Majambazi wavamia kituo, waua polisi wawili
Kutokana na tukio hilo, Jeshi la Polisi liko katika msako mkali, huku Mkuu wa jeshi hilo, IGP, Ernest Mangu akitangaza donge nono la Sh milioni 20 kwa watakaofanikisha kukamatwa kwa wahusika wa tukio hilo na silaha.
Akizungumza na waandishi wa habari kwa njia ya simu kutoka eneo la...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo14 Jul
Majambazi waua 7 kituo cha Polisi
ASKARI wanne na raia watatu wameuawa baada ya watu wanaosadikiwa kuwa majambazi kuvamia Kituo cha Polisi cha Sitakishari kilichopo Ukonga katika Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam.
10 years ago
Mwananchi01 Apr
Majambazi waua polisi wawili, IGP apangua makamanda 160
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-m-Eul0kNoxs/U5hJnSOifCI/AAAAAAAFpw8/eAlwlSBE5-c/s72-c/IMG-20140611-WA0002-1.jpg)
News Alert: Majambazi wavamia kituo cha Polisi Kimanzichana na kuua Askari
![](http://4.bp.blogspot.com/-m-Eul0kNoxs/U5hJnSOifCI/AAAAAAAFpw8/eAlwlSBE5-c/s1600/IMG-20140611-WA0002-1.jpg)
Cha kushangaza watu hao walimvamia askari mwenye silaha ambaye amefahamika kwa jina la JOSEPH NGONYANI na kuanza kumkatakata mapanga na hatimaye kupora silaha aina ya SMG ikiwa na risasi 30.
Ndipo...
10 years ago
Mwananchi13 Jul
Watu wenye silaha wavamia kituo cha polisi Dar, waua, waiba silaha
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BM3*tIQqFL8B2fQNibjloNJ4nr1KUCPNtUdkmUIgA3Ojjra1PNLj62bYeNfqzbfxotlj-bgmIARQkp2QC0Me-BzsbYNjKUXo/breakingnews.gif)
KITUO CHA POLISI IKWIRIRI CHAVAMIWA NA MAJAMBAZI, ASKARI WAWILI WAUWAWA
10 years ago
Mwananchi21 Jan
Majambazi yateka kituo cha polisi, yaua askari wawili, yapora SMG tano
10 years ago
Michuzi21 Jan
BREAKING NYUZZZZ.....: KITUO CHA POLISI IKWIRIRI,RUFIJI CHAVAMIWA NA MAJAMBAZI,ASKARI WAWILI WAUWAWA
Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo,huku askari wanaodaiwa kupotenza maisha ni Cop. Edgar aliyekatwa mapanga na Wp Judith aliyepigwa risasi ubavuni upande wa kulia na kutokea upande wa kushoto.
Hivi sasa hali ni tete katika eneo hilo na watu wamekusanyika huku polisi wakiongeza...
11 years ago
Habarileo07 Aug
Majambazi wapora, waua ndugu wawili
NDUGU wawili wameuawa na majambazi waliovamia baa eneo la Mwananyamala kwa Mama Zacharia, jijini Dar es Salaam na kupora mkoba uliokuwa na fedha zaidi ya Sh milioni mbili.
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Polisi Dar waua, wakamata majambazi
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limewaua majambazi wawili na kuwakamata wanane katika harakati za kupambana na uhalifu wa kutumia silaha. Akizungumza na waandishi wa habari jijini...