Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BEN POL AFUNGUKIA UHUSIANO WAKE NA MISS TANZANIA NAMBA 2, PART 1

Ben Pol katika pozi kwenye studio za Global TV Online. MUZIKI wa Bongo Fleva unazidi kuchana mawingu kila kunavyokucha, ambapo ukizungumzia wasanii wanaotoa mchango mkubwa katika muziki huo ni vigumu sana katika ‘listi’ yako kumsahau mkali wa RnB, Benard Paul ‘Ben Pol’. Alianza gemu mwaka 2010 baada ya kutoka na kibao cha Nikikupata, baada ya hapo amewika kwa vibao vikali vingi kama vile, Jikubali,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Kuna chochote tutarajie baada ya Ben Pol kukutana na Patoranking Afrika Kusini? Ben Pol ana majibu…

Ben SA-1

Safari ya Ben Pol Afrika Kusini imempa nafasi ya kukutana na mastaa wa Afrika ambao kwa namna moja ama nyingine alikuwa na ndoto za kuja kufanya nao kazi hapo baadae.

Ben SA-1

Ben Pol ambaye ameenda jijini Johannesburg kushoot video ya wimbo aliomshirikisha Avril na Rossie M, ambayo imefanyika jana, pia alipata nafasi ya kukutana na staa wa Nigeria, Patoranking.

Ben pol na Patoranking2
Ben Pol na Patoranking

Baada ya kupost picha akiwa na staa huyo kwenye Instagram, mashabiki walianza kupata hisia kuwa huenda kuna...

 

10 years ago

GPL

KADJA NITO AFUNGUKIA UHUSIANO WAKE KIMAPENZI

Mtangazaji wa Kipindi cha Me & U with love, Shorvien Mohamed (kushoto) akifanya mahojiano na msanii Khadja Nito,  katika Studio za Global TV Online. Khadja akifafanua kwa upana moja ya swali aliloulizwa kwenye interview hiyo.. ... akifurahia jambo muda mfupi baada ya kuhitimisha mahojiano na Global TV…

 

10 years ago

GPL

MILL AFUNGUKIA UHUSIANO WAKE NA NICKI MINAJ

Rapa, Meek Mill. Los Angles, Marekani
MPENZI wa rapa wa kike, Nicki Minaj, Meek Mill ameibuka na kusema uhusiano wao upo makini sana. Minaj kabla ya kuwa na Mill alikuwa akitoka na Safaree Samuels aliyedumu naye miaka 12 kabla ya kuachana mwaka jana. Meek Mill akiwa na mpenzi wake Nicki Minaj. Mill, 28, ambaye naye ni rapa tayari amemvalisha pete ya dhahabu ya uchumba yenye umbo la ‘moyo’ ‘hitmaker’...

 

10 years ago

Bongo5

Ben Pol adai uhusiano wa miezi 9 na Latifa ni mrefu zaidi aliowahi kuwa nao tangu awe staa

Uhusiano na mshindi wa pili wa Miss Tanzania 2013, Latifa Mohamed wenye miezi tisa sasa, ndio uhusiano mrefu zaidi aliowahi kuwa nao Ben Pol tangu awe staa. Ben Pol ameiambia Bongo5 kuwa mahusiano yake yaliyopita yalishindwa kudumu kwakuwa wasichana wengi walikuwa na matarajio makubwa kutoka kwake kwakuwa yeye ni msanii. “Sasa hivi tuna miezi tisa, […]

 

10 years ago

GPL

JOKATE ATINGA NDANI YA GLOBAL TV, AFUNGUKIA BIASHARA NA UHUSIANO WAKE NA MASTAA

Jokate (katikati) akizungumza jambo na mdamini wake mkuu, Deng Guoxun . Jokate akifafanua jambo mbele ya waandishi (hawapo pichani). Jokate akisikiliza moja ya maswali kutoka kwa waandishi.…

 

9 years ago

Global Publishers

Ben Pol aanza mwaka na Ben Pol

benpol2Ben Pol.

Khadija Mngwai, Dar es Salaam
MWANAMUZIKI wa muziki wa Kizazi kipya ‘Bongo Fleva, Benard Paul (Ben Pol) amefunguka kwa kusema kuwa anauanza mwaka wa 2016 kwa kutoa albamu yake iliyobeba nyimbo 13, mwanzoni mwa mwezi wa pili.

Akizungumza na Championi Jumatano, Pol amesema kuwa wasanii wengi wamekuwa wakiuchukulia muziki huo ni wa kawaida tu kwa kuhitaji kujiingizia kipato na siyo kuwa ‘serious’ na matokeo yake wanaishia kutoa nyimbo moja au mbili ili kupata shoo.

BEN-POL-1“Nimejipanga kuweka...

 

9 years ago

Bongo5

Ben Pol aeleza kwanini hataki kuonekana na mpenzi wake kila wakati

Ben Pol amesema ataamua kutembea kila sehemu na mpenzi wake baada ya kuona anakaribia kufunga naye ndoa. Ben Pol ameiambia Bongo5 kuwa, kitu anachoogopa ni kuonekana mara kwa mara na mtu halafu siku chache watu wasikie wameachana. “Kusema ukweli nahisi bado,” amesema. “Unajua mpaka uanze kutembea na mtu kwenye public mpaka ujiridhishe vitu fulani fulani […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani