Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hotuba ya Boss Mkuu wa MultChoice Afrika katika event iliyofanyika jana usiku nchini Mauritius



Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MultChoice Africa yakutana na wadau wake nchini Mauritius

Mtendaji Mkuu wa MultChoice Afrika,Nico Meyer akitoa hotuba yake wakati wa tafrija ya ufunguzi wa Mult Choice Africa Extravaganza uliofanyika leo kwenye Ufukwe wa Hoteli ya Trou Aux Biches,Morisi ndani ya Kisiwa cha Mauritius.Hafla hiyo imekusanya wadau mbali mbali wa MultChoice barani Afrika,ambapo Kampini hiyo itakuwa ikinyesha mambo mbali mbali wanayojihusisha nayo kwenye vipindi mbali mbali vya Televisheni zao za DStV na GoTV.Picha zote na Othman Michuzi. Meneja wa MultChoice kwa...

 

11 years ago

Michuzi

TASWIRA MBALI MBALI KATIKA USIKU WA UNIVERSAL CHANNEL (MULTICHOICE AFRICA EXTRAVAGANZA) NCHINI MAURITIUS

 Wadau kutoka nchi mbali mbali barani Afrika wakiwa kwenye tafrija maalum ya Universal Channel inayoonyeshwa kwenye DStV ikiwa ni sehemu ya uonyeshaji wa kazi mbali mbali za MultiChoice Africa.Picha zote na Othman Michuzi.  MC wa Kimataifa ambaye pia ni Muongozaji wa Mashindano ya Big Brother Africa, IK Osakioduwa akiongoza shughuli hiyo iliyofanyika jana usiku kwenye Hoteli yenye hadhi ya Kimataifa ya Trou Aux Biches,nchini Mauritius. 
 IK akifanya mahojiano na waigizaji wa moja ya filamu...

 

10 years ago

Michuzi

SIKU YA YOGA DUNIANI KIMATAIFA ILIYOFANYIKA KATIKA FUKWE ZA KOKOBICHI JIJINI DAR JANA.

 Watui wakifanya mazoezi katika siku ya yoga duniani iliyofanyika katika viwanja vaya kokobichi jijini Dar es Salaam jana.Baadhi ya wananchi wakifurahiya mazoezi yaliyokuwa yakiendelea katika fukwe za kokobichi jijini Dar es Salaam jana.PICHA NA EMMANUEL MASSAKA,GLOBU YA JAMII.

 

11 years ago

Michuzi

WAANDISHI WA HABARI KUTOKA NCHI ZAIDI YA 14 BARANI AFRIKA WAPEWA MAFUNYO YA UCHUNGUZI WA UHALIFU NCHINI MAURITIUS

 Mtaalam wa Maswala ya Uchunguzi wa Uhalifu (Crime and Investigation) kutona nchini Uingereza,Steven Gaskin (kulia) akizungumza wakati wa kutoa mafunzo kwa waandini wa habari (hawapo pichani) kutoka nchi mbali mbali barani Afrika ya namna ya kuweza kuchunguza na kuweza kubaini mwalifu katika tukio lolote,katika mafunzo yaliyofanyika jana kwenye ufukwe wa hoteli ya Trou Aux Biches,Mauritius.Mafunzo hayo yametolewa ikiwa ni sehemu kujionea kazi mbali mbali zinachoonyeshwa kwenye DSTV na GOTV...

 

11 years ago

Michuzi

Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje amkabidhi Hati za kazi Mwakilishi wa Heshima wa Mauritius hapa Nchini

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. John M. Haule kwa niaba ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akimkabidhi  Bw. Syed Nazre Abbas Rizvi Hati zinazomwezesha kufanya kazi kama Mwakilishi wa Heshima wa Mauritius nchini Tanzania. Makabidhiano hayo yalifanyika Ofisini kwa Katibu Mkuu tarehe 12 Machi, 2014.  Bw. Syed Nazre Abbas Rizvi akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kupokea kibali cha kuwa Mwakilishi...

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Birthday Party ya Butuli Iliyofanyika Hoteli ya Kempisk Hapo Jana

Hizi ni baadhi ya picha za mrembo na mwigizaji wa filamu Yobnesh Yussuph ‘Butuli’ aliposherekea siku yake ya kuzaliwa katika hoteli ya Hyatt Regency Kempisk hapo jana.

Sherehe hiyo ilihudhuliwa na baadhi ya watu wake wa karibu wakiwemo waigizaji wenzake, mbali na kufanya sherehe hiyo  mapema siku ya jana Butuli aliwatembea watoto wanaoisha kwenye mazingira magumu.

 

9 years ago

Michuzi

TIMU ZA FC BONGO NA FC KILIMANJARO ZILITOKA SARE YA MABAO MAWILI MAWILI KATIKA MECHI ILIYOFANYIKA KTK JIJI LA HELSINKI NCHINI FINLAND

Mechi ilianza kwa kasi na dakika 1 tu ya mchezo fc bongo walipata bao lao la kwanza kwa mkwaju wa penalt lililofungwa na mchezaji wao machachari Abass Kunha.
Kilimanjaro ilikuja juu na kufanikiwa kusawazisha kwa kona iliyopigwa na Richard Joseph ambayo ilimshinda nguvu kipa wa fc Bongo baada ya purukushani ndani ya lango hilo.
Kipindi cha pili kilianza kwa nguvu na kwenye dkk ya 80 Abass Kunha aliongeza bao la pili, vijana wa kilimanjaro waliongeza nguvu na baada ya dkk 5 wakafanikiwa kukomboa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani