WATOTO 4 WANUSURIKA KIFO BAADA YA KULIPUKIWA NA MLIPUKO
Mtoto Emmanuel Mwingira (7) mkazi wa mtaa wa Kiwandani Mbinga mjini,
akiwa amelazwa katika Hospitali ya wilaya ya Mbinga mkoa wa Ruvuma,baada ya kulipukiwa na Vilipushi[detonator] ambavyo vimesadikiwa kuwahutumika kulipulia miamba, wakati alipokuwa akicheza nawenzake nakusababisha kuumia mkono wake wa kulia na sehemu mbalimbali zamwiliwake. Huyo ni mmoja kati ya watoto sita ambao walio patwa na mkasa huo.Picha NA AMON MTEGANA AMON MTEGA wa DemashonewsWATOTO wanne kati ya sita wamenusurika...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLWATANO WANUSURIKA KIFO BAADA YA KUFUKIWA NA KIFUSI JIJINI MWANZA
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-ld5S8ZwJb8E/Vh0B9G_-ySI/AAAAAAABXPg/jMyUEzfVHCo/s72-c/1%2B%25281%2529.jpg)
UPDATES: LEMBELI NA MUKYA WANUSURIKA KIFO MARA BAADA YA GARI LAO KUPINDUKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ld5S8ZwJb8E/Vh0B9G_-ySI/AAAAAAABXPg/jMyUEzfVHCo/s640/1%2B%25281%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-U-dC84pqRic/Vh0BsnAzPJI/AAAAAAABXPU/3J-yk9xIeBU/s640/2.jpg)
CHANZO: LUKAZA BLOG
10 years ago
Vijimambo13 Oct
BIBI NA BWANA HARUSI WANUSURIKA KIFO BAADA YA MTUMBWI WALIOPANDA KUZAMA ZIWA TANGANYIKA
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/10/wahanga.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/10/bibi-harusi.jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/10/UOKOJI.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-It62ef937OQ/VDryLedLHXI/AAAAAAAGpnw/E6bt5SG02ok/s72-c/unnamed%2B(14).jpg)
BREAKING NEWZZZZZ: MAHARUSI WANUSURIKA KIFO BAADA YA MTUMBWI WALIOPANDA KUZAMA ZIWA TANGANYIKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-It62ef937OQ/VDryLedLHXI/AAAAAAAGpnw/E6bt5SG02ok/s1600/unnamed%2B(14).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-kJd6t2M18tU/VDryLinzMPI/AAAAAAAGpoI/Ccq040y8umk/s1600/unnamed%2B(15).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-YGn1XzY7Ao4/VDryLmf08yI/AAAAAAAGpn0/iy9cWyetbDU/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
9 years ago
Bongo516 Dec
Picha: Abiria 300 wanusurika kifo baada ya meli ya Royal iliyokuwa ikitokea Unguja kwenda Pemba kuungua moto
![20151216043112](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/20151216043112-300x194.jpg)
Abiria waliokuwa wamependa meli ya Royal iliyokuwa ikitokea Unguja kwenda Pemba wamenusurika kifo baada ya meli hiyo kuungua moto.
Abiria waliokuwa kwenye meli ya Royal wakijiokoa
Tukio hilo limetokea asubuhi Jumatano hii.
Hata hivyo meli ya Serengeti iliyokuwa ikitokea Pemba kwenda Unguja iliikuta meli hiyo njia na kusaidia shughuli za uzimaji moto na uokozi wa abiria waliokuwa kwenye meli hiyo.
Meli hiyo ilikuwa na abiria 300 wakiwemo watoto 70.
Meli ya Serengeti ikiivuta MV Royal
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-3BL-qPINFaM/VGXFg-ry_2I/AAAAAAADINM/yeZDC6-9ke0/s72-c/Picture246.jpg)
WAVUVI HARAMU WAPOTEZA MIKONO, MACHO BAADA YA KULIPUKIWA NA MABOMU YAO WAKATI WAKIVUA
![](http://3.bp.blogspot.com/-3BL-qPINFaM/VGXFg-ry_2I/AAAAAAADINM/yeZDC6-9ke0/s1600/Picture246.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-STfQ6qU-HN8/VGXFhlsRW_I/AAAAAAADINU/sqv9iHzwIus/s1600/Picture249.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-4hyXQVwP2U0/VGXFg0_-CDI/AAAAAAADINI/eRnA_S0WKZU/s1600/Pg.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima12 Nov
Wanafunzi 70 wanusurika kifo
WANAFUNZI 70 katika Shule ya Msingi ya Filbertbay iliyopo Kwamatiasi wilayani Kibaha, Pwani, wamenusurika kifo baada ya moto mkubwa kuzuka ghafla katika bweni pamoja na majengo mengine ya shule hiyo. Tukio...
9 years ago
Mtanzania04 Sep
P Square wanusurika kifo Nigeria
LAGOS, Nigeria
NYOTA wa muziki nchini Nigeria, mapacha wanaounda kundi la P-Square, Peter na Paul Okoye. wamenusurika kifo jana baada ya gari lao kugongana na lori la mizigo.
Ajali hiyo ilitokea katika mji wa Lagos, ambapo wasanii hao walikuwa katika gari aina ya Range Rover Sport SUV, lakini hata hivyo hali za wasanii hao zinaendelea vizuri baada ya kupatiwa matibabu.
“Tunaamini Mungu yupo nasi kila wakati, ilikuwa ni ajali mbaya, ingeweza kutuondolea maisha yetu, lakini tunamshukuru Mungu...
9 years ago
Mtanzania27 Oct
Wasimamizi wa uchaguzi wanusurika kifo
NA JANETH MUSHI, ARUSHA
BAADHI ya wasimamizi wa uchaguzi wilayani Meru, Mkoa wa Arusha, wamenusurika kuchomwa moto ndani ya gari lao baada ya kundi la vijana kutilia shaka gari lao wakidhani limebeba kura za wizi.
Tukio hilo lililowashtua wasimamizi hao na kujikuta wakiwa hawana la kufanya mikononi mwa kundi la vijana hao, lilitokea katika Kata ya Embaseni, wilayani hapa juzi, kati ya saa tatu na saa nne asubuhi.
Baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo walisema vijana hao walilitilia shaka gari...