Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hofu baada ya mashambulizi Nigeria

Zaidi ya watu elfu mbili wametoroka makwao baada ya watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa kiisilamu kushambulia kijji kimoja Kaskazini mwa nchi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

30 wauawa kwenye mashambulizi Nigeria

Watu 30 wameuawa katika kijiji kimoja eneo la kati mwa Nigeria,jimbo la Plateu katika mzozo kuhusu ardhi na mifugo

 

11 years ago

BBCSwahili

52 wauawa katika mashambulizi Nigeria

Afisa mmoja wa usalama amesema waliofanya mashambulizi walitega mabomu katika soko moja katika kijiji cha Kawuri siku ya Jumapili.

 

10 years ago

BBCSwahili

Boko:H yaendeleza mashambulizi Nigeria

Hali ya vurugu na mauaji inazidi kuwa mbaya Nigeria siku hadi siku.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 18 wauawa kwa mashambulizi Nigeria

Watu 18 wameuawa baada ya kushambuliwa na watu wanaoaminika kuwa wanamgambo wa Boko Haram mjini Shaffa

 

11 years ago

BBCSwahili

Ebola yazua hofu Nigeria

Ugonjwa wa Ebola wazua hofu nchini Nigeria huku serikali ikipanga mikakati ya kukabiliana na homa hiyo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Hofu yatanda kuhusu Ebola Nigeria

Wasiwasi umezuka katika mji wa Calabar, kaskazini mwa Nigeria baada ya mtu mmoja kufariki baada ya kuonyesha dalili zinazokaribia za ugonjwa wa Ebola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hofu baada ya boti iliyojaa wahamiaji kuzama Libya

Ripoti zinasema kuwa takriban watu 700 walikuwa kwenye boti hiyo iliyozama baada ya kukumbana na mawimbi makali karibu Libya

 

5 years ago

Michuzi

Hofu yatanda baada ya mshukiwa wa Corona kutoroka karantini Zimbabwe

Hali ya taharuki imetanda nchini Zimbabwe baada ya mtu anayeshukiwa kuwa na virusi vya Corona kutoroka hospitalini alikokuwa amewekwa karantini na kwenda kusikojulikana.

Gazeti la serikali la Herald limeripoti kuwa, mshukiwa huyo wa Corona alikuwa ametengwa katika chumba maalumu akisubiri kufanyiwa vipimo katika Hospitali ya Magonjwa ya Kuambukiza ya Wilkins katika mji mkuu Harare kabla ya kukimbia.

Vyombo vya dola nchini humo vimesema vimeanzisha msako mkali wa kumtafuta raia huyo wa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Upasuaji wa kubadili Maumbile Uturuki: Mwanamke aingiwa na hofu baada ya mchakato alioupitia

Kimberley Sadd anahitaji kufanyiwa upasuaji wa kurekebisha maumbile na anataka kuonya wengine dhidi ya kupata huduma katika nchi zingine kwa gharama ya chini

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani