BREAKING NEWZZZZZ: MAHARUSI WANUSURIKA KIFO BAADA YA MTUMBWI WALIOPANDA KUZAMA ZIWA TANGANYIKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-It62ef937OQ/VDryLedLHXI/AAAAAAAGpnw/E6bt5SG02ok/s72-c/unnamed%2B(14).jpg)
Waokoaji wakijindaa kwenda katika eneo ilipotokea ajali ya mitumbwi iliyobeba harusi kutoka Kigoma mjini kwenda katika kijiji cha Kigalya kutafuta miili ya marehemu ambayo bado haijapatikana
Waokoaji toka vikosi mbalimbali wakiwemo wanajeshi wa JWTZ wakijiandaa kwenda kutafuta miili ambayo bado haijapatikana kutokana na jali ya mitumbwi katika kijiji cha kalalangabo
Bibi harusi Mariamu Mduwa aliyenusurika katika ajali ya mitumbwi katika kijiji cha kalalangabo akiwa anaendelea na matibabu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo13 Oct
BIBI NA BWANA HARUSI WANUSURIKA KIFO BAADA YA MTUMBWI WALIOPANDA KUZAMA ZIWA TANGANYIKA
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/10/wahanga.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/10/bibi-harusi.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/10/UOKOJI.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima13 Oct
Maharusi wanusurika kifo Ziwa Tanganyika
WATU zaidi ya 64 wakazi wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, wamesadikiwa kufa maji Ziwa Tanganyika baada ya mitumbwi waliokuwa wakisafiria kuzama majini kutokana na uzito uliosababishwa na kuzidisha abiria. Akifafanua...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rM2ET0RD6FE/VDtuJJ7hh_I/AAAAAAAGprE/Jm0dhjWRjHQ/s72-c/unnamed%2B(33).jpg)
latest updates: MAITI ZAIDI ZAPATIKANA ZIWA TANGANYIKA BAADA YA AJALI YA MITUMBWI YA MAHARUSI JANA
10 years ago
VijimamboWATOTO 4 WANUSURIKA KIFO BAADA YA KULIPUKIWA NA MLIPUKO
akiwa amelazwa katika Hospitali ya wilaya ya Mbinga mkoa wa Ruvuma,baada ya kulipukiwa na Vilipushi[detonator] ambavyo vimesadikiwa kuwahutumika kulipulia miamba, wakati alipokuwa akicheza nawenzake nakusababisha kuumia mkono wake wa kulia na sehemu mbalimbali zamwiliwake. Huyo ni mmoja kati ya watoto sita ambao walio patwa na mkasa huo.Picha NA AMON MTEGANA AMON MTEGA wa DemashonewsWATOTO wanne kati ya sita wamenusurika...
10 years ago
GPLWATANO WANUSURIKA KIFO BAADA YA KUFUKIWA NA KIFUSI JIJINI MWANZA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-i3saPbH7_pQ/VDtmOkKtnAI/AAAAAAAGpqk/YjVbS21HK4c/s72-c/wanajeshi1.jpg)
NEWS UPDATES: MAITI ZAIDI ZAPATIKANA ZIWA TANGANYIKA BAADA YA AJALI YA MITUMBWI YA HARUSI
Mpaka sasa jumla ya maiti nne zimeopolewa na kufanya kufikia idadi ya maiti kumi zimepatikana katika ajali ya mitumbwi iliyotokea jana mchana katika kijiji cha Kalalangabo baada ya mitumbwi iliyokuwa imebeba maharusi ndugu jamaa na wapambe kupigwa wimbi na kuzama.
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Luteni Mstaafu Issa Machibya ambaye ni Mwenyekiti wa kamati ya maafa ya Mkoa amesema kuwa bado idadi maiti zilipo kwenye maji ni kubwa ambazo bado hazijapatikana....
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-ld5S8ZwJb8E/Vh0B9G_-ySI/AAAAAAABXPg/jMyUEzfVHCo/s72-c/1%2B%25281%2529.jpg)
UPDATES: LEMBELI NA MUKYA WANUSURIKA KIFO MARA BAADA YA GARI LAO KUPINDUKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ld5S8ZwJb8E/Vh0B9G_-ySI/AAAAAAABXPg/jMyUEzfVHCo/s640/1%2B%25281%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-U-dC84pqRic/Vh0BsnAzPJI/AAAAAAABXPU/3J-yk9xIeBU/s640/2.jpg)
CHANZO: LUKAZA BLOG
9 years ago
Bongo516 Dec
Picha: Abiria 300 wanusurika kifo baada ya meli ya Royal iliyokuwa ikitokea Unguja kwenda Pemba kuungua moto
![20151216043112](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/20151216043112-300x194.jpg)
Abiria waliokuwa wamependa meli ya Royal iliyokuwa ikitokea Unguja kwenda Pemba wamenusurika kifo baada ya meli hiyo kuungua moto.
Abiria waliokuwa kwenye meli ya Royal wakijiokoa
Tukio hilo limetokea asubuhi Jumatano hii.
Hata hivyo meli ya Serengeti iliyokuwa ikitokea Pemba kwenda Unguja iliikuta meli hiyo njia na kusaidia shughuli za uzimaji moto na uokozi wa abiria waliokuwa kwenye meli hiyo.
Meli hiyo ilikuwa na abiria 300 wakiwemo watoto 70.
Meli ya Serengeti ikiivuta MV Royal
10 years ago
Vijimambo14 Oct
Bwana harusi asimulia walivyonusa kifo ajali ya mtumbwi
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/10/UOKOJI.jpg)
Akizungumza na NIPASHE katika mahojiano maalum jana, Hamis alisema baada ya kuona mtumbwi ukizama, alimrukia mkewe na kumshika mkono na kisha kuanza kuogelea naye hadi nchi kavu na hivyo kunusurika kifo.
Kutokana na hali hiyo, anasema anamshukuru Mungu kwa yeye na mkewe, Mariamu (24),...