Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAJAMBAZI WATATU WAUAWA MORO VIJIJINI

WATU watatu wanaosadikiwa kuwa majambazi wameuawa kwa kuchomwa moto usiku wa kuamkia leo baada ya kuvamia dukal a mama mmoja wa kijiji cha Kisiwa, kata ya Kiloka, wilaya ya Morogoro Vijijini. Jumla ya majambazi hao walikuwa 10 ambapo saba walifanikiwa kutokomea na watatu kutiwa nguvuni na wananchi wenye hasira kali walioamua kuwatia moto!

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAJAMBAZI YAUA WATATU KIGOMA

WATU watatu wameuawa huku wengine wakijeruhiwa baada ya majambazi kulipua kwa bomu gari walilokuwa wakisafiria kutoka Kilelema kwenda Kasulu mkoani Kigoma leo asubuhi. Inasemekana kuwa majambazi hayo yaliamua kuilipua kwa bomu gari hilo baada ya dereva wake kukaidi amri ya kulisimamisha gari hilo.

 

11 years ago

Michuzi

MAJAMBAZI WATATU WAUWAWA JIJINI ARUSHA

WATU watatu wanaotuhumiwa kuwa ni majambazi wameuwawa jijini Arusha walipokuwa katika harakati ya kwenda kupora mamilioni ya fedha zilizokuwa zinapelekwa benki na kampuni ya Arusha Islamic Centre inayohusika na utengenezaji na uuzaji wa vigae iliyopo eneo la Esso  mjini hapa.


Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Jijini Arusha leo, Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Liberatus Sabas amesema kuwa,majambazi hao watatu  waliuawa jana tarehe 3 eneo la TBL -Njiro  wakiwa kwenye harakati za...

 

10 years ago

Habarileo

Majambazi 5 wauawa wakiogelea mtoni

WATU watano wanaosadikiwa kuwa majambazi, wamepigwa kwa mawe hadi kufa wakijaribu kutoroka nguvu za umma kwa kutumia Mto Mara, wilayani Tarime huku wakiwa na bunduki mbili zinazotumika vitani aina ya sub machine gun (SMG).

 

11 years ago

Michuzi

majambazi watatu kati ya wanne wadakwa zanzibar

Na Mohammed Mhina,  wa Jeshi la Polisi- Zanzibar Makachero wa Jeshi la Polisi Zanzibar, wamefanikiwa kuzikamata silaha mbili na risasi 40 za Kivita zinazosadikiwa kutumika katika matukio mbalimbali ya kihalifu likiwemo la mauaji ya Askari Polisi mmoja lililotokea Machi 2, mwaka huu huko kwenye Hoteli ya Kitalii ya Pongwe Bay mkoa wa Kusini Unguja Zanzibar.  Katika tukio hilo Askari Polisi mmoja mwenye namba F.5607 Koplo Mohammed Mjombo(44) aliuawa huku mwenzake mwingine mwenye namba F.6198...

 

11 years ago

BBCSwahili

69 wauawa vijijini nchini Nigeria

Takriban watu 69 wameuawa katika shambulizi dhidi ya kijiji kimoja katika jimbo la Katsina , Kaskazini Magharibi mwa Nigeria

 

10 years ago

Michuzi

NEWSSSSS ALERT!!!!!!!!!! MAJAMBAZI WATATU WAUWAWA NA WAWILI WATIWA MBARONI

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii

MAJAMBAZI waliovamia Kituo cha Stakishari jijini Dar es Salaam watatu wauwawa na wawili watiwa mbaroni wakati wakitupiana risasi katika eneo la Tuangoma, Kigamboni jijini Dar es Salaam.


Tukio hilo la kukamatwa na kuuawa kwa majambazi hao lilitokea Julai 17 mwaka huu huko maeneo ya Tuangoma Kigamboni jijini Dar es Salaam, na majambazi wa tukio la kinyama la kuuwawa kwa askari wanne na raia watatu katika kituo cha Stakishari wanakadiriwa kuwa kati ya 16 hadi...

 

9 years ago

Mwananchi

Ujenzi kwenye bomba la Tazama waponza watatu Moro

Katibu Mkuu Tamisemi, Jumanne Sagini ametoa siku 14 kwa maofisa watatu wa Manispaa ya Morogoro kujieleza ili wasifukuzwe kazi kwa kuruhusu ujenzi kwenye eneo la bomba la mafuta la Tanzania-Zambia (Tazama).

 

10 years ago

GPL

KAMANDA WA POLISI MORO AKANUSHA WATU WATATU KUUAWA


Kamanda wa Polisi mkoani Morogoro, SACP Leonard Paul. Kamanda wa Polisi mkoani Morogoro, SACP Leonard Paul amekanusha kuwa habari zilizozagaa katika mitandao ya kijamii kuwa watu watatu wamefariki dunia wawili kati yao wanasadikiwa kuwa ni wafuasi wa Kundi la Kigaidi la Al Shabaab katika mapigano baina yao na jeshi la Polisi si kweli na kwamba hakuna mtu aliyefariki mkoani humo. Kamanda huyo, amelaani vikali tabia ya watu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Askari watatu wa AU wauawa Somalia

Jeshi la kulinda amani la Umoja wa Afrika nchini Somalia limesema askari wake watatu wameuawa nchini Somalia

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani