Majambazi yajeruhi polisi wawili kwa risasi
Polisi wawili mkoani Geita, G 6512 PC Hamis Zunzu na E1465 Koplo Said Mohamed wamejeruhiwa kwa kupigwa risasi na watu wanne wanaosadikiwa kuwa majambazi raia wa Burundi na Mtanzania mmoja, huku jambazi mmoja akiuawa na wananchi baada ya kujeruhiwa na risasi mguu na kushindwa kukimbia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMAJAMBAZI WAKIZUNGU WAWILI KUTOKA ITALI WAKIONA CHA MOTO KWA KUPIGWA NA RISASI
11 years ago
Habarileo30 Apr
Majambazi yaua Polisi wawili
ASKARI Polisi wawili kutoka Tarafa ya Usoke wilayani Urambo mkoani Tabora, wameuawa kwa kupigwa risasi na majambazi. Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamanda wa Polisi mkoani Tabora, Suzan Kaganda, alisema mauaji hayo yamefanyika juzi saa 2: 30 usiku katika kijiji cha Usoke wilayani Urambo.
10 years ago
Mwananchi25 Jan
Polisi yaua majambazi wawili Dar
10 years ago
CloudsFM22 Jan
Majambazi wavamia kituo, waua polisi wawili
Kutokana na tukio hilo, Jeshi la Polisi liko katika msako mkali, huku Mkuu wa jeshi hilo, IGP, Ernest Mangu akitangaza donge nono la Sh milioni 20 kwa watakaofanikisha kukamatwa kwa wahusika wa tukio hilo na silaha.
Akizungumza na waandishi wa habari kwa njia ya simu kutoka eneo la...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YFKpWo8xoJQ/VMOMrmLWPyI/AAAAAAAG_Uw/l-2FcASe20k/s72-c/kova18_232_300.jpg)
TAARIFA YA POLISI JIJINI DAR: MAJAMBAZI WAWILI WAUAWA DAR WAKATI WA MAPAMBANO KATI YAO NA ASKARI WA JESHI LA POLISI
![](http://4.bp.blogspot.com/-YFKpWo8xoJQ/VMOMrmLWPyI/AAAAAAAG_Uw/l-2FcASe20k/s1600/kova18_232_300.jpg)
Tukio hilo lilitokea eneo la Kariakoo mtaa wa Mkunguni na Livingstone saa 3.00hrs usiku. Wakati wa tukio hilo umeme ulikuwa hakuna na mlalamikaji alikuwa anatumia taa za...
10 years ago
Mwananchi01 Apr
Majambazi waua polisi wawili, IGP apangua makamanda 160
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Og0l_Vwzudk/VcD0J6VTegI/AAAAAAABTKw/4pFqhwd9QhQ/s72-c/Kamanda%2Bwa%2BPolisi%2Bmkoa%2Bwa%2BMbeya%2BAhmed%2BMsangi.jpg)
WATU WANNE WANAOSADIKIWA KUWA MAJAMBAZI WAUAWA KATIKA MAPAMBANO YA KURUSHIANA RISASI NA POLISI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Og0l_Vwzudk/VcD0J6VTegI/AAAAAAABTKw/4pFqhwd9QhQ/s640/Kamanda%2Bwa%2BPolisi%2Bmkoa%2Bwa%2BMbeya%2BAhmed%2BMsangi.jpg)
Katika tukio hilo watu wanne wanaume wasiofahamika wanaosadikiwa kuwa ni majambazi waliuawa katika majibizano ya kurushiana risasi na Askari Polisi.
Tukio hilo limetokea Agusti 3, 2015 majira ya saa 09.00hrs eneo la Sogea, Kata na Tarafa ya Tunduma Wilaya ya Momba.
Awali watu hao walivamia dukani kwa Thadeo Sanga (50), mfanyabiashara na wakala wa kuuza/kusambaza bia za TBL ,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BM3*tIQqFL8B2fQNibjloNJ4nr1KUCPNtUdkmUIgA3Ojjra1PNLj62bYeNfqzbfxotlj-bgmIARQkp2QC0Me-BzsbYNjKUXo/breakingnews.gif)
KITUO CHA POLISI IKWIRIRI CHAVAMIWA NA MAJAMBAZI, ASKARI WAWILI WAUWAWA
10 years ago
Mwananchi21 Jan
Majambazi yateka kituo cha polisi, yaua askari wawili, yapora SMG tano