MAJAMBAZI YAUA WATATU KIGOMA
WATU watatu wameuawa huku wengine wakijeruhiwa baada ya majambazi kulipua kwa bomu gari walilokuwa wakisafiria kutoka Kilelema kwenda Kasulu mkoani Kigoma leo asubuhi. Inasemekana kuwa majambazi hayo yaliamua kuilipua kwa bomu gari hilo baada ya dereva wake kukaidi amri ya kulisimamisha gari hilo.
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Polisi Kigoma waua majambazi watano Kigoma
11 years ago
GPLMAJAMBAZI YAUA ARUSHA
11 years ago
Habarileo04 Mar
Majambazi yaua polisi hotelini
ASKARI Polisi, Mohamed Mjomba (44) amepoteza maisha baada ya kushambuliwa na majambazi, waliovamia Hoteli ya Kitalii ya Pongwe Uroa Wilaya ya Kati Unguja.
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
Majambazi yaua, yapora fedha
NI kama sinema vile iliyochezwa na majambazi mawili katika mji wa Geita. Majambazi hayo, juzi yaliuteka mji wa Geita kwa takribani dakika 15 kwa mtutu wa bunduki na kupora fedha...
11 years ago
TheCitizen01 Mar
Majambazi yaua, yapora Singida
11 years ago
Habarileo30 Apr
Majambazi yaua Polisi wawili
ASKARI Polisi wawili kutoka Tarafa ya Usoke wilayani Urambo mkoani Tabora, wameuawa kwa kupigwa risasi na majambazi. Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamanda wa Polisi mkoani Tabora, Suzan Kaganda, alisema mauaji hayo yamefanyika juzi saa 2: 30 usiku katika kijiji cha Usoke wilayani Urambo.
11 years ago
GPLMAJAMBAZI YAUA SISTA UBUNGO
11 years ago
MichuziMAJAMBAZI WATATU WAUWAWA JIJINI ARUSHA
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Jijini Arusha leo, Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Liberatus Sabas amesema kuwa,majambazi hao watatu waliuawa jana tarehe 3 eneo la TBL -Njiro wakiwa kwenye harakati za...
11 years ago
GPLMAJAMBAZI WATATU WAUAWA MORO VIJIJINI