Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


69 wauawa vijijini nchini Nigeria

Takriban watu 69 wameuawa katika shambulizi dhidi ya kijiji kimoja katika jimbo la Katsina , Kaskazini Magharibi mwa Nigeria

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

10 wauawa katika kijiji nchini Nigeria

Takriban watu kumi wameuawa katika shambulizi la kijiji kimoja kazkazini mashariki mwa Nigeria,

 

11 years ago

BBCSwahili

Watatu wauawa na mlipuko nchini Nigeria

Maafisa wa polisi nchini Nigeria wanasema kuwa watu watatu wameuawa baada ya mtu wa kujitolea muhanga kujilipua mjini Jos.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 17 wauawa kwa Bomu nchini Nigeria

Takriban Watu 17 wameuawa kwa Bomu mjini Biu nchini Nigeria

 

11 years ago

GPL

MAJAMBAZI WATATU WAUAWA MORO VIJIJINI

WATU watatu wanaosadikiwa kuwa majambazi wameuawa kwa kuchomwa moto usiku wa kuamkia leo baada ya kuvamia dukal a mama mmoja wa kijiji cha Kisiwa, kata ya Kiloka, wilaya ya Morogoro Vijijini. Jumla ya majambazi hao walikuwa 10 ambapo saba walifanikiwa kutokomea na watatu kutiwa nguvuni na wananchi wenye hasira kali walioamua kuwatia moto!

 

10 years ago

StarTV

Watu wawili wauawa Mwembe Togwa Mtwara Vijijini.

Na Joseph Mpangala,

Mtwara.

 

Vijana wawili wameuawa kwa kupigwa na wananchi kwa tuhuma za ujambazi katika shule ya Msingi Mwembe Togwa wilayani Mtwara Vijijini.

 

Vijana hao wanaosadikika kuwa walitaka kuiba vifaa vya shule hiyo vinavyotumia mtandao kwa ajili ya kujifunzia na kutoa taarifa kutoka ngazi ya chini kupeleka wilayani wameuawa baada ya mlinzi wa Shule kutoa taarifa katika nyumba za jirani na shule hiyo ndipo wakazi wa eneo hilo walikusanyika na kuwaua.

 

Ilikuwa majira ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

watu 30 wauawa Nigeria

Mashambulio mawili ya mabomu katika mji wa Jos nchini Nigeria yamewaua takribani watu 30.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mahabusu 21 wauawa Nigeria

Mahabusu 21 wameuawa walipojaribu kutoroka kutoka kwenye gereza la kitengo maalum huko Abuja Nigeria

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu 30 wauawa msikitini Nigeria

Watu 30 wamefariki baada ya kutokea kwa milipuko miwili katika msikiti ulio karibu na mji wa Maiduguri.

 

11 years ago

BBCSwahili

30 wauawa kwenye mashambulizi Nigeria

Watu 30 wameuawa katika kijiji kimoja eneo la kati mwa Nigeria,jimbo la Plateu katika mzozo kuhusu ardhi na mifugo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani