BEN POL AFUNGUKIA UHUSIANO WAKE NA MISS TANZANIA NAMBA 2, PART 1
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/BEN-POL-1.jpg?width=650)
Ben Pol katika pozi kwenye studio za Global TV Online. MUZIKI wa Bongo Fleva unazidi kuchana mawingu kila kunavyokucha, ambapo ukizungumzia wasanii wanaotoa mchango mkubwa katika muziki huo ni vigumu sana katika ‘listi’ yako kumsahau mkali wa RnB, Benard Paul ‘Ben Pol’. Alianza gemu mwaka 2010 baada ya kutoka na kibao cha Nikikupata, baada ya hapo amewika kwa vibao vikali vingi kama vile, Jikubali,...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/nl24sNjFx74/default.jpg)
9 years ago
Bongo509 Nov
Kuna chochote tutarajie baada ya Ben Pol kukutana na Patoranking Afrika Kusini? Ben Pol ana majibu…
![Ben SA-1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Ben-SA-1-300x194.jpg)
Safari ya Ben Pol Afrika Kusini imempa nafasi ya kukutana na mastaa wa Afrika ambao kwa namna moja ama nyingine alikuwa na ndoto za kuja kufanya nao kazi hapo baadae.
Ben Pol ambaye ameenda jijini Johannesburg kushoot video ya wimbo aliomshirikisha Avril na Rossie M, ambayo imefanyika jana, pia alipata nafasi ya kukutana na staa wa Nigeria, Patoranking.
Ben Pol na Patoranking
Baada ya kupost picha akiwa na staa huyo kwenye Instagram, mashabiki walianza kupata hisia kuwa huenda kuna...
10 years ago
GPLKADJA NITO AFUNGUKIA UHUSIANO WAKE KIMAPENZI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p8dNfbTfHuD*QUQiiy60x0tqYPX0VVtBYgaEJKbJ6043Ig3yxggCkAbZUACXZDGoHfQzOM8-lI-aCJlkN4ifOwiaFFj6vW0r/090811shows106parkmeekmill10.jpg?width=650)
MILL AFUNGUKIA UHUSIANO WAKE NA NICKI MINAJ
10 years ago
Bongo504 Oct
Ben Pol adai uhusiano wa miezi 9 na Latifa ni mrefu zaidi aliowahi kuwa nao tangu awe staa
10 years ago
GPLJOKATE ATINGA NDANI YA GLOBAL TV, AFUNGUKIA BIASHARA NA UHUSIANO WAKE NA MASTAA
9 years ago
Global Publishers06 Jan
Ben Pol aanza mwaka na Ben Pol
Ben Pol.
Khadija Mngwai, Dar es Salaam
MWANAMUZIKI wa muziki wa Kizazi kipya ‘Bongo Fleva, Benard Paul (Ben Pol) amefunguka kwa kusema kuwa anauanza mwaka wa 2016 kwa kutoa albamu yake iliyobeba nyimbo 13, mwanzoni mwa mwezi wa pili.
Akizungumza na Championi Jumatano, Pol amesema kuwa wasanii wengi wamekuwa wakiuchukulia muziki huo ni wa kawaida tu kwa kuhitaji kujiingizia kipato na siyo kuwa ‘serious’ na matokeo yake wanaishia kutoa nyimbo moja au mbili ili kupata shoo.
“Nimejipanga kuweka...
9 years ago
Bongo513 Oct
Ben Pol aeleza kwanini hataki kuonekana na mpenzi wake kila wakati