Mahakama kumaliza mashauri ya muda mrefu
MAHAKAMA ya Tanzania iko katika mchakato maalumu wa kumaliza mashauri yote ya muda mrefu Kanda ya Dar es Salaam na Tabora. Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3SLx6uzifaI/VYKoSqV_7gI/AAAAAAAHg3s/J16PWjut7kE/s72-c/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
MAHAKAMA YA RUFANI YAKUTANA NA WADAU WAKE KUTOA MAONI JUU YA KUMALIZA MASHAURI KWA WAKATI
![](http://4.bp.blogspot.com/-3SLx6uzifaI/VYKoSqV_7gI/AAAAAAAHg3s/J16PWjut7kE/s640/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iXwZMwhcNXs/VYKoSFLfYdI/AAAAAAAHg3o/1yssgQjpmzU/s640/unnamed%2B%252845%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RtgX0pTJfEk/Xuw310oK9jI/AAAAAAALuhY/vL9J9t1fHnUyhNJJw71E47YF6JEl1oTuACLcBGAsYHQ/s72-c/1-29.jpg)
JAJI KAHYOZA: MBINU TULIZOJIWEKEA ZIMETUSAIDIA KUMALIZA MASHAURI KWA WAKATI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-RtgX0pTJfEk/Xuw310oK9jI/AAAAAAALuhY/vL9J9t1fHnUyhNJJw71E47YF6JEl1oTuACLcBGAsYHQ/s640/1-29.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-19.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Mhe. Adam Kighoma Malima akizungumia kuhusu kuwepo kwa baada ya Mahakama ya Tanzania kufanya uboreshaji wa miundombinu ya Mahakama yalivyorahisisha utoaji haki na kuokoa gharama kwa wananchi wa eneo hilo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/3.png)
Mtendaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Musoma, Bw. Festo Chonya akizungumzia kuhusu maboresho...
11 years ago
Tanzania Daima20 Feb
Utatuzi wa mashauri ya jinai nje ya mahakama — 2
WIKI iliyopita nilieleza lengo la makala hii ni kujifunza mbinu na umuhimu uliopo katika kutatua mashauri ya jinai nje ya mfumo wa mahakama ili kuepuka matatizo niliyokwisha yaainisha hapo juu....
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XR9DZHhZ-jE/Xru7yjP_hnI/AAAAAAALqCA/FGXMeXay4rkLICysI5jakd43hQHqtx_dgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200512-WA0041-768x576.jpg)
MAHAKAMA KUU MUSOMA YAAKUSIKILIZA MASHAURI KWA MTANDAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-XR9DZHhZ-jE/Xru7yjP_hnI/AAAAAAALqCA/FGXMeXay4rkLICysI5jakd43hQHqtx_dgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200512-WA0041-768x576.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG-20200512-WA0039-1024x768.jpg)
Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Musoma Mhe, Zephrine Galeba ya akiendesha shauri kwa njia ya Mahakama Mtandao katika ukumbi wa Mahakama hiyo jana.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG-20200512-WA0037-1024x768.jpg)
Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Musoma, Mhe.Rahim Mushi akisikiliza shauri kwa njia hiyo.
Picha na Francisca Swai –Mahakama Kuu Musoma.
…………………………………………………………
Na. Francisca Swai-...
5 years ago
MichuziMASHAURI 157 YAANZA KUSIKILIZWA NA MAHAKAMA YA RUFANI NCHINI
10 years ago
MichuziMAJAJI WA MAHAKAMA YA TANZANIA WAFUNDWA JUU YA USIKILIZAJI WA MASHAURI YA UCHAGUZI
Na Mary Gwera, MahakamaJAJI Mkuu wa Tanzania, Mhe. Mohamed Chande Othman amewataka Majaji nchini kujiandaa na usikilizaji wa mashauri/kesi za uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.
Hayo yalisemwa katika risala yake iliyosomwa na Mhe. Jaji Edward Rutakangwa, Jaji wa Mahakama ya Rufaa (T) kwa niaba ya Mhe. Jaji Mkuu, Mohamed Chande Othman alipokuwa akifungua rasmi Warsha ya siku mbili (2) ya Uhamasishaji wa Wahe. Majaji juu ya utatuzi wa migogoro ya Uchaguzi “Judges Sensitization...
Hayo yalisemwa katika risala yake iliyosomwa na Mhe. Jaji Edward Rutakangwa, Jaji wa Mahakama ya Rufaa (T) kwa niaba ya Mhe. Jaji Mkuu, Mohamed Chande Othman alipokuwa akifungua rasmi Warsha ya siku mbili (2) ya Uhamasishaji wa Wahe. Majaji juu ya utatuzi wa migogoro ya Uchaguzi “Judges Sensitization...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-zRCvoj_13v8/Xt9TSoyvC7I/AAAAAAALtJY/4WfYYItA2509BH9owJ9FSjHjMKExvMoNACLcBGAsYHQ/s72-c/615f8244-f63f-4ccb-ad5c-cfbe46d3e7c7.jpg)
MAHAKAMA ZA MWANZO GEITA ZASIKILIZA MASHAURI NDANI YA MIEZI MINNE
![](https://1.bp.blogspot.com/-zRCvoj_13v8/Xt9TSoyvC7I/AAAAAAALtJY/4WfYYItA2509BH9owJ9FSjHjMKExvMoNACLcBGAsYHQ/s640/615f8244-f63f-4ccb-ad5c-cfbe46d3e7c7.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/440d9976-2ebb-4186-9483-ace52b1a7e59.jpg)
Jengo la Mahakama ya Wilaya ya Bukombe
********************************
Na Magreth Kinabo na Innocent Kansha – Bukombe
Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Bukombe, Mhe. Ainawe Moshi amesema kwamba Mahakama za Mwanzo katika Mkoa wa Geita zimejipanga kumaliza mashauri ndani ya kipindi cha miezi minne, licha ya utaratibu uliopangwa wa miezi sita.
...
10 years ago
BBCSwahili18 Mar
Kunyonyesha muda mrefu ni faida?
Utafiti uliofanyika nchini Brazil umebaini kuwa watoto wanaonyonya kwa muda mrefu wanakuwa na akili zaidi.
5 years ago
BBCSwahili19 Feb
Je,simu zinazojikunja zinadumu muda mrefu?
Simu zinazoweza kujikunja kwa mara nyingine tena zinakosolewa iwapo zinaweza kudumu kwa mda mrefu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania