Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MISS TANZANIA AMWANIKA MCHUMBA WAKE!

Na Jelard Lucas
MISS Tanzania mwaka 2011, Salha Israel amevunja ukimya baada ya kumuweka wazi mwanaume anayetoka naye, jambo ambalo amejaribu kulifanya siri kwa muda mrefu. Miss Tanzania mwaka 2011, Salha Israel. Salha alifungua kinywa na kubainisha hayo, hivi karibuni alipokuwa kwenye mahojiano na
inayorushwa na mtandao namba moja wa burudani Bongo, www.globalpublishers.info ya Kampuni ya Global Publishers. Akijibu swali la...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

LINAH AMWANIKA MWANAUME WAKE


Stori: Paparazi Wetu
BAADA ya minong’ono ya muda mrefu, hatimaye staa wa Bongo Fleva, Estelina Sanga ‘Linah’ ameweka wazi kuwa anatoka kimapenzi na Nagari Kombo. Estelina Sanga ‘Linah’ katika pozi la kimahaba na mpenzi wake Nagari Kombo. Akiteta na kona hii, wikiendi iliyopita jijini Dar es Salaam, Linah alisema: “Ni kweli kwa sasa natoka na Kombo, ndiye mwanaume wangu, sina haja ya...

 

10 years ago

GPL

Y-TONY AMWANIKA DEMU WAKE

Stori: Musa Mateja MBONGO Fleva anayesumbua na wimbo wa Masebene, Elly Michel Kilema ‘Y-Tony’ amevunja ukimya kwa kumwanika mpenzi wake wa ‘long time’, Asia Msemo. Mbongo Fleva anayesumbua na wimbo wa Masebene, Elly Michel Kilema ‘Y-Tony’ akiwa na bebi wake wa ‘long time’, Asia Msemo. Tukio hilo la kumwanika kimwana wake alilifanya juzikati baada ya kutua ndani ya Ofisi za...

 

11 years ago

GPL

SNURA AMWANIKA BABA WA MTOTO WAKE

Stori: GLADNESS MALLYA KWA mara ya kwanza msanii wa muziki nafi lamu Bongo,Snura Mushi amemwanika baba wa mtoto wake na  kusema ndiye mumewe mtarajiwa wa kufa na kuzikana. Pichani ni msanii wa muziki na filamu Bongo, Snura Mushi pamoja na baba "Hunter" wa mtoto wake wa kike.
Akipiga stori na Ijumaa, Snura alisema baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu kutokana na ugomvi mkubwa waliokuwa nao yeye na mwanaume wake huyo...

 

9 years ago

Global Publishers

Jini kabula amwanika wa ubani wake

Miriam-Jolwa-Jini-Kabula1Msanii wa filamu Bongo, Miriamu Jolwa ‘Jini Kabula’.

NA gladness mallya
MSANII wa filamu Bongo, Miriamu Jolwa ‘Jini Kabula’ hivi karibuni alimwanika mpenzi wake kwenye mtandao wa kijamii wa WhatsApp na kuambatanisha na maneno ya kimahaba.

Jini Kabula aliweka picha ya mpenzi wake huyo ambaye hakutaka kumtaja jina huku akiambatanisha na maneno ya kimahaba na alipoulizwa kuhusu suala la ndoa alisema halipo bali ni marafiki tu.

kabula“Huyu ni rafiki yangu sana na niliweka picha tukiwa pamoja kwenye...

 

10 years ago

GPL

BEN POL AFUNGUKIA UHUSIANO WAKE NA MISS TANZANIA NAMBA 2, PART 1

Ben Pol katika pozi kwenye studio za Global TV Online. MUZIKI wa Bongo Fleva unazidi kuchana mawingu kila kunavyokucha, ambapo ukizungumzia wasanii wanaotoa mchango mkubwa katika muziki huo ni vigumu sana katika ‘listi’ yako kumsahau mkali wa RnB, Benard Paul ‘Ben Pol’. Alianza gemu mwaka 2010 baada ya kutoka na kibao cha Nikikupata, baada ya hapo amewika kwa vibao vikali vingi kama vile, Jikubali,...

 

11 years ago

Vijimambo

LUNDENGA AMTETEA MISS TANZANIA 2014 KUHUSU SAKATA LA UMRI WAKE

Mkurugenzi wa Lino International Agency ambao ni Waandaaji wa mashindano ya Urembo ya Miss Tanzania,Hashim Lundenga (kati) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya sakata la umri halali wa Mrembo alietwaa taji hilo Mwaka huu, Sitti Abbas Mtemvu (kushoto),katika mkutano huo Lundenga alitolea ufafanuzi swala la umri wa Mrembo huyo kulingana na vilelezo alivyopewa na mrembo huyo wakati akijiunga na mashindano hayo 
"Katika mashindano ya yetu,Washiriki wote hujaza fomu maalum...

 

11 years ago

GPL

HAMISA AMUANIKA MCHUMBA WAKE

MAHABA niue! Mwanadafada ambaye ni mwanamitindo Bongo, Hamisa Mabeto ameamua kumwanika mwandani wake baada ya kumuweka kwenye mitandao ya kijamii  huku akimmwagia sifa kemkem. Mwanadafada ambaye ni mwanamitindo Bongo, Hamisa Mabeto akila ujana na mpenzi wake. Akipiga stori na mwandishi wa gazeti hili baada ya kuvutiwa waya, Hamisa alisema mwanaume huyo ni mtu ambaye anampenda sana na wana malengo ya kuoana muda wowote...

 

10 years ago

Bongo5

Ndoa ya Barnaba na mchumba wake yanukia

Mchumba wa Barnaba, Zubeda amesema anafurahia maisha yake na mpenzi wake Barnaba na kwamba watafunga ndoa hivi karibuni. Zubeda ameiambia Bongo5 kuwa mipango ya ndoa imekamilika na kwamba wanasubiri kuamua tarehe tu. “Tayari ameshatoa pesa ya barua pamoja na mahari, kwahiyo bado tu kupanga tarehe ya ndoa,” amesema Mama Steve. “Barua alitoa toka mwaka jana […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani