Hofu baada ya mashambulizi Nigeria
Zaidi ya watu elfu mbili wametoroka makwao baada ya watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa kiisilamu kushambulia kijji kimoja Kaskazini mwa nchi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili07 Jan
30 wauawa kwenye mashambulizi Nigeria
Watu 30 wameuawa katika kijiji kimoja eneo la kati mwa Nigeria,jimbo la Plateu katika mzozo kuhusu ardhi na mifugo
11 years ago
BBCSwahili27 Jan
52 wauawa katika mashambulizi Nigeria
Afisa mmoja wa usalama amesema waliofanya mashambulizi walitega mabomu katika soko moja katika kijiji cha Kawuri siku ya Jumapili.
10 years ago
BBCSwahili04 Dec
Boko:H yaendeleza mashambulizi Nigeria
Hali ya vurugu na mauaji inazidi kuwa mbaya Nigeria siku hadi siku.
10 years ago
BBCSwahili26 Sep
Watu 18 wauawa kwa mashambulizi Nigeria
Watu 18 wameuawa baada ya kushambuliwa na watu wanaoaminika kuwa wanamgambo wa Boko Haram mjini Shaffa
11 years ago
BBCSwahili07 Aug
Ebola yazua hofu Nigeria
Ugonjwa wa Ebola wazua hofu nchini Nigeria huku serikali ikipanga mikakati ya kukabiliana na homa hiyo.
9 years ago
BBCSwahili09 Oct
Hofu yatanda kuhusu Ebola Nigeria
Wasiwasi umezuka katika mji wa Calabar, kaskazini mwa Nigeria baada ya mtu mmoja kufariki baada ya kuonyesha dalili zinazokaribia za ugonjwa wa Ebola.
10 years ago
BBCSwahili05 Aug
Hofu baada ya boti iliyojaa wahamiaji kuzama Libya
Ripoti zinasema kuwa takriban watu 700 walikuwa kwenye boti hiyo iliyozama baada ya kukumbana na mawimbi makali karibu Libya
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mHxNACy53nU/Xmew_6FmfCI/AAAAAAALiew/B7EnXP565_UnZWFFo653UNGhkhqs_DuWQCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv65d4f31b0851lcxt_800C450.jpg)
Hofu yatanda baada ya mshukiwa wa Corona kutoroka karantini Zimbabwe
![](https://1.bp.blogspot.com/-mHxNACy53nU/Xmew_6FmfCI/AAAAAAALiew/B7EnXP565_UnZWFFo653UNGhkhqs_DuWQCLcBGAsYHQ/s640/4bv65d4f31b0851lcxt_800C450.jpg)
Gazeti la serikali la Herald limeripoti kuwa, mshukiwa huyo wa Corona alikuwa ametengwa katika chumba maalumu akisubiri kufanyiwa vipimo katika Hospitali ya Magonjwa ya Kuambukiza ya Wilkins katika mji mkuu Harare kabla ya kukimbia.
Vyombo vya dola nchini humo vimesema vimeanzisha msako mkali wa kumtafuta raia huyo wa...
5 years ago
BBCSwahili01 Mar
Upasuaji wa kubadili Maumbile Uturuki: Mwanamke aingiwa na hofu baada ya mchakato alioupitia
Kimberley Sadd anahitaji kufanyiwa upasuaji wa kurekebisha maumbile na anataka kuonya wengine dhidi ya kupata huduma katika nchi zingine kwa gharama ya chini
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania