MBIO ZA KILIMANJARO HEALTH RUN 2015 ZAFANYIKA MKOANI KILIMANJARO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-DhVwAplWzw8/Vl0xiKHZ-QI/AAAAAAAAXZE/WBIgV2S7Sm8/s72-c/IMG_0149%2B%25281024x683%2529.jpg)
Washiriki wa Mbio za Kilimanjaro Health Run KM 10 wakianza mbio hizo katika eneo la nje ya uwanja wa Majengo mjini Moshi.
Washiriki wa Mbio za Km 5 zilizowashirikisha zaidi watoto wanao lelewa katka ituo mbalimbali mjin Moshi.
Mshindi wa mbio za KM 10 kwa wanaume, Lameck Msiwa akimaliza mbio katika uwanja wa Majengo mjini Moshi.Picha na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziHatua za mwisho za Maandalizi Mbio za Kilimanjaro Marathoni 2015
10 years ago
Dewji Blog06 May
Wimbo mpya wa wasanii wazawa wa Kilimanjaro wakielezea utamaduni wa wachaga, ukarimu wa wakazi wa Kilimanjaro — “Kilimanjaro”
Wimbo unaelezea utamaduni wa wachaga, ukarimu wa wakazi wa Kilimanjaro, na uzuri wa Mkoa wa kilimanjaro.
10 years ago
Michuzi10 Mar
NSSF yang'ara mashindano ya mbio za Kilimanjaro marathon
NSSF ilishiriki ikiwa kama mdhamini wa mbio za KM 5 ambazo zilishirikisha washiriki zaidi ya 3500. Pamoja na udhamini huo NSSF ilipata nafasi ya kutoa elimu kwa wakazi mbalimbali wa Mkoa wa kilimanjaro walioshiriki na kutembelea kwenye banda lao.
![Mkurugenzi wa Uendeshaji wa NSSF, Cresentius Magori (wa tatu kulia) akishiriki kwenye mbio za Kilimanjaro.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/web.jpg)
10 years ago
MichuziMSIMU WA 13 WA MBIO ZA KIMATAIFA ZA KILIMANJARO MARATHONI WAZINDULIWA MJINI MOSHI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLRjJBoxEmT9uJMDVsqeOpAZqrHt3Lmn70E3upIzGDbE4Zgme-c40ZoXF8YFKYIr8KkxsJg0*Z-fttEv9Z30aqEp/web3.jpg?width=650)
NSSF YANG'ARA MASHINDANO YA MBIO ZA KILIMANJARO MARATHON
10 years ago
MichuziSERIKALI KILIMANJARO YAPONGEZA JITIHADA ZA WAFANYABIASHARA KUTANGAZA HIFADHI YA MLIMA KILIMANJARO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-T822_ihh3YI/VQmZfanPRsI/AAAAAAAAM6g/VXWUfVWT2Ok/s72-c/11000684_10153157453085421_6232313785599446303_n.jpg)
MFANYABIASHARA MASHUHURI MIKOA YA ARUSHA NA KILIMANJARO VICENT LASWAI APANDA MLIMA KILIMANJARO
![](http://2.bp.blogspot.com/-T822_ihh3YI/VQmZfanPRsI/AAAAAAAAM6g/VXWUfVWT2Ok/s1600/11000684_10153157453085421_6232313785599446303_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PqsBE1IXs88/VQmZguEwTaI/AAAAAAAAM60/U2q2gDdTXtE/s1600/11054409_10153157453355421_5880297756316236386_n.jpg)
11 years ago
MichuziKAMANDA BOAZ WA KILIMANJARO ATOA ZAWADI KWA TIMU YA POLISI-KILIMANJARO YA MCHEZO WA KARATE
10 years ago
Dewji Blog01 Apr
Shirika la Ndege la FASTJET lazindua safari mpya kutoka Kilimanjaro — Mwanza na Kilimanjaro — Entebe Uganda
Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege la Fastjet Tanzania Jimmy Kibati akiongea na wandishi wa habari Mkoani Arusha leo wakati wa uzinduzi wa safari mpya ya ndege ya Fastjet kutoka Kilimanjaro kwenda Mwanza na Kilimanjaro kwenda Entebe Uganda, pembeni yake kulia ni Lucy Mbogoro Afisa Mahusiano na Masoko na kushoto ni Neema David Afisa Biashara wote toka shirika hilo.
Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege la Fastjet Tanzania Jimmy Kibati akimkabidhi tiketi mwandishi wa habari toka Tbc Sechelela...