WAVUVI HARAMU WAPOTEZA MIKONO, MACHO BAADA YA KULIPUKIWA NA MABOMU YAO WAKATI WAKIVUA
![](http://3.bp.blogspot.com/-3BL-qPINFaM/VGXFg-ry_2I/AAAAAAADINM/yeZDC6-9ke0/s72-c/Picture246.jpg)
Baadhi ya majeruhi waliolipukiwa na barutiwakiwa wamelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Bombo huku wakiwa wamepoteza baadhi ya viungo vikiwemo macho na mikono.
Mmoja wa majeruhi waliolipukiwa na baruti wakiwa wamelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Bombo huku wakiwa wamepoteza baadhi ya viungo vikiwemo macho na mikono.
Baadhi ya majeruhi waliolipukiwa na baruti jana wakati wakivua samaki kwa kutumia baruti katika Kisiwa cha Karange tarafa ya Pongwe wakiwa wamelazwa katika Hospitali ya Rufaa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi04 Jan
‘Wavuvi haramu hulipua mabomu 300 kila mwezi’
10 years ago
Bongo510 Mar
Watu 10 wapoteza maisha baada ya helikopta mbili kugongana hewani wakati wakishoot reality show
9 years ago
Dewji Blog12 Nov
Kituo cha kuendeleza Samaki Kanda ya Kati chatoa siku saba kwa wavuvi haramu kusalimisha zana haramu wanazotumia
Baadhi ya nyavu haramu zisizoruhusiwa kutumika kuvulia samaki kwenye bwawa la Kijiji cha Mwanzugi,wilayani Igunga.
Na. Jumbe Ismailly
[IGUNGA] Kituo cha kuendeleza samaki Kanda ya kati,chenye makao yake makuu wilayani Igunga,Mkoani Tabora kimetoa muda wa siku saba kuanzia sasa kwa watu wote wanaojishughulisha na uvuvi...
10 years ago
VijimamboWATOTO 4 WANUSURIKA KIFO BAADA YA KULIPUKIWA NA MLIPUKO
akiwa amelazwa katika Hospitali ya wilaya ya Mbinga mkoa wa Ruvuma,baada ya kulipukiwa na Vilipushi[detonator] ambavyo vimesadikiwa kuwahutumika kulipulia miamba, wakati alipokuwa akicheza nawenzake nakusababisha kuumia mkono wake wa kulia na sehemu mbalimbali zamwiliwake. Huyo ni mmoja kati ya watoto sita ambao walio patwa na mkasa huo.Picha NA AMON MTEGANA AMON MTEGA wa DemashonewsWATOTO wanne kati ya sita wamenusurika...
10 years ago
Mwananchi27 Jan
Serikali yawaonya wavuvi haramu
10 years ago
Habarileo27 Jan
‘Wavuvi haramu wanahujumu uchumi’
NAIBU waziri wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Kaika Telele ameitaka jamii kutofumbia macho wavuvi haramu kwa kwa vitendo vyao havina tofauti na kuhujumu uchumi.
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Wavuvi haramu Mwanzugi wapigwa marufuku
WIZARA ya Mifugo na Uvuvi Kanda ya Kati, imewaagiza watu wanaojishughulisha na uvuvi haramu kwenye bwawa la Mwanzugi, wilayani Igunga, mkoani Tabora waache na endapo wataendelea kukaidi amri hiyo hatua...
10 years ago
Tanzania Daima14 Nov
Wavuvi haramu walipukiwa na baruti Tanga
WAKAZI wawili wa Kata ya Tangasisi tarafa ya Pongwe wilayani Tanga wamejeruhiwa viungo mbalimbali vya mwili kwa kulipukiwa na baruti wakati wakivua kwa kutumia zana za uvuvi haramu kwenye kisiwa...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Adkhy8eTRtk/ViUjhvjY8EI/AAAAAAADBJs/7UO4LrL5xkE/s72-c/3.jpg)
PAMOJA NA KUWAOMBA KURA,MAGUFULI AWAASA WAVUVI KUTOFANYA UVUVI HARAMU.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Adkhy8eTRtk/ViUjhvjY8EI/AAAAAAADBJs/7UO4LrL5xkE/s640/3.jpg)
Dk Magufuli akiwahutubia wananchi hao ambao wengi wao ni wavuvi....