Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VIJIMAMBO YAKUTANA NA WADAU WAKE DALLAS, TEXAS

 Kutoka kushoto ni Tom, Wolfgang, Kichai na Dj Luke wakiwa Afrika Fusion wakipata menyu ni kilaji kwenye July 4th weekend jijini Dallas, Texas. Ben Kazora akiwa na Dj Luke wakipata picha ya pamoja. Wadau wa Dallas wakiwa kwenye nyama choma kama walivyokutwa na camera ya Vijimambo ambayo wiki hii ipo Dallas, Texas. Mdau wa Vijimambo akipata picha ya kumbukumbu
 Wadau wakiwa Africa Fusion wakipata ukodak ndani ya mgahawa huo.. Mdau kutoka California aakipata picha ya upendeleo. Wadau wa Dallas...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

PITA PITA YA VIJIMAMBO DALLAS, TEXAS

 Kushoto ni Rasheed Mkakile akipata picha ya pamoja na rafiki yake wa siku nyingi tangia nyumbani, Washington, DC na sasa hivi wote wakiishi Dallas Texas, Dickson Sipemba siku ya Alhamisi Dickoson na Dj Luke (hayupo pichani) walipokwenda kumjulia hali nyumbani kwake na kumkuta anaendelea vizuri. Kutoka kushoto ni Rasheed Mkakile, Dickoson Sipemba na Dj Luke wakipata picha ya pamoja na Rasheed Mkakile nyumbani kwake Dallas, Texas.

 

11 years ago

Michuzi

MultChoice Africa yakutana na wadau wake nchini Mauritius

Mtendaji Mkuu wa MultChoice Afrika,Nico Meyer akitoa hotuba yake wakati wa tafrija ya ufunguzi wa Mult Choice Africa Extravaganza uliofanyika leo kwenye Ufukwe wa Hoteli ya Trou Aux Biches,Morisi ndani ya Kisiwa cha Mauritius.Hafla hiyo imekusanya wadau mbali mbali wa MultChoice barani Afrika,ambapo Kampini hiyo itakuwa ikinyesha mambo mbali mbali wanayojihusisha nayo kwenye vipindi mbali mbali vya Televisheni zao za DStV na GoTV.Picha zote na Othman Michuzi. Meneja wa MultChoice kwa...

 

10 years ago

Michuzi

RwandAir yakutana na wadau wake katika chakula cha jioni jijini Dar

Wafanyakazi wa Rwandair wakipozi katika picha ya pamoja na zawadi zao, kushoto ni Lucy Ismail RwandAir country manager, Gladys Buhama na Hamida Hamza Reservation staff na kulia ni Eugene Mugisha Airport Station ManagerRwandAir Tanzania Country Manager, Lucy Ismail akifungua sherehe kwa kukaribisha wageni waalikwa na kutambulisha baadhi ya staff,kulia ni Roshni,Lucy, Mayyada,Gladys na mwisho kushoto ni Naina.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

Michuzi

MAHAKAMA YA RUFANI YAKUTANA NA WADAU WAKE KUTOA MAONI JUU YA KUMALIZA MASHAURI KWA WAKATI

 Baadhi ya Wadau wa Mahakama kutoka Magereza,Ofisi ya DPP, Polisi  wakiwa katika Mkutano wa Majaji wa Mahakama ya Rufani unaolenga katika kupata maoni ya wadau juu ya njia zitakazowezesha kusaidia kumaliza mashauri/rufani zinazoletwa Mahakama ya Rufani kwa wakati.Baadhi ya Wahe. Majaji, Maafisa wa Mahakama pamoja na Wadau wa Mahakama wakiwa katika Mkutano katika majadiliano juu ya Maboresho ya umalizaji wa Mahakama katika ngazi ya Mahakama ya Rufani (T) Kwa muda mrefu Mahakama ya Tanzania...

 

10 years ago

Vijimambo

UKODAK MOMENT DALLAS, TEXAS


Mshereheshaji Sunday Simba Shomari aka Triple S (kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Mpwa ndani ya mgahawa wa Hotel ya Westin iliyopo mtaa wa Legacy Dr. jijini Dallas jimbo la Texas siku ya Jumapili July 5, 2015 wakipata kifungua kinywa baada ya kazi nzito ya kusherehesha na kuburudisha sherehe ya harusi ya Sandra na George iliyofanyika mjini humo siku ya Jumamosi July 4, 2015.

 

10 years ago

Vijimambo

NDOA YA SUSAN NA GEORGE DALLAS, TEXAS


Hapa ndipo palipofungiwa ndoa ya Sandra na George ndani ya Hotel ya Westin iliyopo Dallas, Texas siku ya Jumamosi July 4th, 2015 na kuhudhuriwa na ndugu, jamaa na marafiki kutoka kila pembe ya Dunia. Bwana harusi George (kulia0 akiwa na mmoja ya wasimamizi wake wakihakikisha wanacho cheti cha ndoa hii ilikua kabla ya ndoa yake na Sandra haijafungwa. Katikati ni Alvin kaka ya Bi. harusi akimkabidhi Sandra kwa George ikiwa ni ishara ya Alvin kwa niaba ya familia kuridhia dada yake kuolewa na...

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA YA PAMOJA NDANI YA DALLAS, TEXAS

Gloria Padmore akiwa katika picha ya pamoja na Mpwa siku ya Jumamosi July 4, 2015 jijini Dallas Gloria alipokutana na Mpwa kwenye harusi ya Sandra na George

 

10 years ago

Vijimambo

SHEREHE YA HARUSI YA SANDRA NA GEORGE DALLAS, TEXAS.

Maharusi wakiwa meza kuu wakipata picha ya kumbukumbu na mmoja ya mtoto wao siku ya sherehe ya harusi yao iliyofanyika katika hoteli ya Westin iliyopo mtaa Legacy Dr. Dallas, Texas siku ya Jumamosi July 4, 2015 na kuhudhuriwa na ndugu, jamaa na marafiki kutoka kila pembe ya Dunia.Wapambe wa Bwna na Bi harusi.WasimamiziWasimamiziWasimamiziFor More photos Click Soma Zaidi

 

10 years ago

Michuzi

Uzinduzi wa Albamu ya injili Dallas, Texas, Marekani

Karibu katika uzinduzi wa Albamu ya injili kesho ktk kanisa la Umoja la Dallas, Texas, Marekani.Mtumishi wa Mungu kaka Morris Swai ambae ni mtoto wa mchungaji Ragate Swai wa Kinondoni Assemblies (TZ)atazindua Albamu yake ya kwanza.Morriss anaishi Houston Texas kwa sasa.Karibuni wote bila kukosa. Ps.Absalom-Umoja Church.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani