Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IGP apangua vigogo 18 Polisi

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) Ernest Mangu, amefanya mabadiliko ya baadhi ya makamanda wa mikoa, wakuu wa upelelezi wa mikoa, wakuu wa usalama barabarani...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

IGP Mangu apangua makamanda polisi

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu amefanya mabadiliko ya baadhi ya makamanda wa mikoa.

 

10 years ago

Mwananchi

Majambazi waua polisi wawili, IGP apangua makamanda 160

>Askari polisi wawili wameuawa na mmoja kujeruhiwa baada ya kuvamiwa na watu wanaodhaniwa kuwa na viashiria vya ama ugaidi au ujambazi katika kizuizi cha barabara ya Kilwa, Kipara Mpakani, Wilaya ya Mkuranga, mkoani Pwani.

 

10 years ago

Habarileo

IGP apangua makamanda

Inspekta Jenerali wa Polisi, IGP Ernest ManguINSPEKTA Jenerali wa Polisi, IGP Ernest Mangu amefanya mabadiliko kwa baadhi ya makamanda wa polisi wa mikoa (RPC).

 

11 years ago

Tanzania Daima

IGP Mangu apangua makamanda wa mikoa

INSPEKTA Jenerali wa Polisi (IGP), Ernest Mangu, amemhamisha kazi Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Faustine Shilogile. Shilogile amehamishiwa Makao Makuu ya Upelelezi Dar...

 

11 years ago

Tanzania Daima

IGP Mangu awafunda Polisi

MAOFISA na askari Polisi nchini wametakiwa kuendelea kufanya kazi kwa kufuata misingi na maadili ya kazi ili kuendelea kutoa huduma bora kwa jamii. Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP)...

 

11 years ago

Habarileo

IGP- Polisi zingatieni maadili

MAOFISA na askari Polisi wametakiwa kuendelea kufanya kazi kwa kufuata misingi na maadili ya kazi zao ili wawezeshe kutoa huduma bora na kuwezesha mapambano ya uhalifu kufanikiwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi Shinyanga wamdhalilisha IGP Mangu

BAADHI ya wakazi wa mjini hapa wamepigwa na butwaa kuwaona baadhi ya maofisa wa polisi wakitembeza bakuli mitaani wakiomba mchango wa fedha kwa ajili ya ukarabati wa magari mabovu ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

IGP Mangu washughulikie polisi hawa

JESHI la Polisi nchini lilianzishwa kwa lengo la kuwalinda raia na mali zao. Kama yakijitokeza matukio yanayokwenda kinyume cha sheria, linapaswa kuchukua hatua. Katika kulifanya Jeshi la Polisi lifanye shughuli...

 

11 years ago

Mwananchi

Makamanda wa Polisi wamzungumzia IGP Mangu

Baadhi ya Makamanda wa Polisi wa mikoa mbalimbali nchini, wamepongeza uteuzi wa Mkuu wa Jeshi la Polisi, Ernest Mangu huku wakiahidi kushirikiana naye katika mapambano ya kupunguza kama si kutokomeza kabisa uhalifu nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani