRlFI/s72-c/ray%2Bc2.jpg)
Ray C : Naomba kuwatangazia kuwa natafuta mchumba wa kuishi naye milele! Atoa vigezo 10 vya mume amtakaye
![](http://2.bp.blogspot.com/-BSNE4-w-sRA/VZVMtc0P8II/AAAAAAAAw8M/hBwHT0xRlFI/s400/ray%2Bc2.jpg)
Msanii wa muziki Rehema Chalamila aka Ray C amefungua mlango kwa mwanaume yoyote anayetaka kumuoa ajitokeze ilimradi awe na vigezo 10 ambavyo ameviainisha.
Kupitia ukurasa wake wa instagram Ray C ameandika:
“Habari zenu wapendwa wote dunia nzima!Leo na habari nzuri sana kwenu,Naomba kuwatangazia kuwa natafuta Mchumba wa kuishi nae milele!nataka niwe nae milele na nimzalie watoto wawili wa kike na wakiume!!!!
Ila naomba niwambie kabisa masharti
1.Awe mpole ili nikikasirika anibembeleze
2.Awe...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania