IGP afanya mabadiliko ya makamanda Jeshi la Polisi
MKUU wa Jeshi la Polisi, IGP Ernest Mangu amefanya mabadiliko katika nafasi mbalimbali za jeshi hilo huku akifanya uhamisho kwa baadhi ya makamanda.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
IGP MANGU AFANYA MABADILIKO NDANI YA JESHI LA POLISI
Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) Ernest Mangu. Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) Ernest Mangu amefanya mabadiliko ya baadhi ya makamanda wa mikoa, wakuu wa upelelezi wa mikoa, wakuu wa usalama barabarani wa mikoa pamoja na watendaji wengine wa vikosi na vitengo mbalimbali ndani ya Jeshi la Polisi. Miongoni mwa makamanda wa mikoa waliofanyiwa mabadiliko ni pamoja na aliyekuwa kamanda wa Mkoa wa Ruvuma Kamishna msaidizi...
5 years ago
CCM Blog
MKUU WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI AFANYA MABADILIKO YA MAKAMANDA

Makamanda walioguswa na mabadiliko hayo ni Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Zimamoto na Uokoaji (SACF) ABDALLAH MAUNDU anakwenda kuwa (RFO) Kamanda wa Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Kigoma, kabla ya nafasi hiialikuwa Makao Makuu Dodoma.
Aliyekuwa Kamanda wa Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Mara, Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACF) SALUM M. OMARI, anayekwenda kuwa (RFO) Kamanda wa Mkoa wa...
5 years ago
Michuzi
IGP SIRRO AFANYA UHAMISHO KWA BAADHI YA MAKAMANDA WA POLISI WA MIKOA

Miongoni mwa waliohamishwa, amemhamisha aliyekuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro ACP Salum Hamduni kwenda kuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha na aliyekuwa kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha ACP Jonathan Shana amehamishwa...
11 years ago
Mwananchi10 Jan
IGP atangaza mabadiliko makubwa Jeshi la Polisi
Mkuu Mpya wa Jeshi la Polisi, Inspekta Jenerali, Ernest Mangu ameanza kazi kwa kutangaza mabadiliko ya mfumo wa jeshi hilo huku akiunda vitengo vipya kwa lengo kuongeza ufanisi katika kukabiliana na uhalifu.
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Makamanda wa Polisi wamzungumzia IGP Mangu
Baadhi ya Makamanda wa Polisi wa mikoa mbalimbali nchini, wamepongeza uteuzi wa Mkuu wa Jeshi la Polisi, Ernest Mangu huku wakiahidi kushirikiana naye katika mapambano ya kupunguza kama si kutokomeza kabisa uhalifu nchini.
11 years ago
Mwananchi06 Feb
IGP Mangu apangua makamanda polisi
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu amefanya mabadiliko ya baadhi ya makamanda wa mikoa.
10 years ago
Mwananchi01 Apr
Majambazi waua polisi wawili, IGP apangua makamanda 160
>Askari polisi wawili wameuawa na mmoja kujeruhiwa baada ya kuvamiwa na watu wanaodhaniwa kuwa na viashiria vya ama ugaidi au ujambazi katika kizuizi cha barabara ya Kilwa, Kipara Mpakani, Wilaya ya Mkuranga, mkoani Pwani.
10 years ago
Michuzi31 Mar
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania