Mo Rocka adai Quick Rocka ameshindwa kuwasaidia wasanii wa Rockaz!!
Mmoja kati ya member wanaounda kundi la muziki la ‘Rockaz’, Mo Rocka amesema mwenzao Quick Rocka ameshindwa kuitumia nafasi yake vizuri kuwasaidia wasanii wa kundi hilo. Akizungumza na Planet Bongo ya EATV jana, Mo alisema hapendezwi na tabia ya Quick Rocka kujifanya anajua zaidi. “Baada ya kutoka na ile Bullet, [Quick] akawa anafanya vizuri na […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo519 Oct
Quick Rocka adai hana tofauti na Nahreel
9 years ago
Bongo502 Oct
Wasanii wasisahau kuna maisha baada ya uchaguzi — Quick Rocka
9 years ago
Bongo503 Dec
Video: Quick Rocka – Queen
![Screen-Shot-2015-12-02-at-1.34.31-PM](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Screen-Shot-2015-12-02-at-1.34.31-PM-300x194.png)
Quick Rocka ameachia video mpya ya wimbo unaitwa “Queen”, Video imeongozwa na Khalfani
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0JM2umRWL9ez3XXxrpywUZ3hYExU2u1oLe2K3dZ-EZruLMoKlFWd2yONEjZMUgr*Wy*CgiSEhKzkHNpld7J0OJDVifHmvwOX/Kajalaz.jpg?width=650)
KAJALA, QUICK ROCKA PENZI ZITO
10 years ago
GPLQUICK ROCKA ATINGA GLOBAL TV ONLINE
11 years ago
CloudsFM25 Jun
Brand New Single: Quick Rocka - Sukido
Huu ni wimbo mwingine mpya kutoka kwa Quick Rocka, baada ya kufanya vizuri na wimbo wake wake wa Penzi, leo kupitia kipindi cha XXL cha clouds fm Quick ameachia wimbo wake mpya SUKIDO...
9 years ago
Bongo528 Sep
New Music: Switcher f/ Quick Rocka — Nakupenda
9 years ago
Bongo531 Dec
Quick Rocka aanzisha kundi jipya la muziki ‘One G’
![_K0A2053](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/K0A2053-300x194.jpg)
Quick Rocka ameanzisha kundi jipya liitwalo ‘One G.’
Amesema kundi hilo litakuwa chini ya label yake, Switch.
“Kubwa zaidi 2016 ni ujio wa kundi la wasanii wangu One G kupitia record label yangu Switch na producer wangu Luffa,” aliiambia Bongo5.
“Kwahiyo mwaka unaokuja tutaanza nao kwa sababu tayari wana ngoma yao mpya pamoja na video. Lengo letu ni kupeleka muziki mbele na kuleta ushindani mpya kwenye muziki na wasanii wachanga watoke,” alisema.
Hata hivyo Quick amesema ujio wa kundi hilo...