Y-TONY AMWANIKA DEMU WAKE
![](http://api.ning.com:80/files/vM7iDEJ0Tmn-4klhF4Xg*9JI3dYBTRavJt93SRsOMMXgCCtryJv3BtTQbcQjiwuaRa0RwLospKBQ9wv2ybsaf5Jorg0q7rFX/yton.jpg?width=650)
Stori: Musa Mateja MBONGO Fleva anayesumbua na wimbo wa Masebene, Elly Michel Kilema ‘Y-Tony’ amevunja ukimya kwa kumwanika mpenzi wake wa ‘long time’, Asia Msemo. Mbongo Fleva anayesumbua na wimbo wa Masebene, Elly Michel Kilema ‘Y-Tony’ akiwa na bebi wake wa ‘long time’, Asia Msemo. Tukio hilo la kumwanika kimwana wake alilifanya juzikati baada ya kutua ndani ya Ofisi za...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sTg6vyO*vvFJNhjXkHfuQe8X7blfl6KXYcFwZuQqhw0QjaqNZKL6W7XmtEctPzSPJNd-yq0BZkXqgK-2JktloneXq0ZrDcU3/linah.jpg?width=650)
LINAH AMWANIKA MWANAUME WAKE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aX2yEHaS8JneXU7BcIoBVL4k-YRIzag--OORopszfs-aIh6UueBHGSvzajSFynE1MX05Q74zeh*zp-5f5D7CjAovJRliOrid/miss.jpg?width=650)
MISS TANZANIA AMWANIKA MCHUMBA WAKE!
9 years ago
Global Publishers30 Dec
Jini kabula amwanika wa ubani wake
Msanii wa filamu Bongo, Miriamu Jolwa ‘Jini Kabula’.
NA gladness mallya
MSANII wa filamu Bongo, Miriamu Jolwa ‘Jini Kabula’ hivi karibuni alimwanika mpenzi wake kwenye mtandao wa kijamii wa WhatsApp na kuambatanisha na maneno ya kimahaba.
Jini Kabula aliweka picha ya mpenzi wake huyo ambaye hakutaka kumtaja jina huku akiambatanisha na maneno ya kimahaba na alipoulizwa kuhusu suala la ndoa alisema halipo bali ni marafiki tu.
“Huyu ni rafiki yangu sana na niliweka picha tukiwa pamoja kwenye...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj21Akal30yzh4YKEVchrJ8Ut7O8jxn4A5N5ePBSC3pXz7IK4SmcWgerFU0gzw1GoGG38Mra6vXLLWK03aID9kOi/SNURA.gif?width=650)
SNURA AMWANIKA BABA WA MTOTO WAKE
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Nay wa Mitego azinguana na demu wake
Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’
BRIGHTON MASALU
KUFUATIA kunaswa na mrembo mpya na picha hizo kuanikwa na gazeti la Risasi juzikati, mwanamuziki wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ yuko kwenye mgogoro mzito na mpenzi wake aishie Marekani, Stella Tilya ‘Chagga Baby’.
Stella Tilya ‘Chagga Baby’.
Akizungumza na Amani, Nay alisema msuguano uliopo kati yake na mwanamke huyo ni mkubwa kwani picha hizo akiwa na msichana aliyejulikana kwa jina moja la...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1lp73GxRT8Ym*LrZjbTS6dcW6*mTbGcSJgfOSW0*68L0IRcAjui*jFLZ8TxjRj9IqyvkR4UWN7YPg0u3I5Wg0y-TBfAdRB1w/YoungKiller.gif?width=650)
YOUNG KILLER AKANA DEMU WAKE KUWA CHINI YA 18