TASWIRA ZA MAPAMBANO MAWILI YA NGUMI MKOANI KILIMANJARO
Mgeni rasmi katika mapambano mawili ya ngumi ya kimataifa ,mkuu wa wilaya ya Hai ,Novatus Makunga akiteta jambo na Mwenyekiti wa chama cha Ngumi mkoa wa Kilimanjaro Elikunda Kipoko wakati wa mapambano hayo
Mgeni rasmi katika mapambano mawili ya ngumi ya kimataifa ,mkuu wa wilaya ya Hai ,Novatus Makunga akizungumza wakati wa mapambano hayo kati ya Bondia Said Yazidu(Tanzania) na Djamel Dahou(Aljeria) .
Aleck Mwenda pia akajibu mapigo ingawaje yake yalionekana makali zaidi.
Kamanda wa Polisi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jhHRq1Zv5Oo/Vd3FLoPUkUI/AAAAAAAH0OU/Lc5wZWOU4Kc/s72-c/IMG-20150823-WA0028.jpg)
TIMU ZA FC BONGO NA FC KILIMANJARO ZILITOKA SARE YA MABAO MAWILI MAWILI KATIKA MECHI ILIYOFANYIKA KTK JIJI LA HELSINKI NCHINI FINLAND
Kilimanjaro ilikuja juu na kufanikiwa kusawazisha kwa kona iliyopigwa na Richard Joseph ambayo ilimshinda nguvu kipa wa fc Bongo baada ya purukushani ndani ya lango hilo.
Kipindi cha pili kilianza kwa nguvu na kwenye dkk ya 80 Abass Kunha aliongeza bao la pili, vijana wa kilimanjaro waliongeza nguvu na baada ya dkk 5 wakafanikiwa kukomboa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sm9JtpqLhbA/UuvveHHYYiI/AAAAAAAFKA0/ojhDoD8jRBA/s72-c/BARUA.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-DhVwAplWzw8/Vl0xiKHZ-QI/AAAAAAAAXZE/WBIgV2S7Sm8/s72-c/IMG_0149%2B%25281024x683%2529.jpg)
MBIO ZA KILIMANJARO HEALTH RUN 2015 ZAFANYIKA MKOANI KILIMANJARO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-DhVwAplWzw8/Vl0xiKHZ-QI/AAAAAAAAXZE/WBIgV2S7Sm8/s640/IMG_0149%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-OkmQqBSdAP4/Vl0xiB2scZI/AAAAAAAAXY8/JHOblb1Evoc/s640/IMG_0166%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9hX0y36ODgE/Vl0xyEwdDaI/AAAAAAAAXZw/uIQhBnDwUcM/s640/IMG_0209%2B%25281024x683%2529.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8k2*97pl68z5m-Q3fTB2WM*tp9WRvSBw9LLBqz4tY1UBPSMlXsakf3kV32rJsya4X-QWhybFpzWjGjXBHVD1hyY0PiVhvPFU/TANGA3.jpg?width=600)
TASWIRA KUTOKA TANGA KATIKA MAPAMBANO YA POLISI NA KUNDI LA KIGAIDI
5 years ago
MichuziDC IKUNGI AYAPONGEZA MASHIRIKA MAWILI VITA DHIDI YA CORONA MKOANI SINGIDA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hNbkb14VxzE/VP3aGCjTqsI/AAAAAAAHJKU/qapesK8GZy8/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
Watu matatu wafariki dunia Mkoani Dodoma katika matukio mawili tofauti
![](http://2.bp.blogspot.com/-hNbkb14VxzE/VP3aGCjTqsI/AAAAAAAHJKU/qapesK8GZy8/s1600/unnamed%2B(54).jpg)
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME amesema tukio la kwanza limetokea tarehe 08/03/2015 Majira ya saa 11:00hrs huko katika kijiji cha Mundemu Kata ya Mundemu Wilaya ya Bahi Mkoa wa Dodoma mtu aliyefahamika kwa jina la LEGANGA KAZIMOTO, Mwenye miaka 40, Mkulima na Mkazi wa kijiji cha Mbalawala Manispaa ya Dodoma aliuwawa kwa kupigwa na kitu kizito sehemu mbali mbali za mwili wake na...
10 years ago
Michuzi20 Aug
WATU 16 WADAIWA KUPOTEZA MAISHA KUFUATIA AJALI MBAYA YA MABASI MAWILI WILAYANI SIKONGE MKOANI TABORA
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/va1xHRzn4uvgbiOc36N-X4mb4LZ1AzOhMf90tiGqzH1_iWMHS8Wd5EldjeWdxwTkXYrp9FeuDNPQFkbDzit2YYiibpp4IqoRVfjcGexLy4WBt2af4NNmO2f4N1NL3Ua5Y8DiLASUvgn7IHqvBxGNxgZotjcUTbw832ajBRoqg4Z6ktVikjhCvWAX7ZKyZJRbSROBh8oamKFPUJAYDgRV8uFak6g74tcLEG8v_C3eyY8MotFqcHV53SNXPoGJIBSAJoVJP86ZnGrr3xWDqI2qXoeBXhegjQC0W5N-jl9mt5yadOeSsULifW8qS_V-1p7Uj82yczUrutQ5K43-98ZOXhYBQdZQIGll4P2F=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-nZ_GfWPujs0%2FU_NeIhoEQ9I%2FAAAAAAAAGRs%2F5mAvDqwU_yI%2Fs1600%2FIMG-20140819-WA0011.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Ajali hiyo imetokea leo hii jioni majira ya saa 11 jioni baada ya Basi la Kampuni ya Sabena lenye namba za usajiri T 110 ARV lililokuwa likitokea Mbeya kwenda Mwanza kumegongana uso kwa uso na basi la AM Dreamline lenye namba za usajiri T 803 ATN lililokuwa likitokea Mwanza kupitia Mpanda.
Ajali hiyo imetokea...
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-HHw7P_B8MaI/UsqT9p7-g8I/AAAAAAAFE-E/yM_qMszmEJY/s1600/1.jpg?width=640)
MTOTO AUAWA NA BABA YAKE KWA KUPIGWA NGUMI MKOANI MBEYA