Ujenzi kwenye bomba la Tazama waponza watatu Moro
Katibu Mkuu Tamisemi, Jumanne Sagini ametoa siku 14 kwa maofisa watatu wa Manispaa ya Morogoro kujieleza ili wasifukuzwe kazi kwa kuruhusu ujenzi kwenye eneo la bomba la mafuta la Tanzania-Zambia (Tazama).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi04 Jan
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Pinda kukagua ujenzi bomba la gesi
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda leo anaanza ziara ya siku mbili kukagua ujenzi wa bomba la gesi Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Lindi na Mtwara.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MAJAMBAZI WATATU WAUAWA MORO VIJIJINI
WATU watatu wanaosadikiwa kuwa majambazi wameuawa kwa kuchomwa moto usiku wa kuamkia leo baada ya kuvamia dukal a mama mmoja wa kijiji cha Kisiwa, kata ya Kiloka, wilaya ya Morogoro Vijijini. Jumla ya majambazi hao walikuwa 10 ambapo saba walifanikiwa kutokomea na watatu kutiwa nguvuni na wananchi wenye hasira kali walioamua kuwatia moto!
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Ujenzi bomba jipya Ruvu Chini mbioni kukamilika
UJENZI wa bomba jipya kutoka mtambo wa Ruvu Chini kwenda matenki yaliyoko Chuo cha Ardhi, Dar es Salaam unakaribia kukamilika. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
KAMANDA WA POLISI MORO AKANUSHA WATU WATATU KUUAWA
Kamanda wa Polisi mkoani Morogoro, SACP Leonard Paul. Kamanda wa Polisi mkoani Morogoro, SACP Leonard Paul amekanusha kuwa habari zilizozagaa katika mitandao ya kijamii kuwa watu watatu wamefariki dunia wawili kati yao wanasadikiwa kuwa ni wafuasi wa Kundi la Kigaidi la Al Shabaab katika mapigano baina yao na jeshi la Polisi si kweli na kwamba hakuna mtu aliyefariki mkoani humo. Kamanda huyo, amelaani vikali tabia ya watu...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-feqR7SObJ24/Vlp5enpv8_I/AAAAAAAII2g/V-M3cTIasxA/s72-c/02.jpg)
BOMOBOMOA SALASALA ILI KUPISHA UJENZI WA BOMBA LA MAJI -RUVU CHINI
Na Eleuteri Mangi-MAELEZOZoezi la kubomoa nyumba na majengo yaliyoingia ndani ya ya hifadhi ya miundombinu ya bomba la maji kutoka Ruvu Chini limeendelea mwishoni mwa wiki ili kuhakikiha kunakuwepo usalama wa bomba hilo na kuwapatia wakazi wa jiji la Dar es salaam na maeneo ya mkoa wa Pwani uhakika wa maji ifikapo Februari, 2016. Bomo bomoa hiyo ya mwishoni mwa wiki ilihusisha maeneo ya Salasala ambapo baadhi ya nyumba, karakana na uzio vyote viljengwa ndani ya hifadhi ya miundombinu hiyo...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wTq5CxsTvBE/Uvd7A7BdMOI/AAAAAAAFL7E/VYs-VnG9DNM/s72-c/unnamed+(8).jpg)
shehena ya mwisho ya mabomba kwa ajili ya ujenzi wa bomba la gesi yawasili dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-wTq5CxsTvBE/Uvd7A7BdMOI/AAAAAAAFL7E/VYs-VnG9DNM/s1600/unnamed+(8).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania