Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IGP Mangu awafunda Polisi

MAOFISA na askari Polisi nchini wametakiwa kuendelea kufanya kazi kwa kufuata misingi na maadili ya kazi ili kuendelea kutoa huduma bora kwa jamii. Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP)...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Makamanda wa Polisi wamzungumzia IGP Mangu

Baadhi ya Makamanda wa Polisi wa mikoa mbalimbali nchini, wamepongeza uteuzi wa Mkuu wa Jeshi la Polisi, Ernest Mangu huku wakiahidi kushirikiana naye katika mapambano ya kupunguza kama si kutokomeza kabisa uhalifu nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi Shinyanga wamdhalilisha IGP Mangu

BAADHI ya wakazi wa mjini hapa wamepigwa na butwaa kuwaona baadhi ya maofisa wa polisi wakitembeza bakuli mitaani wakiomba mchango wa fedha kwa ajili ya ukarabati wa magari mabovu ya...

 

11 years ago

Mwananchi

IGP Mangu apangua makamanda polisi

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu amefanya mabadiliko ya baadhi ya makamanda wa mikoa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

IGP Mangu washughulikie polisi hawa

JESHI la Polisi nchini lilianzishwa kwa lengo la kuwalinda raia na mali zao. Kama yakijitokeza matukio yanayokwenda kinyume cha sheria, linapaswa kuchukua hatua. Katika kulifanya Jeshi la Polisi lifanye shughuli...

 

10 years ago

Mwananchi

Nafahamu tatizo la mishahara ya polisi - IGP Mangu

Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu amesema anatambua suala la kutobadilishwa mishahara ya baadhi ya watumishi wake na kwamba, jambo hilo ni miongoni mwa ajenda anazozifanyia kazi kwa sasa.

 

10 years ago

CloudsFM

IGP Mangu-Nafahamu tatizo la mishahara ya polisi

Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu amesema anatambua suala la kutobadilishwa mishahara ya baadhi ya watumishi wake na kwamba, jambo hilo ni miongoni mwa ajenda anazozifanyia kazi kwa sasa.
IGP Mangu alitoa ufafanuzi huo jana wakati akizungumza na gazeti hili baada ya kuwapo malalamiko kutoka kwa baadhi ya askari wa jeshi hilo kupandishwa vyeo, huku mishahara yao ikiendelea kubaki kama ilivyokuwa zamani.

“Nimezunguka nchi nzima na kuzungumza na askari kuhusu jambo hili,” alisema...

 

10 years ago

GPL

IGP MANGU AFANYA MABADILIKO NDANI YA JESHI LA POLISI

Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) Ernest Mangu. Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) Ernest Mangu amefanya mabadiliko ya baadhi ya makamanda wa mikoa, wakuu wa upelelezi wa mikoa, wakuu wa usalama barabarani wa mikoa pamoja na watendaji wengine wa vikosi na vitengo mbalimbali ndani ya Jeshi la Polisi. Miongoni mwa makamanda wa mikoa waliofanyiwa mabadiliko ni pamoja na aliyekuwa kamanda wa Mkoa wa Ruvuma Kamishna msaidizi...

 

10 years ago

Vijimambo

IGP MANGU AZINDUA NA KUKAGUA MIRADI YA POLISI TABORA, TANGA NA SINGIDA

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu akizungumza na wajumbe wa Kamati ya ulinzi na usalama mkoani Tabora wakati alipokuwa katika ziara ya kikazi katika mkoa huo.Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe.Ludovick Mwananzila na Mkuu wa Wilaya ya Tabora Mhe.Suleiman Kumchaya.
(Picha na Frank Geofray-Jeshi la Polisi).Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Wodi ya wazazi katika Zahanati ya Polisi Tabora wakati alipokuwa katika ziara ya kikazi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani