JOHARI AMWANIKA MWANAUME AMTAKAYE

STAA wa filamu, Blandina Chagula ‘Johari’ ameamua kuvunja ukimya wa muda mrefu baada ya kuweka wazi mwanaume ambaye anahitaji amuoe na sababu inayomfanya asijichanganye na mastaa wenzake. Staa wa filamu, Blandina Chagula ‘Johari’. Katika makala haya Johari amefunguka mengi, msome;  Mwandishi: Kwa nini mara nyingi hupendi kujichanganya na mastaa wenzako? Johari: Ujue nina kampuni ambayo wakati wote...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo516 Feb
Lady Jaydee azitaja sifa za mwanaume amtakaye kwa sasa
11 years ago
GPL
LINAH AMWANIKA MWANAUME WAKE
10 years ago
GPL
JOHARI: NAMSUBIRI MWANAUME WA KUNIFUNGUA KIZAZI
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
Ndoa ya Ustazi Juma na Johari yanukia. Asema Johari atakuwa mke wake wa pili
PENZI limekolea na kinachoonekana sasa kwa Ostaz Juma Namusoma ni kukazia penzi lake kwa mwanadada Blandina Chagula ‘Johari’ anayesumbua kwenye Bongo movies.
Kwa mujibu wa mtandao wa GPL zinasema kwamba Ostaz alifunga safari kwenda nchini Afrika Kusini kwa mapumziko mafupi lakini pia kumnunulia mpenzi wake huyo zawadi mbalimbali kwa lengo la kupalilia uchumba wao.
“Jamaa alikuwa Sauzi (Afika Kusini), aliondoka hapa tarehe 17 (Machi) na amerudi tarehe 21. Kamletea zawadi kibao lakini...
10 years ago
GPL22 Nov
10 years ago
GPL
SHIJA AMWANIKA MWANAYE
10 years ago
GPL
NISHA AMWANIKA MWANAYE
10 years ago
GPL
Y-TONY AMWANIKA DEMU WAKE
10 years ago
Vijimambo
Ray C : Naomba kuwatangazia kuwa natafuta mchumba wa kuishi naye milele! Atoa vigezo 10 vya mume amtakaye

Msanii wa muziki Rehema Chalamila aka Ray C amefungua mlango kwa mwanaume yoyote anayetaka kumuoa ajitokeze ilimradi awe na vigezo 10 ambavyo ameviainisha.
Kupitia ukurasa wake wa instagram Ray C ameandika:
“Habari zenu wapendwa wote dunia nzima!Leo na habari nzuri sana kwenu,Naomba kuwatangazia kuwa natafuta Mchumba wa kuishi nae milele!nataka niwe nae milele na nimzalie watoto wawili wa kike na wakiume!!!!
Ila naomba niwambie kabisa masharti
1.Awe mpole ili nikikasirika anibembeleze
2.Awe...