Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kunyonyesha muda mrefu ni faida?

Utafiti uliofanyika nchini Brazil umebaini kuwa watoto wanaonyonya kwa muda mrefu wanakuwa na akili zaidi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Je,simu zinazojikunja zinadumu muda mrefu?

Simu zinazoweza kujikunja kwa mara nyingine tena zinakosolewa iwapo zinaweza kudumu kwa mda mrefu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mahakama kumaliza mashauri ya muda mrefu

MAHAKAMA ya Tanzania iko katika mchakato maalumu wa kumaliza mashauri yote ya muda mrefu Kanda ya Dar es Salaam na Tabora. Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam...

 

10 years ago

Mtanzania

Lowassa Afichua kimya cha muda mrefu

Charles Mullinda na Jimmy Charles, Dodoma
HATIMAYE Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, jana alivunja ukimya wa muda mrefu alipofanya mahojiano ya ana kwa ana na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari.
Katika mkutano huo,Lowassa aliitumia nafasi hiyo kutangaza msimamo wake wa siasa ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Lowassa aliitumia fursa ya mahojiano hayo, yaliyofanyika nyumbani kwake eneo la Area C mjini hapa, kuwaeleza wahariri kuwa hana mpango wa kuhama CCM licha ya kuwapo...

 

10 years ago

Mwananchi

Hatma ya majaji escrow kuchukua muda mrefu

>Jaji Mkuu Mohamed Chande amesema hatma ya majaji wawili waliotajwa kupokea fedha zinazohusishwa na sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow, itachukua muda mrefu kwa kuwa uchunguzi huhitaji muda mrefu kukamilika.

 

9 years ago

BBCSwahili

Marais walioongoza muda mrefu zaidi Afrika

Rais wa Congo-Brazzaville Denis Sassou Nguesso ni mmoja wa viongozi wa sasa Afrika waliokaa muda mrefu zaidi uongozi. Wengine ni kina nani?

 

11 years ago

Habarileo

Walalamikia kesi za kijinsia kuchukua muda mrefu

WAZAZI Wilaya ya Kati Unguja wamesema hawaridhishwi na mwenendo wa uendeshaji wa kesi za udhalilishaji wa kijinsia, hivyo wanataka zisuluhishwe nje ya mahakama kwa kufikiwa maelewano.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mechi yavunja rekodi kuchezwa muda mrefu

Mechi ya Mchezo wa tenis kati ya raia wa Argentina Leonardo Mayer na Joao Souza wa Brazili imevunja rekodi ya mchezo huo hapo jana.

 

10 years ago

GPL

WOLPER: MIMI NI FREEMASON KWA MUDA MREFU SASA!

Staa wa bongo movie Jacqueline Wolper Massawe ‘Twiga wa Jangwani’. UPO? Mtoto mzuri katika tasnia ya uigizaji Bongo, Jacqueline Wolper Massawe ‘Twiga wa Jangwani’ amesema haoni sababu ya kuukana uanachama wa taasisi ya Wajenzi Huru (Freemason) kwani ni dini kama zilivyo zingine na kama katiba inavyoelekeza, kila mtu anayo haki ya kujiunga na dini au taasisi yoyote ya kuabudu kulingana na matakwa ya imani...

 

9 years ago

Michuzi

Benki ya Exim yaingiza dhamana ya muda mrefu sokoni

 Afisa Mkuu wa Fedha wa Benki ya Exim, Selemani Ponda (katikati) akiongea na waandishi wa habari kutangaza uuzaji wa dhamana ya kwanza ya muda mrefu nchini Tanzania yenye kuwezesha ushiriki wa wawekezaji wadogo ili kupata kiasi cha shilingi bilioni 15. Ameambatana na Meneja Benki ya Exim (uwekezaji), George Assenga (kulia), Meneja Miradi na Biashara wa Soko la Hisa la Dar es Salaam, Patrick Mususa (wa pili kulia),  Mkurugenzi Mkuu wa Core Securities, George Fumbuka (wa pili kushoto) ambao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani