Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ben Pol adai uhusiano wa miezi 9 na Latifa ni mrefu zaidi aliowahi kuwa nao tangu awe staa

Uhusiano na mshindi wa pili wa Miss Tanzania 2013, Latifa Mohamed wenye miezi tisa sasa, ndio uhusiano mrefu zaidi aliowahi kuwa nao Ben Pol tangu awe staa. Ben Pol ameiambia Bongo5 kuwa mahusiano yake yaliyopita yalishindwa kudumu kwakuwa wasichana wengi walikuwa na matarajio makubwa kutoka kwake kwakuwa yeye ni msanii. “Sasa hivi tuna miezi tisa, […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Ben Pol adai alikuwa haamini kama atafanikiwa bila kuwa na management

Mwimbaji wa R&B, Ben Pol amesema alikuwa haamini kama ataweza kutoka kimuziki bila kuwa na managament ya kumsimamia. “Mimi nilivyotoka kwenye lebo mwaka 2011, nilikuwa sina confidence ya kusema kwamba nitaweza kufanya muziki mwenyewe, sina record label. Lakini marafiki zangu wachache waliokuwa wanasikiliza nyimbo zangu na wengine ambao walikuwa kwenye media, walikuwa wanatumia nguvu yao […]

 

9 years ago

GPL

BEN POL AFUNGUKIA UHUSIANO WAKE NA MISS TANZANIA NAMBA 2, PART 1

Ben Pol katika pozi kwenye studio za Global TV Online. MUZIKI wa Bongo Fleva unazidi kuchana mawingu kila kunavyokucha, ambapo ukizungumzia wasanii wanaotoa mchango mkubwa katika muziki huo ni vigumu sana katika ‘listi’ yako kumsahau mkali wa RnB, Benard Paul ‘Ben Pol’. Alianza gemu mwaka 2010 baada ya kutoka na kibao cha Nikikupata, baada ya hapo amewika kwa vibao vikali vingi kama vile, Jikubali,...

 

9 years ago

Bongo5

Kuna chochote tutarajie baada ya Ben Pol kukutana na Patoranking Afrika Kusini? Ben Pol ana majibu…

Ben SA-1

Safari ya Ben Pol Afrika Kusini imempa nafasi ya kukutana na mastaa wa Afrika ambao kwa namna moja ama nyingine alikuwa na ndoto za kuja kufanya nao kazi hapo baadae.

Ben SA-1

Ben Pol ambaye ameenda jijini Johannesburg kushoot video ya wimbo aliomshirikisha Avril na Rossie M, ambayo imefanyika jana, pia alipata nafasi ya kukutana na staa wa Nigeria, Patoranking.

Ben pol na Patoranking2
Ben Pol na Patoranking

Baada ya kupost picha akiwa na staa huyo kwenye Instagram, mashabiki walianza kupata hisia kuwa huenda kuna...

 

10 years ago

Bongo5

Ben Pol adai mapokezi ya Sophia yamemtisha kiasi cha kuifumua idea ya mwanzo ya video

Ben Pol amedai kuwa mapokezi ya wimbo wake mpya Sophia yamekuwa makubwa kuzidi matarajio yake kiasi kwamba amelazimika kurudi kwenye ‘drawing board’ kupanga upya jinsi atakavyotakiwa kuifanya video yake. Amedai kuwa awali alikuwa amepanga kuanza na video ya wimbo huo, mpango ambao uliahirishwa kwa mara mbili. “Lakini plan yetu tulivyokuwa tumeitengeneza kiasi kwamba huwezi amini […]

 

9 years ago

Bongo5

Quick Rocka athibitisha kuwa na uhusiano na Kajala baada ya kukanusha kwa muda mrefu

Kajala na Quick2

Msanii wa Bongo fleva, Quick Rocka na muigizaji wa Bongo movie, Kajala Masanja hawakuwahi kuthibitisha wenyewe hadharani kuwa wana uhusiano wa kimapenzi licha ya kuwepo na tetesi kuwa ni wapenzi.

Kajala na Quick

Quick amejikuta akilazimika kukiri hadharani juu ya uhusiano wao alipokuwa akikanusha taarifa kuwa wameachana.

Akizungumzia sababu za kuamua kutoyaweka wazi maisha ya uhusiano wao, Quick amesema;

“Sometimes some things have to stay private maana mahusiano yanapokuwa public sana ndio maneno...

 

10 years ago

Michuzi

DK. ALI MOHAMED SHEIN AMESEMA KUWA KENYA NA TANZANIA NI NCHI ZENYE UHUSIANO WA MUDA MREFU


  STATE HOUSE ZANZIBAROFFICE OF THE PRESS SECRETARY PRESS RELEASE   Zanzibar                                                                                                           29.06.2015
RAIS  wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa Kenya na Tanzania ni nchi zenye uhusiano wa muda mrefu hivyo kuna kila sababu za kuendelea kuimarisha na kuitekeleza Sera ya Demokrasia ya Uchumi  kwa manufaa ya pande mbili hizo.
Dk. Shein...

 

9 years ago

Global Publishers

Ben Pol aanza mwaka na Ben Pol

benpol2Ben Pol.

Khadija Mngwai, Dar es Salaam
MWANAMUZIKI wa muziki wa Kizazi kipya ‘Bongo Fleva, Benard Paul (Ben Pol) amefunguka kwa kusema kuwa anauanza mwaka wa 2016 kwa kutoa albamu yake iliyobeba nyimbo 13, mwanzoni mwa mwezi wa pili.

Akizungumza na Championi Jumatano, Pol amesema kuwa wasanii wengi wamekuwa wakiuchukulia muziki huo ni wa kawaida tu kwa kuhitaji kujiingizia kipato na siyo kuwa ‘serious’ na matokeo yake wanaishia kutoa nyimbo moja au mbili ili kupata shoo.

BEN-POL-1“Nimejipanga kuweka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani