Polisi Dar waua, wakamata majambazi
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limewaua majambazi wawili na kuwakamata wanane katika harakati za kupambana na uhalifu wa kutumia silaha. Akizungumza na waandishi wa habari jijini...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo01 Apr
Majambazi waua polisi 2 kizuizi cha Dar, Pwani
ASKARI wawili wa Jeshi la Polisi waliokuwa kazini eneo la kizuizi cha polisi cha kijiji cha Kipara Mpakani Vikindu wilayani Mkuranga mkoani Pwani, wameuawa na majambazi na kuporwa silaha.
10 years ago
Habarileo14 Jul
Majambazi waua 7 kituo cha Polisi
ASKARI wanne na raia watatu wameuawa baada ya watu wanaosadikiwa kuwa majambazi kuvamia Kituo cha Polisi cha Sitakishari kilichopo Ukonga katika Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam.
11 years ago
Habarileo12 Jun
Majambazi waua Polisi kituoni, wapora silaha
MAJAMBAZI wamevamia Kituo cha Polisi Kimanzichana mkoani Pwani, na kuua askari mmoja, D.9887 Koplo Joseph Ngonyani, na kupora silaha tano zenye risasi.
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
Majambazi waua polisi, wapora silaha za kivita
WATU sita wanaodhaniwa kuwa majambazi, wamemuua askari polisi wa Kituo kidogo cha Polisi kilichopo Mkamba, Wilaya ya Mkuranga, mkoani Pwani na kuwajeruhi askari mgambo wawili baada ya kuvamia kituo hicho....
10 years ago
CloudsFM22 Jan
Majambazi wavamia kituo, waua polisi wawili
Kutokana na tukio hilo, Jeshi la Polisi liko katika msako mkali, huku Mkuu wa jeshi hilo, IGP, Ernest Mangu akitangaza donge nono la Sh milioni 20 kwa watakaofanikisha kukamatwa kwa wahusika wa tukio hilo na silaha.
Akizungumza na waandishi wa habari kwa njia ya simu kutoka eneo la...
10 years ago
Mwananchi01 Apr
Majambazi waua polisi wawili, IGP apangua makamanda 160
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YFKpWo8xoJQ/VMOMrmLWPyI/AAAAAAAG_Uw/l-2FcASe20k/s72-c/kova18_232_300.jpg)
TAARIFA YA POLISI JIJINI DAR: MAJAMBAZI WAWILI WAUAWA DAR WAKATI WA MAPAMBANO KATI YAO NA ASKARI WA JESHI LA POLISI
![](http://4.bp.blogspot.com/-YFKpWo8xoJQ/VMOMrmLWPyI/AAAAAAAG_Uw/l-2FcASe20k/s1600/kova18_232_300.jpg)
Tukio hilo lilitokea eneo la Kariakoo mtaa wa Mkunguni na Livingstone saa 3.00hrs usiku. Wakati wa tukio hilo umeme ulikuwa hakuna na mlalamikaji alikuwa anatumia taa za...
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Polisi Kigoma waua majambazi watano Kigoma
11 years ago
Mwananchi05 Feb
Polisi wakamata kilo 200 za heroini Dar