Quick Rocka athibitisha kuwa na uhusiano na Kajala baada ya kukanusha kwa muda mrefu
Msanii wa Bongo fleva, Quick Rocka na muigizaji wa Bongo movie, Kajala Masanja hawakuwahi kuthibitisha wenyewe hadharani kuwa wana uhusiano wa kimapenzi licha ya kuwepo na tetesi kuwa ni wapenzi.
Quick amejikuta akilazimika kukiri hadharani juu ya uhusiano wao alipokuwa akikanusha taarifa kuwa wameachana.
Akizungumzia sababu za kuamua kutoyaweka wazi maisha ya uhusiano wao, Quick amesema;
“Sometimes some things have to stay private maana mahusiano yanapokuwa public sana ndio maneno...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo504 Dec
Quick Rocka akanusha kuwa na uhusiano na Kajala
10 years ago
Bongo Movies05 Dec
MAPENZINI:Quick Rocka amekanusha kuwa na Uhusiano wa kimapenzi na Kajala
Quick Rocka amekanusha kuwa na Uhusiano wa kimapenzi na muigizaji wa filamu, Kajala Akizungumza na 255 ya XXL, Clouds FM, Quick amesema ana girlfriend hivyo uvumi huo unaweza ukamharibia uhusiano wake.“Nasema hapana Kajala mimi sister yangu, tunafanya naye kazi na nimeunganishwa na Lamata. Lamata ni director ninayemmfahamu zamani kidogo kipindi kile tunafanya ‘Mbwa Mwitu’ tulikuwa wote, Lamatah, Hemedy! Unajua mnavyofanya movie ni tofauti na kufanya video, kwa mfano wakati tunafanya ile...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0JM2umRWL9ez3XXxrpywUZ3hYExU2u1oLe2K3dZ-EZruLMoKlFWd2yONEjZMUgr*Wy*CgiSEhKzkHNpld7J0OJDVifHmvwOX/Kajalaz.jpg?width=650)
KAJALA, QUICK ROCKA PENZI ZITO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hlqj74NT58U/VZFC3dr_CbI/AAAAAAAHllI/e32gFevTI_A/s72-c/images.jpg)
DK. ALI MOHAMED SHEIN AMESEMA KUWA KENYA NA TANZANIA NI NCHI ZENYE UHUSIANO WA MUDA MREFU
![](http://1.bp.blogspot.com/-hlqj74NT58U/VZFC3dr_CbI/AAAAAAAHllI/e32gFevTI_A/s1600/images.jpg)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa Kenya na Tanzania ni nchi zenye uhusiano wa muda mrefu hivyo kuna kila sababu za kuendelea kuimarisha na kuitekeleza Sera ya Demokrasia ya Uchumi kwa manufaa ya pande mbili hizo.
Dk. Shein...
9 years ago
Bongo502 Oct
Wasanii wasisahau kuna maisha baada ya uchaguzi — Quick Rocka
9 years ago
Bongo522 Sep
Mo Rocka adai Quick Rocka ameshindwa kuwasaidia wasanii wa Rockaz!!
10 years ago
CloudsFM07 Nov
USO WA EMINEM WABADILIKA BAADA YA MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA KWA MUDA MREFU.
Staa wa hip hop wa nchini Marekani,Eminem amewahi kukiri kuwa angepoteza maisha kwa matumizi ya dawa za kulevya, kwa jinsi ilivyoonekana kwenye picha za hivi karibuni ni kuwa bado madhara ya dawa hizo yanaendelea kuonekana kwenye mwili wa Eminem haswa kwenye sura yake.
Sura yake imekuwa tofauti sana alivyokuwa kwenye tuzo za Wall Street Journal Innovator Of The Year mjini New York jumatano hii.
9 years ago
Bongo526 Oct
Picha: Blac Chyna athibitisha kuwa na uhusiano na Future? Achora tattoo ya jina la rapper huyo mkononi
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/BGulGISAOaY/default.jpg)