Hatma ya majaji escrow kuchukua muda mrefu
>Jaji Mkuu Mohamed Chande amesema hatma ya majaji wawili waliotajwa kupokea fedha zinazohusishwa na sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow, itachukua muda mrefu kwa kuwa uchunguzi huhitaji muda mrefu kukamilika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo31 Dec
Walalamikia kesi za kijinsia kuchukua muda mrefu
WAZAZI Wilaya ya Kati Unguja wamesema hawaridhishwi na mwenendo wa uendeshaji wa kesi za udhalilishaji wa kijinsia, hivyo wanataka zisuluhishwe nje ya mahakama kwa kufikiwa maelewano.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QH8eYzciVvY/XrVg2eKjwjI/AAAAAAALpfI/DvB6eOuaCLEtURh2sVhAVO9pkOIr4Ik_wCLcBGAsYHQ/s72-c/sheria.jpg)
WALIOKUWA VIGOGO KAMPUNI YA ACACIA WANAOKABILIWA NA KESI YA UHUJUMU UCHUMI WAANDIKA BARUA KULALAMIKIA UPELELEZI KUCHUKUA MUDA MREFU
![](https://1.bp.blogspot.com/-QH8eYzciVvY/XrVg2eKjwjI/AAAAAAALpfI/DvB6eOuaCLEtURh2sVhAVO9pkOIr4Ik_wCLcBGAsYHQ/s400/sheria.jpg)
ALIYEKUWA Makamu wa Rais wa Kampuni ya ACASIA Deo Mwanyika na wenzake wanaokabiliwa na mashtaka ya tuhuma za uhujumu uchumi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wameandikia barua katika Mahakama ya hiyo wakilalamikia upelelezi katika kesi yao kuchukua muda mrefu.
Washtakiwa hao wamedai hayo leo Mei 8, mwaka 2020 mbele ya Hakimu mkazi Mfawidhi, Godfrey Isaya, kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kutajwa na upande wa mashtaka ulioongozwa na Wakili wa Serikali Ester...
10 years ago
Habarileo29 Aug
Majaji watatu kuamua hatma Bunge Maalum
JOPO la Majaji watatu linatarajia kusikiliza ombi kwa Mahakama itoe amri ya kusimamisha Bunge Maalumu la Katiba lililofunguliwa na Mwandishi wa Habari, Said Kubenea katika Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam.
10 years ago
BBCSwahili18 Mar
Kunyonyesha muda mrefu ni faida?
10 years ago
Habarileo22 Dec
Hatma ya Escrow leo
RAIS Jakaya Kikwete, leo anatarajiwa kukata mzizi wa fitina kwa kutoa maamuzi juu ya mapendekezo nane yaliyowasilishwa kwake na Bunge, kutokana na sakata lililozua mtafaruku bungeni la akaunti ya Tegeta Escrow.
5 years ago
BBCSwahili19 Feb
Je,simu zinazojikunja zinadumu muda mrefu?
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Mahakama kumaliza mashauri ya muda mrefu
MAHAKAMA ya Tanzania iko katika mchakato maalumu wa kumaliza mashauri yote ya muda mrefu Kanda ya Dar es Salaam na Tabora. Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam...
10 years ago
Mtanzania26 May
Lowassa Afichua kimya cha muda mrefu
Charles Mullinda na Jimmy Charles, Dodoma
HATIMAYE Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, jana alivunja ukimya wa muda mrefu alipofanya mahojiano ya ana kwa ana na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari.
Katika mkutano huo,Lowassa aliitumia nafasi hiyo kutangaza msimamo wake wa siasa ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Lowassa aliitumia fursa ya mahojiano hayo, yaliyofanyika nyumbani kwake eneo la Area C mjini hapa, kuwaeleza wahariri kuwa hana mpango wa kuhama CCM licha ya kuwapo...
9 years ago
BBCSwahili24 Sep
Marais walioongoza muda mrefu zaidi Afrika