TASWIRA KUTOKA TANGA KATIKA MAPAMBANO YA POLISI NA KUNDI LA KIGAIDI

Helkopta ya polisi pamoja na gari vikiwa eneo la mapango ya Amboni, Tanga wakati wa mapambano ya polisi na kundi linalodhaniwa kuwa la kigaidi. Eneo la mapango ya Amboni.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
TAARIFA YA JESHI LA POLISI MAPAMBANO NA MAJAMBAZI TANGA

Paul Chagonja Kamishina wa Polisi-Operedheni na Mafunzo
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Michuzi.jpg)
11 years ago
BBCSwahili25 Dec
Muslim Brotherhood ni kundi la kigaidi
10 years ago
BBCSwahili06 Jun
Misri:Hamas si kundi la kigaidi
10 years ago
Habarileo28 Aug
Mtuhumiwa wa ujambazi afa katika mapambano na polisi
MTU anayedaiwa kuwa jambazi amekufa baada ya kutokea mapambano baina ya kundi alilokuwa nalo na polisi mkoani Morogoro. Mapambano hayo yanadaiwa kutokea katika kijiji cha Nakufuru, Tarafa ya Lupiro, wilayani Ulanga, mkoani Morogoro. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, Leonard Paulo, alisema tukio hilo ni la Agosti 24.
5 years ago
BBCSwahili03 Jun
Serikali ya Msumbiji imesema viongozi wa kundi la kigaidi waliouwa nchini humo ni Watanzania
10 years ago
Vijimambo
KUTOKA AMBONI TANGA POLISI YATOA TAMKOA HALI NI SHWARI



10 years ago
Vijimambo
WATU WANNE WANAOSADIKIWA KUWA MAJAMBAZI WAUAWA KATIKA MAPAMBANO YA KURUSHIANA RISASI NA POLISI

Katika tukio hilo watu wanne wanaume wasiofahamika wanaosadikiwa kuwa ni majambazi waliuawa katika majibizano ya kurushiana risasi na Askari Polisi.
Tukio hilo limetokea Agusti 3, 2015 majira ya saa 09.00hrs eneo la Sogea, Kata na Tarafa ya Tunduma Wilaya ya Momba.
Awali watu hao walivamia dukani kwa Thadeo Sanga (50), mfanyabiashara na wakala wa kuuza/kusambaza bia za TBL ,...
11 years ago
Michuzi
TASWIRA KUTOKA KATIKA BUNGE LA KATIBA MJINI DODOMA LEO

