WATU WANNE WANAOSADIKIWA KUWA MAJAMBAZI WAUAWA KATIKA MAPAMBANO YA KURUSHIANA RISASI NA POLISI
Watu wanne wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wauawa katika mapambano ya kurushiana risasi na polisi wilaya ya Momba.
Katika tukio hilo watu wanne wanaume wasiofahamika wanaosadikiwa kuwa ni majambazi waliuawa katika majibizano ya kurushiana risasi na Askari Polisi.
Tukio hilo limetokea Agusti 3, 2015 majira ya saa 09.00hrs eneo la Sogea, Kata na Tarafa ya Tunduma Wilaya ya Momba.
Awali watu hao walivamia dukani kwa Thadeo Sanga (50), mfanyabiashara na wakala wa kuuza/kusambaza bia za TBL ,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziTAARIFA YA POLISI JIJINI DAR: MAJAMBAZI WAWILI WAUAWA DAR WAKATI WA MAPAMBANO KATI YAO NA ASKARI WA JESHI LA POLISI
Tukio hilo lilitokea eneo la Kariakoo mtaa wa Mkunguni na Livingstone saa 3.00hrs usiku. Wakati wa tukio hilo umeme ulikuwa hakuna na mlalamikaji alikuwa anatumia taa za...
11 years ago
Michuzi28 Jul
10 years ago
VijimamboTAARIFA YA JESHI LA POLISI MAPAMBANO NA MAJAMBAZI TANGA
Paul Chagonja Kamishina wa Polisi-Operedheni na Mafunzo
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Majambazi yajeruhi polisi wawili kwa risasi
10 years ago
Michuzi10 years ago
BBCSwahili18 Feb
Polisi wanne wauawa Tunisia
9 years ago
BBCSwahili09 Oct
Watu saba wauawa kwa risasi Burundi
9 years ago
StarTV03 Dec
Watu wanne wauawa kwa kukatwa mapanga Geita
Watu wanne wameuawa kwa kukatwa mapanga na watu wasiojulikana katika kijiji cha Bugalama Wilaya ya Geita.
Tukio hilo limetokea disemba moja majira ya saa nne usiku likihusishwa na imani za kishirikina ambapo inadaiwa marehemu Mariamu Lushafisha alimuua mumewe Samuel Masebu ambaye alikuwa akionekana mara kwa mara maeneo ya nyumbani na baadhi ya wanandugu wa upande wa kiume kumtuhumu Mariam amemuua kimazingara.
Watu hao wasiofahamika waliingia na mapanga kwenye mji wa Marehemu Samuel Masebu...
10 years ago
KwanzaJamii20 Aug
WATU WANNE WA FAMILIA MOJA WAUAWA KWA KUKUTWA NA BHANGI