Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lady Jaydee azitaja sifa za mwanaume amtakaye kwa sasa

Baada ya kutangaza kuwa kwa sasa yuko single, miongoni mwa maswali ambayo Lady Jaydee amekutana nayo ni kuhusu sifa za mwanaume ambaye anamtaka awe mpenzi wake kwa sasa. Kupitia Instagram Jide aliorodhesha sifa za mwanaume amtakaye kwa sasa, soma huenda ukawa nazo (kama wewe ni mwanaume mwenye ndoto za kuwa na staa huyo). Yapo maswali […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Lady Jaydee ataja sifa za mpenzi mpya

Jaydee alitaja sifa za mpenzi huyo na kuweka wazi kwamba anataka mtu ambaye atamheshimu na kumtunzia utu wake.ILIKUWA ni wiki la kipekee kwa mwanamuziki Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ baada ya kukubali kujibu maswali ya mashabiki wake katika matandao wa Instagram, ambapo jana alifunguka kuhusu mpenzi anayemuhitaji kwa sasa.
Jaydee alitaja sifa za mpenzi huyo na kuweka wazi kwamba anataka mtu ambaye atamheshimu na kumtunzia utu wake.“Anayejali na kuheshimu, mwenye roho ya upendo na huruma...

 

10 years ago

Mwananchi

Lady Jaydee: Ni wakati wangu sasa

Baada ya tetesi kuwa ameachana na mumewe, mwanamuziki Judith Wambura maarufu Lady Jaydee amesema leo anajitokeza kwa mara ya kwanza mbele ya mashabiki wake kwani wakati wa kufanya hivyo umewadia.

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Jaya f/ Lady Jaydee — Sasa

Jaya releases “Sasa” featuring legendary Tanzanian artist Lady Jaydee. This is Jaya’s second single off her first solo project. “Sasa” is about desisting from waiting for the proverbial tomorrow and only being concerned about today – the moment right now. Jaya says, “We really spend a lot of our energy thinking about what will happen […]

 

10 years ago

GPL

JOHARI AMWANIKA MWANAUME AMTAKAYE

STAA wa filamu, Blandina Chagula ‘Johari’ ameamua kuvunja ukimya wa muda mrefu baada ya kuweka wazi mwanaume ambaye anahitaji amuoe na sababu inayomfanya asijichanganye na mastaa wenzake. Staa wa filamu, Blandina Chagula ‘Johari’. Katika makala haya Johari amefunguka mengi, msome;  Mwandishi: Kwa nini mara nyingi hupendi kujichanganya na mastaa wenzako? Johari: Ujue nina kampuni ambayo wakati wote...

 

10 years ago

Bongo5

Lady Jaydee: Sina mtoto wala watoto, Sijajua mpaka sasa nitazaa lini…Accept me the way I am

Lady Jaydee ameendelea kujibu maswali ya mashabiki wake kupitia Instagram, na maswali mengine aliyokutana nayo ni kuhusu kama ana mtoto au ameasili mtoto ambaye huonekana kwenye kipindi chake cha ‘Diary Ya LadyJaydee’ kinachorushwa kupitia EATV. Jide akiwa na Mokonyo (mtoto wa mdogo wake Dabo) “SWALI: Una watoto wangapi? JIBU : Sina mtoto wala watoto SWALI:Utazaa […]

 

10 years ago

Bongo5

Lady Jaydee: Mko tayari kwa kitu kipya Nov. 28?

Ni single mpya na video mpya! Hilo ndio jibu la alilouliza Lady Jaydee kwa mashabiki wake kwenye ukurasa wa Facebook; Are you ready for something new?! How about November 28th?! Stay tuned.” Picha na Osse Sinare Akiongea na East Africa Radio hivi karibuni, Lady Jaydee aliutaja wimbo mpya atakaoutoa mwishoni mwa mwezi huu. “Mwezi wa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani