MAHAKAMA YA RUFANI YAKUTANA NA WADAU WAKE KUTOA MAONI JUU YA KUMALIZA MASHAURI KWA WAKATI
![](http://4.bp.blogspot.com/-3SLx6uzifaI/VYKoSqV_7gI/AAAAAAAHg3s/J16PWjut7kE/s72-c/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
Baadhi ya Wadau wa Mahakama kutoka Magereza,Ofisi ya DPP, Polisi wakiwa katika Mkutano wa Majaji wa Mahakama ya Rufani unaolenga katika kupata maoni ya wadau juu ya njia zitakazowezesha kusaidia kumaliza mashauri/rufani zinazoletwa Mahakama ya Rufani kwa wakati.
Baadhi ya Wahe. Majaji, Maafisa wa Mahakama pamoja na Wadau wa Mahakama wakiwa katika Mkutano katika majadiliano juu ya Maboresho ya umalizaji wa Mahakama katika ngazi ya Mahakama ya Rufani (T) Kwa muda mrefu Mahakama ya Tanzania...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RtgX0pTJfEk/Xuw310oK9jI/AAAAAAALuhY/vL9J9t1fHnUyhNJJw71E47YF6JEl1oTuACLcBGAsYHQ/s72-c/1-29.jpg)
JAJI KAHYOZA: MBINU TULIZOJIWEKEA ZIMETUSAIDIA KUMALIZA MASHAURI KWA WAKATI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-RtgX0pTJfEk/Xuw310oK9jI/AAAAAAALuhY/vL9J9t1fHnUyhNJJw71E47YF6JEl1oTuACLcBGAsYHQ/s640/1-29.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/2-19.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Mara, Mhe. Adam Kighoma Malima akizungumia kuhusu kuwepo kwa baada ya Mahakama ya Tanzania kufanya uboreshaji wa miundombinu ya Mahakama yalivyorahisisha utoaji haki na kuokoa gharama kwa wananchi wa eneo hilo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/3.png)
Mtendaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Musoma, Bw. Festo Chonya akizungumzia kuhusu maboresho...
5 years ago
MichuziMASHAURI 157 YAANZA KUSIKILIZWA NA MAHAKAMA YA RUFANI NCHINI
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Mahakama kumaliza mashauri ya muda mrefu
MAHAKAMA ya Tanzania iko katika mchakato maalumu wa kumaliza mashauri yote ya muda mrefu Kanda ya Dar es Salaam na Tabora. Akizungumza na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7YJi9SYEVEo/XruP-GkuOWI/AAAAAAALp_c/PXrvGCqJk10fgczJYvAnCUGbX73NwxbzwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200511-WA0022-768x576.jpg)
MAHAKAMA KUU YA TANZANIA KANDA YA SONGEA YAANZA KUSIKILIZA MASHAURI NA KUTOA HUKUMU KWA 'VIDEO CONFERENCE'.
![](https://1.bp.blogspot.com/-7YJi9SYEVEo/XruP-GkuOWI/AAAAAAALp_c/PXrvGCqJk10fgczJYvAnCUGbX73NwxbzwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200511-WA0022-768x576.jpg)
Na Brian Haule –Mahakama Kuu Songea
Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Songea imeanza kusikiliza mashauri na kutoa hukumu kwa Mahakama Mtandao yaani ‘Video Conference’.
Mahakama hiyo imeanza kusikiliza mashauri kwa njia hiyo, baada ya jitihada za Mahakama ya Tanzania kununua vifaa maalumu vya kuendesha mahakama kwa mtandao kwa ajili ya mahakama mbalimbali nchini, ikiwa ni hatua za kuepuka kuenea kwa maambukizi ya virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa (COVID 19) sambamba na...
10 years ago
MichuziMAJAJI WA MAHAKAMA YA TANZANIA WAFUNDWA JUU YA USIKILIZAJI WA MASHAURI YA UCHAGUZI
Hayo yalisemwa katika risala yake iliyosomwa na Mhe. Jaji Edward Rutakangwa, Jaji wa Mahakama ya Rufaa (T) kwa niaba ya Mhe. Jaji Mkuu, Mohamed Chande Othman alipokuwa akifungua rasmi Warsha ya siku mbili (2) ya Uhamasishaji wa Wahe. Majaji juu ya utatuzi wa migogoro ya Uchaguzi “Judges Sensitization...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ql6Z40BB754/VW0zc8JmEzI/AAAAAAAAQPs/J1h84BpMC3U/s72-c/logo%2Bewura.jpg)
WANANCHI MANISPAA YA MOSHI WAALIKWA KUTOA MAONI JUU YA OMBI LA MUWSA KUBADILI BEI YA KUTOA HUDUMA YA MAJI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ql6Z40BB754/VW0zc8JmEzI/AAAAAAAAQPs/J1h84BpMC3U/s400/logo%2Bewura.jpg)
Na Dixon Busagaga.Moshi.
MAMLAKA ya maji safi na usafi wa Mazingira mjini Moshi(MUWSA) inakusudia kuongeza bei ya kutoa huduma za maji kwa watumiaji wake ,lengo likiwa ni kutaka kuendelea kufanya maboresho katika utolewaji wa huduma hiyo.
Kwa mujibu wa ombi Na,TR-W-15-008 kutoka Muwsa kwenda Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma ya Nishati na Maji(EWURA) Mamlaka ya maji safi na maji taka mjini Moshi imetaka kuongeza beo ya huduma zake kwa mwaka 2015/2016 HADI 2017/2018.
Mabadiliko ya bei hiyo...
9 years ago
Michuzi15 Dec
10 years ago
VijimamboVIJIMAMBO YAKUTANA NA WADAU WAKE DALLAS, TEXAS
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RbFCTBNlphc/U6n3Yrtz6YI/AAAAAAAFstQ/6VYg-GIXB4E/s72-c/1.jpg)
MultChoice Africa yakutana na wadau wake nchini Mauritius
![](http://4.bp.blogspot.com/-RbFCTBNlphc/U6n3Yrtz6YI/AAAAAAAFstQ/6VYg-GIXB4E/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yod8YbiRJZ4/U6n5JdNwTyI/AAAAAAAFsxY/WwqQzVlei3M/s1600/4.jpg)