Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MultChoice Africa yakutana na wadau wake nchini Mauritius

Mtendaji Mkuu wa MultChoice Afrika,Nico Meyer akitoa hotuba yake wakati wa tafrija ya ufunguzi wa Mult Choice Africa Extravaganza uliofanyika leo kwenye Ufukwe wa Hoteli ya Trou Aux Biches,Morisi ndani ya Kisiwa cha Mauritius.Hafla hiyo imekusanya wadau mbali mbali wa MultChoice barani Afrika,ambapo Kampini hiyo itakuwa ikinyesha mambo mbali mbali wanayojihusisha nayo kwenye vipindi mbali mbali vya Televisheni zao za DStV na GoTV.Picha zote na Othman Michuzi. Meneja wa MultChoice kwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

VIJIMAMBO YAKUTANA NA WADAU WAKE DALLAS, TEXAS

 Kutoka kushoto ni Tom, Wolfgang, Kichai na Dj Luke wakiwa Afrika Fusion wakipata menyu ni kilaji kwenye July 4th weekend jijini Dallas, Texas. Ben Kazora akiwa na Dj Luke wakipata picha ya pamoja. Wadau wa Dallas wakiwa kwenye nyama choma kama walivyokutwa na camera ya Vijimambo ambayo wiki hii ipo Dallas, Texas. Mdau wa Vijimambo akipata picha ya kumbukumbu
 Wadau wakiwa Africa Fusion wakipata ukodak ndani ya mgahawa huo.. Mdau kutoka California aakipata picha ya upendeleo. Wadau wa Dallas...

 

10 years ago

Michuzi

RwandAir yakutana na wadau wake katika chakula cha jioni jijini Dar

Wafanyakazi wa Rwandair wakipozi katika picha ya pamoja na zawadi zao, kushoto ni Lucy Ismail RwandAir country manager, Gladys Buhama na Hamida Hamza Reservation staff na kulia ni Eugene Mugisha Airport Station ManagerRwandAir Tanzania Country Manager, Lucy Ismail akifungua sherehe kwa kukaribisha wageni waalikwa na kutambulisha baadhi ya staff,kulia ni Roshni,Lucy, Mayyada,Gladys na mwisho kushoto ni Naina.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

Michuzi

MAHAKAMA YA RUFANI YAKUTANA NA WADAU WAKE KUTOA MAONI JUU YA KUMALIZA MASHAURI KWA WAKATI

 Baadhi ya Wadau wa Mahakama kutoka Magereza,Ofisi ya DPP, Polisi  wakiwa katika Mkutano wa Majaji wa Mahakama ya Rufani unaolenga katika kupata maoni ya wadau juu ya njia zitakazowezesha kusaidia kumaliza mashauri/rufani zinazoletwa Mahakama ya Rufani kwa wakati.Baadhi ya Wahe. Majaji, Maafisa wa Mahakama pamoja na Wadau wa Mahakama wakiwa katika Mkutano katika majadiliano juu ya Maboresho ya umalizaji wa Mahakama katika ngazi ya Mahakama ya Rufani (T) Kwa muda mrefu Mahakama ya Tanzania...

 

11 years ago

Michuzi

TASWIRA MBALI MBALI KATIKA USIKU WA UNIVERSAL CHANNEL (MULTICHOICE AFRICA EXTRAVAGANZA) NCHINI MAURITIUS

 Wadau kutoka nchi mbali mbali barani Afrika wakiwa kwenye tafrija maalum ya Universal Channel inayoonyeshwa kwenye DStV ikiwa ni sehemu ya uonyeshaji wa kazi mbali mbali za MultiChoice Africa.Picha zote na Othman Michuzi.  MC wa Kimataifa ambaye pia ni Muongozaji wa Mashindano ya Big Brother Africa, IK Osakioduwa akiongoza shughuli hiyo iliyofanyika jana usiku kwenye Hoteli yenye hadhi ya Kimataifa ya Trou Aux Biches,nchini Mauritius. 
 IK akifanya mahojiano na waigizaji wa moja ya filamu...

 

11 years ago

Michuzi

Viongozi wa Barclays Africa Group wakutana na wadau nchini

 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Mizinga Melu (kushoto) akiwa na wageni wengine katika mkutano huo. Kundi la Barclays Afrika ‘the Group’, limetokana na kuunganishwa kwa Kundi la ABSA ya Afrika Kusini (ABSA Group Ltd) na sehemu kubwa ya shughuli za Benki ya Barclays barani Afrika hapo Juni 31, 2013. ABSA (sasa the Group) ikimiliki asilimia 55 ya hisa ndani ya NBC, serikali ya Tanzania asilimia 30  zinazobaki zikimilikiwa na mashirika ya fedha ya kimataifa.  Ofisa Mtendaji Mkuu wa...

 

11 years ago

Michuzi

WILDAF yaendesha Mkutano kwa Wadau wake wa Kupiga Vita Ukatili Dhidi ya wanawake nchini

Mkugenzi Mkuu wa Shirika la Wanawake Katika Sheria na Maendeleo ya Afrika (WILDAF),Judith Odunga (kulia) akizungumza wakati wa  ufunguzi wa Warsha ya siku moja ya kuadhimisha ya Siku ya Wanawake inayoadhimishwa kila March 8 Duniani kote,iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa,jijini Dar es Salaam.Wengine pichano toka kushoto ni Lucy Marere kutoka Ubalozi wa Ireland,Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC),Wakili Harold Sungusia,Mhadhiri wa...

 

10 years ago

Michuzi

NBC YAKUTANA NA WADAU WA PPF JIJINI ARUSHA

Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano wa Benki ya NBC, William Kallaghe (kushoto) akizungumza huku Mkuu wa Huduma za Rejareja za Kibenki wa NBC, Mongateko Makongoro akimsikiliza katika Mkutano wa 24 wa Wadau na Wanachama wa Mfuko wa PPF uliofanyika hivi karibuni jijini Arusha. Mkuu wa Huduma za Rejareja za Kibenki wa NBC, Mongateko Makongoro akizungumza katika Mkutano huo.Kaimu Mhazini Mkuu wa Benki ya NBC Tanzania, Ivan Tarimo, (wa pili kushoto), akizungumza wakati wa tafrija ya chakula cha jioni...

 

10 years ago

Habarileo

ZEC yakutana na wadau maandalizi ya Katiba mpya

TUME ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imekutana na wadau mbalimbali vikiwamo vyama vya siasa kwa ajili ya maandalizi ya kura ya maoni ya Katiba Inayopendekezwa na uandikishaji katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani