Lady Jaydee azitaja sifa za mwanaume amtakaye kwa sasa
Baada ya kutangaza kuwa kwa sasa yuko single, miongoni mwa maswali ambayo Lady Jaydee amekutana nayo ni kuhusu sifa za mwanaume ambaye anamtaka awe mpenzi wake kwa sasa. Kupitia Instagram Jide aliorodhesha sifa za mwanaume amtakaye kwa sasa, soma huenda ukawa nazo (kama wewe ni mwanaume mwenye ndoto za kuwa na staa huyo). Yapo maswali […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL22 Nov
10 years ago
Vijimambo12 Feb
Lady Jaydee ataja sifa za mpenzi mpya
![](http://www.mwanaspoti.co.tz/image/view/-/2621644/highRes/944083/-/maxw/600/-/al5lyfz/-/lady+jaydee+picha.jpg)
Jaydee alitaja sifa za mpenzi huyo na kuweka wazi kwamba anataka mtu ambaye atamheshimu na kumtunzia utu wake.“Anayejali na kuheshimu, mwenye roho ya upendo na huruma...
10 years ago
Mwananchi24 Nov
Lady Jaydee: Ni wakati wangu sasa
Baada ya tetesi kuwa ameachana na mumewe, mwanamuziki Judith Wambura maarufu Lady Jaydee amesema leo anajitokeza kwa mara ya kwanza mbele ya mashabiki wake kwani wakati wa kufanya hivyo umewadia.
10 years ago
Bongo517 Mar
New Video: Jaya f/ Lady Jaydee — Sasa
Jaya releases “Sasa” featuring legendary Tanzanian artist Lady Jaydee. This is Jaya’s second single off her first solo project. “Sasa” is about desisting from waiting for the proverbial tomorrow and only being concerned about today – the moment right now. Jaya says, “We really spend a lot of our energy thinking about what will happen […]
10 years ago
GPL17 Mar
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gDF3S0THO9zjDlLXjv8v4wrupAY8RbFGfgWp0Ws7lPRL6sFY19JaKQhQgNLaNir2C1uf2EUF3DsUucPiYAOCh2UUR0dCYB4l/johari.jpg)
JOHARI AMWANIKA MWANAUME AMTAKAYE
STAA wa filamu, Blandina Chagula ‘Johari’ ameamua kuvunja ukimya wa muda mrefu baada ya kuweka wazi mwanaume ambaye anahitaji amuoe na sababu inayomfanya asijichanganye na mastaa wenzake. Staa wa filamu, Blandina Chagula ‘Johari’. Katika makala haya Johari amefunguka mengi, msome;  Mwandishi: Kwa nini mara nyingi hupendi kujichanganya na mastaa wenzako? Johari: Ujue nina kampuni ambayo wakati wote...
10 years ago
Bongo518 Feb
Lady Jaydee: Sina mtoto wala watoto, Sijajua mpaka sasa nitazaa lini…Accept me the way I am
Lady Jaydee ameendelea kujibu maswali ya mashabiki wake kupitia Instagram, na maswali mengine aliyokutana nayo ni kuhusu kama ana mtoto au ameasili mtoto ambaye huonekana kwenye kipindi chake cha ‘Diary Ya LadyJaydee’ kinachorushwa kupitia EATV. Jide akiwa na Mokonyo (mtoto wa mdogo wake Dabo) “SWALI: Una watoto wangapi? JIBU : Sina mtoto wala watoto SWALI:Utazaa […]
10 years ago
Bongo507 Nov
Lady Jaydee: Mko tayari kwa kitu kipya Nov. 28?
Ni single mpya na video mpya! Hilo ndio jibu la alilouliza Lady Jaydee kwa mashabiki wake kwenye ukurasa wa Facebook; Are you ready for something new?! How about November 28th?! Stay tuned.” Picha na Osse Sinare Akiongea na East Africa Radio hivi karibuni, Lady Jaydee aliutaja wimbo mpya atakaoutoa mwishoni mwa mwezi huu. “Mwezi wa […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania