Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TIMU ZA FC BONGO NA FC KILIMANJARO ZILITOKA SARE YA MABAO MAWILI MAWILI KATIKA MECHI ILIYOFANYIKA KTK JIJI LA HELSINKI NCHINI FINLAND

Mechi ilianza kwa kasi na dakika 1 tu ya mchezo fc bongo walipata bao lao la kwanza kwa mkwaju wa penalt lililofungwa na mchezaji wao machachari Abass Kunha.
Kilimanjaro ilikuja juu na kufanikiwa kusawazisha kwa kona iliyopigwa na Richard Joseph ambayo ilimshinda nguvu kipa wa fc Bongo baada ya purukushani ndani ya lango hilo.
Kipindi cha pili kilianza kwa nguvu na kwenye dkk ya 80 Abass Kunha aliongeza bao la pili, vijana wa kilimanjaro waliongeza nguvu na baada ya dkk 5 wakafanikiwa kukomboa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Coutinho atupia mabao mawili Yanga

Kiungo mpya wa Yanga, Mbrazil, Coutinho (7) akipasha na wenzake.
Na Wilbert Molandi
KIUNGO mshambuliaji mpya wa Yanga, Mbrazili, Andrey Coutinho, ameonyesha upinzani mkubwa wa kupachika mabao kwa mshambuliaji wa timu hiyo, Jerry Tegete.
Upinzani mkubwa baina ya wawili hao ulitokea katika mazoezi ya jana jioni kwenye Uwanja wa Chuo cha Bandari, Temeke jijini Dar es Salaam, ikiwa ni siku ya kwanza timu hiyo kuanza mazoezi ya...

 

10 years ago

Michuzi

TASWIRA ZA MAPAMBANO MAWILI YA NGUMI MKOANI KILIMANJARO

Mgeni rasmi katika mapambano mawili ya ngumi ya kimataifa ,mkuu wa wilaya ya Hai ,Novatus Makunga akiteta jambo na Mwenyekiti wa chama cha Ngumi mkoa wa Kilimanjaro Elikunda Kipoko wakati wa mapambano hayo 
Mgeni rasmi katika mapambano mawili ya ngumi ya kimataifa ,mkuu wa wilaya ya Hai ,Novatus Makunga akizungumza wakati wa mapambano hayo kati ya Bondia Said Yazidu(Tanzania) na Djamel Dahou(Aljeria) .
Aleck Mwenda pia akajibu mapigo ingawaje yake yalionekana makali zaidi.
Kamanda wa Polisi wa...

 

10 years ago

Michuzi

FC VITO YAWA KINARA KATIKA MICHUANO YA KOMBE LA HELSINKI CUP 2015, FINLAND

TIMU ya soka ya vijana chini ya miaka 11 ya FC Vito Kilwa ya Kilwa mkoani Lindi, imemaliza mechi za hatua ya makundi ya michuano ya Kombe la Helsinki Cup 2015 kwa kishindo, baada ya kushinda mechi nne na kutoka sare moja, hivyo kumaliza ikiwa kinara wa Kundi BJ/11 ikiwa na pointi 13.
Zaidi ya timu 1,200 zinashiriki michuano hiyo ya nne kwa ukubwa miongoni mwa michuano ya vijana barani Ulaya, inayoendelea kushika kasi jijini Helsinki nchini Finland, ambako Tanzania inawakilishwa na FC Vito...

 

10 years ago

Michuzi

FC Vito ya wilayani Kilwa yaagwaa na kuahidi kurejea na ushindi katika kombe la Helsinki huko Finland

 Meneja Mradi wa Sports Development Aid (SDA) Bw. Mohamed Chigogolo akielezea jambo wakati wa hafla ya kuwaaga watoto wanaoenda kushiriki michuano ya Kombe la Helsinki nchini Finland, hafla hiyo imefanyika jana katika ukumbi wa Ubalozi wa Finland jijini Dar es Salaam.Katikati ni Afisa Michezo Mwandamizi kutoka Wizara ya Habari, Vijana, na Michezo Bw. Nicholaus Bulamile na Kaimu Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Bw. Boniface Wambura.

 Balozi wa Finland nchini Bibi....

 

10 years ago

Vijimambo

Kitila abainisha madhaifu mawili ya Zitto Kabwe Katika Uongozi


Prof anachambua pamoja na mambo mengine , madhaifu ya Zitto Kabwe na kushauri apatiwe mda wa kujirekebisha aweze kuwa kiongozi wa kitaifa, mapungufu hayo kwa maneno yake mwenyewe Proffessor:Pengine udhaifu mkubwa wa Zitto kama kiongozi upo katika maeneo makubwa mawili.Kwanza, ni kushindwa kupima maana na matokeo mapana ya kauli zake kabla hajazitoa. Mara kadhaa Zitto amekuwa akitoa kauli ambazo huacha ukakasi mkubwa katika jamii.
Kwa mfano, akiwa katika kampeni za ubunge mwaka 2010 alitangaza...

 

11 years ago

Michuzi

TANAPA YAKABIDHI MADARASA MAWILI KATIKA SHULE YA SEKONDARI NKOARISAMBU-ARUMERU

Naibu waziri wa maliasili na utalii,Mhe. Mahamud Mgimwa akizungumza katika uzinduzi wa madarasa mawili ykatika shule ya sekondari ya Nkoarisambu wilayani Arumeru. Mkurugenzi mkuu wa shirika la hifadhi ya taifa TANAPA, Bw. Allan Kijazi akitoa taarifa ya kukabidhi mradi wa ujenzi wa madarasa mawili ,shule  ya sekondari Nkoarisambu wilayani Arumeru. Mwenyekiti wa kamati ya Ardhi,maliasili na mazingira Mh James Lembeli akizindua mradi wa ujenzi wa madarasa mawili ,shule ya sekondari ...

 

10 years ago

Michuzi

Watu matatu wafariki dunia Mkoani Dodoma katika matukio mawili tofauti

Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME amesema tukio la kwanza limetokea tarehe 08/03/2015 Majira ya saa 11:00hrs huko  katika kijiji cha Mundemu  Kata ya  Mundemu  Wilaya ya  Bahi Mkoa  wa  Dodoma  mtu aliyefahamika kwa jina la LEGANGA  KAZIMOTO, Mwenye miaka  40, Mkulima na Mkazi wa kijiji cha Mbalawala Manispaa ya Dodoma aliuwawa kwa kupigwa na kitu kizito  sehemu mbali mbali  za mwili wake  na...

 

11 years ago

Michuzi

Watu watatu wapoteza maisha na wengine kujeruhiwa katika ajali ya magari mawili

Na Abdulaziz Lindi
Watu watatu wamefariki Dunia baada ya Magari mawili yenye tela kila moja kuacha njia na kupinduka na kufasabisha vifo vya watu hao na kujeruhi wengine wawili katika ajali iliyotokea Jana Huko Tarafa ya Rondo wilaya ya Lindi Mkoani Lindi.
Ajali hiyo Iliyohusisha gari aina ya HOWO lenye Usajili T270BZU na Tela na T260AZU Pamoja na Lori aina HOWO T871 BTH Tela T 626 BTT yote yaliacha njia
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi kamishna msaidizi Renatha Mzinga amethibitsha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani