Majambazi waua polisi wawili, IGP apangua makamanda 160
>Askari polisi wawili wameuawa na mmoja kujeruhiwa baada ya kuvamiwa na watu wanaodhaniwa kuwa na viashiria vya ama ugaidi au ujambazi katika kizuizi cha barabara ya Kilwa, Kipara Mpakani, Wilaya ya Mkuranga, mkoani Pwani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi06 Feb
IGP Mangu apangua makamanda polisi
10 years ago
Habarileo01 Apr
IGP apangua makamanda
INSPEKTA Jenerali wa Polisi, IGP Ernest Mangu amefanya mabadiliko kwa baadhi ya makamanda wa polisi wa mikoa (RPC).
10 years ago
CloudsFM22 Jan
Majambazi wavamia kituo, waua polisi wawili
Kutokana na tukio hilo, Jeshi la Polisi liko katika msako mkali, huku Mkuu wa jeshi hilo, IGP, Ernest Mangu akitangaza donge nono la Sh milioni 20 kwa watakaofanikisha kukamatwa kwa wahusika wa tukio hilo na silaha.
Akizungumza na waandishi wa habari kwa njia ya simu kutoka eneo la...
11 years ago
Tanzania Daima06 Apr
IGP Mangu apangua makamanda wa mikoa
INSPEKTA Jenerali wa Polisi (IGP), Ernest Mangu, amemhamisha kazi Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Faustine Shilogile. Shilogile amehamishiwa Makao Makuu ya Upelelezi Dar...
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
IGP apangua vigogo 18 Polisi
MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) Ernest Mangu, amefanya mabadiliko ya baadhi ya makamanda wa mikoa, wakuu wa upelelezi wa mikoa, wakuu wa usalama barabarani...
11 years ago
Habarileo07 Aug
Majambazi wapora, waua ndugu wawili
NDUGU wawili wameuawa na majambazi waliovamia baa eneo la Mwananyamala kwa Mama Zacharia, jijini Dar es Salaam na kupora mkoba uliokuwa na fedha zaidi ya Sh milioni mbili.
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Makamanda wa Polisi wamzungumzia IGP Mangu
11 years ago
Habarileo06 Feb
IGP afanya mabadiliko ya makamanda Jeshi la Polisi
MKUU wa Jeshi la Polisi, IGP Ernest Mangu amefanya mabadiliko katika nafasi mbalimbali za jeshi hilo huku akifanya uhamisho kwa baadhi ya makamanda.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PelD0-TZbtQ/XvOAhgitQjI/AAAAAAALvSo/8Lpab6uiW9AXuVFlWhHYKa9FJlm0mCF6gCLcBGAsYHQ/s72-c/IGP%2BSIRRO%2B2.jpg)
IGP SIRRO AFANYA UHAMISHO KWA BAADHI YA MAKAMANDA WA POLISI WA MIKOA
![](https://1.bp.blogspot.com/-PelD0-TZbtQ/XvOAhgitQjI/AAAAAAALvSo/8Lpab6uiW9AXuVFlWhHYKa9FJlm0mCF6gCLcBGAsYHQ/s640/IGP%2BSIRRO%2B2.jpg)
Miongoni mwa waliohamishwa, amemhamisha aliyekuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro ACP Salum Hamduni kwenda kuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha na aliyekuwa kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha ACP Jonathan Shana amehamishwa...