Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi Kigoma waua majambazi watano Kigoma

Polisi mkoani Kigoma, wamewaua watu watano wanaosadikiwa kuwa majambazi waliokuwa katika harakati za kufanya unyang’anyi wa kutumia silaha kwa kuteka magari ya abiria mkoani humo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAJAMBAZI YAUA WATATU KIGOMA

WATU watatu wameuawa huku wengine wakijeruhiwa baada ya majambazi kulipua kwa bomu gari walilokuwa wakisafiria kutoka Kilelema kwenda Kasulu mkoani Kigoma leo asubuhi. Inasemekana kuwa majambazi hayo yaliamua kuilipua kwa bomu gari hilo baada ya dereva wake kukaidi amri ya kulisimamisha gari hilo.

 

10 years ago

Habarileo

Majambazi waua 7 kituo cha Polisi

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu akizungumza na waandishi wa habari alipowasili kukagua Kituo cha Polisi Sitaki Shari Ukonga, Dar es Salaam jana baada ya kuvamiwa na majambazi wanaodaiwa kupora silaha kituoni hapo juzi usiku. Askari wanne na raia watatu waliuawa katika tukio hilo. Kulia kwake ni Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova. (Na Mpigapicha Wetu).ASKARI wanne na raia watatu wameuawa baada ya watu wanaosadikiwa kuwa majambazi kuvamia Kituo cha Polisi cha Sitakishari kilichopo Ukonga katika Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Polisi Dar waua, wakamata majambazi

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limewaua majambazi wawili na kuwakamata wanane katika harakati za kupambana na uhalifu wa kutumia silaha. Akizungumza na waandishi wa habari jijini...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU KUFANYA ZIARA YA SIKU MOJA YA KIKAZI KIGOMA KIGOMA

Na Editha Karlo-Michuzi TV,Kigoma.
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa anatarajia kufanya ziara ya siku moja
mkoani Kigoma leo kwa ajili ya kugawa miche ya michikichi kwa makundi
mbalimbali ya wakulima ikiwa ishara ya kuanza rasmi utekelezaji wa
mkakati wa serikali kuelekea kujitegemea kwa mafuta ya kula
yatakayokuwa yakizalishwa kupitia zao la michikichi.

Mkuu wa mkoa Kigoma,Emanuel Maganga akizungumza na waandishi wa habari mjini Kigoma leo alisema kuwa mpango wa ugawaji wa miche hiyo
utafanyika katika...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mwili wa Mama yake Mbunge wa Kigoma Zitto Kabwe wasafirishwa kwenda Kigoma

MAMA1

Zitto Kabwe akiwa na Prof  Ibrahimu Lipumba wakati wa kuuaga Mwili wa mama yake kipenzi Bi Shida Salumu aliyefariki leo kabla ya kusafirishwa kwenda Kigoma kwa mazishi.

mama4

Ndege ikiandaliwa ili kuweza kuingiza mwili wa Marehemu Mama yake Zitto Kabwe.

MAMA2

Waheshimiwa Wabunge na Baadhi ya Viongozi wakibeba Jeneza lililobeba Mwili wa Marehemu Mama yake Zitto Kabwe Bi Shida Salum  kuingiza kwenye ndege Tayari kwa safari ya kwenda Kigoma Kwenye mazishi.

MAMA3

Prof. Ibrahimu Lipumba akijadili jambo na...

 

10 years ago

Michuzi

MKUU WA WILAYA YA KIGOMA AKANUSHA VIONGOZI WA HALMASHAURI YA KIGOMA KULA PESA YA TASAF

Na Editha Karlo wa Globu ya Jamii, Kigoma  MKUU Wa Wilaya ya Kigoma Mhe  Ramadhani Maneno amewataka wananchi wa Wilaya ya Kigoma kuacha kuwashutumu viongozi wa wilaya na Halmashauri kuwa wamekula pesa za TASAF shilingi milioni 183,539 zilizotolewa na serekali kwaajili ya kusaidia kaya maskini Wilayani humo. Mhe  Maneno amewaambia wanahabari ofisini kwake leo kuwa pesa iliyotolewa na TASAF kwa ajili ya kusaidia kaya maskini na zinazoishi katika mazingira magumu katika Wilaya ya Kigoma ...

 

10 years ago

Michuzi

CHAMA CHA WAANDISHI WA HABARI KIGOMA WAZINDUA GAZETI LAO LA KIGOMA YETU

 Na Editha Karlo wa Globu ya Jamii, Kigoma KWA niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kanali mstaafu Issa Machibya ,Mkuu wa Wilaya ya Kigoma mjini Exavery Maketa jana alizindua gazeti la Kigoma yetu linaalomilikiwa na CHAMA cha waandishi wa habari wa Mkoa wa Kigoma (KGPC). Uzinduzi huo ulifanyika katika ukumbi wa Kibo Peak uliopo mjini hapa na kuhudhuriwa na mamia ya wadau mbalimbali wa sekta ya habari pamoja na wakazi wa Mkoa wote wa Kigoma Akiongea katika uzinduzi huo katika hotuba yake Mkuu a...

 

11 years ago

Habarileo

Majambazi waua Polisi kituoni, wapora silaha

MAJAMBAZI wamevamia Kituo cha Polisi Kimanzichana mkoani Pwani, na kuua askari mmoja, D.9887 Koplo Joseph Ngonyani, na kupora silaha tano zenye risasi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Majambazi waua polisi, wapora silaha za kivita

WATU sita wanaodhaniwa kuwa majambazi, wamemuua askari polisi wa Kituo kidogo cha Polisi kilichopo Mkamba, Wilaya ya Mkuranga, mkoani Pwani na kuwajeruhi askari mgambo wawili baada ya kuvamia kituo hicho....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani