Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LAVEDA WA BBA AZITAJA SIFA ZA MCHUMBA WAKE AMTAKAYE, AKANUSHA KUJICHUA MJENGONI

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Lady Jaydee azitaja sifa za mwanaume amtakaye kwa sasa

Baada ya kutangaza kuwa kwa sasa yuko single, miongoni mwa maswali ambayo Lady Jaydee amekutana nayo ni kuhusu sifa za mwanaume ambaye anamtaka awe mpenzi wake kwa sasa. Kupitia Instagram Jide aliorodhesha sifa za mwanaume amtakaye kwa sasa, soma huenda ukawa nazo (kama wewe ni mwanaume mwenye ndoto za kuwa na staa huyo). Yapo maswali […]

 

10 years ago

GPL

LAVEDA: SIJAWAHI KUJICHUA BIG BROTHER

Srori: Shani Ramadhani ALIYEKUWA mwakilishi wa Tanzania katika Big Brother Africa Hotshots, Irene Laveda wiki hii alikuja na kufanya mazungumzo katika chumba chetu cha habari.Katika mahojiano maalum, Irene alizungumza mambo mbalimbali kama alivyonukuliwa na Global tv online. La Veda wakati wa Exclusive Interview na Global TV Online. Kwa sasa msichana huyo amedhamiria kufanya… ...

 

10 years ago

GPL

LAVEDA ARUDI BBA

Irene Neema Vedastous 'La Veda'. Stori: Gabriel Ng’osha MWANADADA aliyewakilisha Tanzania katika shindano la BIG BROTHER 2014 ‘HOTSHOTS’ nchini Afrika Kusini. Irene Neema Vedastous 'La Veda' ameitwa tena ili kushuhudia fainali za kinyang’anyiro hicho. Mrembo huyo amepanda pipa juzi saa 8 mchana kuelekea Sauz ambapo atakaa kwa muda wa wiki moja.… ...

 

10 years ago

TheCitizen

A good start for Laveda in BBA

The whole room was filled with energy after Big Brother Africa’s launching MC, Nigeria’s IK, announced that the lady who just played the saxophone was Laveda from Tanzania.

 

11 years ago

Michuzi

KIJANA MTANASHATI ATAFUTA MCHUMBA WA KUOA: Ona picha yake na sifa za mchumba huyo anayemtaka apo chini


Master Oscar John
Mimi ni kijana wa kitanzania ambaye nimekulia katika maadili ya kidini na malezi mazuri ya kifamia, napenda nichukue fursa hii nitangaze nafasi ya mchumba ambaye kama ata kidhi vigezo vyangu atakuwa ndio mke wangu wa ndoa. Kifupi mi ni mtaalam wa IT naishi Dar es salaam.  Mchumba ninaye mtaka ni vema awe amekulia malezi ya kidini kwa sababu mimi ni mcha Mungu na napenda kusali kwa hiyo napenda na yeye awe hivyo, malezi yangu ni ya dini ya kikristo ni vema na yeye akawa...

 

10 years ago

GPL

BBA: MEET HOTSHOTS LAVEDA, KACEY MOORE AND JJ

Laveda - Tanzania Age: 23 Bachelor of Arts & Social Sciences graduate Laveda was born in Dar Es Salaam. She’s single and describes herself as ‘eccentric, loving, caring, simple and fun’. Laveda is the eldest of three children and she has a younger brother and sister. She says her mom is her role model, because she has moulded her over the years and inspired her in different ways ‘through the struggles...

 

10 years ago

Michuzi

BBA - Todays reveal: Meet Hotshots Laveda, Kacey Moore and JJ

 Kacey Moore - GhanaAge: 29
Born in Accra, Kacey Moore is a married poet and songwriter, with a daughter. He enjoys banku and okro stew and says his favourite books are the Bible, the dictionary, and the thesaurus! Kacey Moore also likes the music of Usher and Lauryn Hill.
Kacey Moore describes himself as a’ go-getter’, as well as ‘punctual, a leader, a creator and a voice’. His favourite quality, punctuality.  It is important to him in both himself and others.
He entered Big Brother Hotshots...

 

10 years ago

Vijimambo

Ray C : Naomba kuwatangazia kuwa natafuta mchumba wa kuishi naye milele! Atoa vigezo 10 vya mume amtakaye


Msanii wa muziki Rehema Chalamila aka Ray C amefungua mlango kwa mwanaume yoyote anayetaka kumuoa ajitokeze ilimradi awe na vigezo 10 ambavyo ameviainisha.
Kupitia ukurasa wake wa instagram Ray C ameandika:
“Habari zenu wapendwa wote dunia nzima!Leo na habari nzuri sana kwenu,Naomba kuwatangazia kuwa natafuta Mchumba wa kuishi nae milele!nataka niwe nae milele na nimzalie watoto wawili wa kike na wakiume!!!!
Ila naomba niwambie kabisa masharti
1.Awe mpole ili nikikasirika anibembeleze
2.Awe...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani