Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


T.I.D kupatanishwa na Q-Chief baada ya Bifu la muda mrefu, waahidi kufan...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

USO WA EMINEM WABADILIKA BAADA YA MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA KWA MUDA MREFU.

Staa wa hip hop wa nchini Marekani,Eminem amewahi kukiri kuwa angepoteza maisha kwa matumizi ya dawa za kulevya, kwa jinsi ilivyoonekana kwenye picha za hivi karibuni ni kuwa bado madhara ya dawa hizo yanaendelea kuonekana kwenye mwili wa Eminem haswa kwenye sura yake.Sura yake imekuwa tofauti sana alivyokuwa kwenye tuzo za Wall Street Journal Innovator Of The Year mjini New York jumatano hii.

 

9 years ago

Bongo5

Quick Rocka athibitisha kuwa na uhusiano na Kajala baada ya kukanusha kwa muda mrefu

Kajala na Quick2

Msanii wa Bongo fleva, Quick Rocka na muigizaji wa Bongo movie, Kajala Masanja hawakuwahi kuthibitisha wenyewe hadharani kuwa wana uhusiano wa kimapenzi licha ya kuwepo na tetesi kuwa ni wapenzi.

Kajala na Quick

Quick amejikuta akilazimika kukiri hadharani juu ya uhusiano wao alipokuwa akikanusha taarifa kuwa wameachana.

Akizungumzia sababu za kuamua kutoyaweka wazi maisha ya uhusiano wao, Quick amesema;

“Sometimes some things have to stay private maana mahusiano yanapokuwa public sana ndio maneno...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kunyonyesha muda mrefu ni faida?

Utafiti uliofanyika nchini Brazil umebaini kuwa watoto wanaonyonya kwa muda mrefu wanakuwa na akili zaidi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mahakama kumaliza mashauri ya muda mrefu

MAHAKAMA ya Tanzania iko katika mchakato maalumu wa kumaliza mashauri yote ya muda mrefu Kanda ya Dar es Salaam na Tabora. Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam...

 

5 years ago

BBCSwahili

Je,simu zinazojikunja zinadumu muda mrefu?

Simu zinazoweza kujikunja kwa mara nyingine tena zinakosolewa iwapo zinaweza kudumu kwa mda mrefu.

 

11 years ago

Habarileo

Walalamikia kesi za kijinsia kuchukua muda mrefu

WAZAZI Wilaya ya Kati Unguja wamesema hawaridhishwi na mwenendo wa uendeshaji wa kesi za udhalilishaji wa kijinsia, hivyo wanataka zisuluhishwe nje ya mahakama kwa kufikiwa maelewano.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mechi yavunja rekodi kuchezwa muda mrefu

Mechi ya Mchezo wa tenis kati ya raia wa Argentina Leonardo Mayer na Joao Souza wa Brazili imevunja rekodi ya mchezo huo hapo jana.

 

9 years ago

BBCSwahili

Marais walioongoza muda mrefu zaidi Afrika

Rais wa Congo-Brazzaville Denis Sassou Nguesso ni mmoja wa viongozi wa sasa Afrika waliokaa muda mrefu zaidi uongozi. Wengine ni kina nani?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani