Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hofu baada ya boti iliyojaa wahamiaji kuzama Libya

Ripoti zinasema kuwa takriban watu 700 walikuwa kwenye boti hiyo iliyozama baada ya kukumbana na mawimbi makali karibu Libya

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WAHAMIAJI 900 WAFARIKI DUNIA BAADA YA MASHUA YAO KUZAMA BAHARI YA MEDITERRANEAN

Maiti za wahamiaji waliozama baada ya mashua yao kupinduka nje ya pwani ya Libya siku ya Jumamosi zikiwa katika meli ya Italia katika bandari ya Malta.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tisa wahofiwa kuzama ajali ya boti

WAFANYABIASHARA tisa wakazi wa Kijiji cha Mpasa wilayani Nkasi mkoani Rukwa, wanahofiwa kufariki baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kwenda nchini Zambia kuzama kwenye eneo la Kipwa. Watu hao walikuwa wakienda...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kuzama kwa boti kwaua mamia DR Congo

Mamia ya watu wamepoteza maisha baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kupinduka na kuzama nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Zaidi wa watu 50 wahofiwa kuzama-Libya

Zaidi ya watu hamsini hawajulikani waliko baada ya meli walimokuwa wakisafiria kuanza kuzama katika pwani ya Libya

 

10 years ago

Habarileo

‘Mwanza inastahili boti kudhibiti wahamiaji haramu’

SERIKALI imetakiwa kuchukua hatua za kuusaidia Mkoa wa Mwanza kupata boti ili kukabiliana na wahamiaji haramu hususani wanaotumia usafiri wa maji kupitia Ziwa Victoria, badala ya kuendelea kufanya kazi kwa kutegemea boti ya polisi na wavuvi jambo ambalo linazorotesha utendaji wa kazi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji zaidi ya 50 wafariki Libya

Watu wapatao 50 wamekutwa wamekufa katika sehemu ya mizigo ya boti iliyokuwa imebeba wahamiaji waliokamatwa katika pwani ya Libya.

 

11 years ago

BBCSwahili

Idadi ya wahamiaji yaongezeka Libya

Mamlaka nchini Libya imesema kuwa imeshindwa kudhibiti idadi ya wahamiaji wanaotaka kuingia Ulaya kwa kutumia mlango wa nyuma.

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NEWZZZZZ: MAHARUSI WANUSURIKA KIFO BAADA YA MTUMBWI WALIOPANDA KUZAMA ZIWA TANGANYIKA

Waokoaji wakijindaa kwenda katika eneo ilipotokea ajali ya mitumbwi iliyobeba harusi kutoka Kigoma mjini kwenda katika kijiji cha Kigalya kutafuta miili ya marehemu ambayo bado haijapatikana

 Waokoaji toka vikosi mbalimbali wakiwemo wanajeshi wa JWTZ wakijiandaa kwenda kutafuta miili ambayo bado haijapatikana kutokana na jali ya mitumbwi katika kijiji cha kalalangabo Bibi harusi Mariamu Mduwa aliyenusurika  katika ajali ya mitumbwi katika kijiji cha kalalangabo akiwa anaendelea na matibabu...

 

10 years ago

Vijimambo

BIBI NA BWANA HARUSI WANUSURIKA KIFO BAADA YA MTUMBWI WALIOPANDA KUZAMA ZIWA TANGANYIKA

Ndugu jamaa na wapambe wa bwana na bibi harusi walionusurika kifo baada ya ajali ya mtumbwi kutokea katika kijiji cha kalalangabo wakiwa wanaendelea na matibabu katika hospita ya Mkoa wa KigomaBibi harusi Mariamu mduwa aliyenusurika kifo katika ajali ya mitumbwi katika kijiji cha kalalangabo akiwa naendelea na matibabu katika hospital ya mkoa wa KigomaWaokoaji mbalimbali wakijindaa kwenda katika eneo ilipotokea ajali ya mitumbwi iliyobeba harusi kutoka kigoma mjini kwenda katika kijiji cha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani