30 wauawa kwenye mashambulizi Nigeria
Watu 30 wameuawa katika kijiji kimoja eneo la kati mwa Nigeria,jimbo la Plateu katika mzozo kuhusu ardhi na mifugo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili27 Jan
52 wauawa katika mashambulizi Nigeria
Afisa mmoja wa usalama amesema waliofanya mashambulizi walitega mabomu katika soko moja katika kijiji cha Kawuri siku ya Jumapili.
11 years ago
BBCSwahili26 Sep
Watu 18 wauawa kwa mashambulizi Nigeria
Watu 18 wameuawa baada ya kushambuliwa na watu wanaoaminika kuwa wanamgambo wa Boko Haram mjini Shaffa
9 years ago
BBCSwahili28 Dec
Watu 20 wauawa kwenye mashambulio Nigeria
Watu zaidi ya 20 wamefariki kwenye mashambulio kadha yanayoshukiwa kutekelezwa na wapiganaji wa Boko Haram katika mji wa Maiduguri.
11 years ago
BBCSwahili19 Feb
3 wauawa katika mashambulizi Beirut
Maafisa wa usalama wanasema washambulizi wawili wa kujitoa muhanga wamejilipua karibu na ubalozi wa Iran na kuwauwa watu 3 wengine wakijeruhiwa
11 years ago
Habarileo07 Jul
Watu 29 wauawa katika mashambulizi Kenya
WATU wenye silaha wameua watu 29 katika mashambulizi mawili tofauti eneo la Pwani ya Kenya.
11 years ago
BBCSwahili11 Jul
Gaza:Watu 100 wauawa katika mashambulizi
Idadi ya watu waliofariki katika mashambulizi yanayofanywa na Israel katika Ukanda wa Gaza, katika siku nne zilizopita, imefika 100
9 years ago
GPL
WATU ZAIDI YA 150 WAUAWA KATIKA MASHAMBULIZI PARIS, UFARANSA
Mauaji katika mghahawa wa Rue Bichat, Paris Gari la huduma ya kwanza. Walionusulika katika shambulizi lililofamyika kwenye ukumbi wa Batclan. ...Wakiokolewa. Miili ya marehemu wa mashambulizi hayo. Hali ya sintofahamu mjini paris.…
10 years ago
BBCSwahili04 Dec
Boko:H yaendeleza mashambulizi Nigeria
Hali ya vurugu na mauaji inazidi kuwa mbaya Nigeria siku hadi siku.
11 years ago
BBCSwahili31 Jan
Hofu baada ya mashambulizi Nigeria
Zaidi ya watu elfu mbili wametoroka makwao baada ya watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa kiisilamu kushambulia kijji kimoja Kaskazini mwa nchi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania