IGP MANGU AZINDUA NA KUKAGUA MIRADI YA POLISI TABORA, TANGA NA SINGIDA
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu akizungumza na wajumbe wa Kamati ya ulinzi na usalama mkoani Tabora wakati alipokuwa katika ziara ya kikazi katika mkoa huo.Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe.Ludovick Mwananzila na Mkuu wa Wilaya ya Tabora Mhe.Suleiman Kumchaya.
(Picha na Frank Geofray-Jeshi la Polisi).Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Wodi ya wazazi katika Zahanati ya Polisi Tabora wakati alipokuwa katika ziara ya kikazi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima09 Jan
IGP Mangu awafunda Polisi
MAOFISA na askari Polisi nchini wametakiwa kuendelea kufanya kazi kwa kufuata misingi na maadili ya kazi ili kuendelea kutoa huduma bora kwa jamii. Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP)...
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
IGP Mangu washughulikie polisi hawa
JESHI la Polisi nchini lilianzishwa kwa lengo la kuwalinda raia na mali zao. Kama yakijitokeza matukio yanayokwenda kinyume cha sheria, linapaswa kuchukua hatua. Katika kulifanya Jeshi la Polisi lifanye shughuli...
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Makamanda wa Polisi wamzungumzia IGP Mangu
11 years ago
Tanzania Daima24 Feb
Polisi Shinyanga wamdhalilisha IGP Mangu
BAADHI ya wakazi wa mjini hapa wamepigwa na butwaa kuwaona baadhi ya maofisa wa polisi wakitembeza bakuli mitaani wakiomba mchango wa fedha kwa ajili ya ukarabati wa magari mabovu ya...
11 years ago
Mwananchi06 Feb
IGP Mangu apangua makamanda polisi
10 years ago
CloudsFM12 Jan
IGP Mangu-Nafahamu tatizo la mishahara ya polisi
Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu amesema anatambua suala la kutobadilishwa mishahara ya baadhi ya watumishi wake na kwamba, jambo hilo ni miongoni mwa ajenda anazozifanyia kazi kwa sasa.
IGP Mangu alitoa ufafanuzi huo jana wakati akizungumza na gazeti hili baada ya kuwapo malalamiko kutoka kwa baadhi ya askari wa jeshi hilo kupandishwa vyeo, huku mishahara yao ikiendelea kubaki kama ilivyokuwa zamani.
“Nimezunguka nchi nzima na kuzungumza na askari kuhusu jambo hili,” alisema...
10 years ago
Mwananchi12 Jan
Nafahamu tatizo la mishahara ya polisi - IGP Mangu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ikFQgKt65KYGtk9ohnP9aIdcx5UtH8m6POidyrLKtVm1YNKT8jbTXO*Cu9eyXAYiDQPGdNYRPJ5xMnT-XwmAC-tOAYqzjtAv/IGP_ErnestMangu4.jpg?width=650)
IGP MANGU AFANYA MABADILIKO NDANI YA JESHI LA POLISI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8dN54_pXQIU/VciM0oPQAFI/AAAAAAAHvsM/Eesw5BbRhNc/s72-c/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Ernest Mangu atembelea mkoa wa Katavi
![](http://4.bp.blogspot.com/-8dN54_pXQIU/VciM0oPQAFI/AAAAAAAHvsM/Eesw5BbRhNc/s640/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sOAfev_sbPw/VciM0uebouI/AAAAAAAHvsI/nNpFwxlhJ-Y/s640/unnamed%2B%252814%2529.jpg)